fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatakiwa upate familia kubwa na wageni kg uitumie week1.
Lina ukweli hili? mbona yupo front sana kuchangia mamilioni na kuwahamasisha wengine nao wachangie, mimi ukinishtukiza hapa mchango wa buku tu naweza kuzimia kabisa kutokana na hali kutokuwa hali.JPM: "Hata mimi mshahara haunitoshi!"
Kwani hela zake zile? Yeye anachota za Ikulu na kuzifanya zake!Lina ukweli hili? mbona yupo front sana kuchangia mamilioni na kuwahamasisha wengine nao wachangie, mimi ukinishtukiza hapa mchango wa buku tu naweza kuzimia kabisa kutokana na hali kutokuwa hali.
Sasa kwanini usilime kabustani ka nyanya uwani kwako ili na wewe upate hizo buku buku?Nyanya t
nne zinauzwa buku huku kwetu
ukimaliza tu kufanya hivyo bei inaweza shuka ghafla, ukabaki mdomo wazi, ni kama forex tu...Ngoja leo
ninunue sukari ya kutosha. Kabla hali haijawa mbaya zaidi
TAnzania ya wanyonge!!Ungetaja bei ya hivyo vitu ni mkoa gani? Maana Dar unga 1,700 na sukari 2,500
Unanishauri au unaniomba?Sasa kwanini usilime kabustani ka nyanya uwani kwako ili na wewe upate hizo buku buku?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kazi ipoooocha msingi tembea kifua mbere utapunguziwa bei
Hata bei ya ndisi imepanda bwashee!cha msingi tembea kifua mbere utapunguziwa bei