johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwenu wapi bwashee?!Nyanya t
nne zinauzwa buku huku kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenu wapi bwashee?!Nyanya t
nne zinauzwa buku huku kwetu
So unashauri nisinunue nyingi ?ukimaliza tu kufanya hivyo bei inaweza shuka ghafla, ukabaki mdomo wazi, ni kama forex tu...
Utaitwa mhujumu uchumi...... hahahaNgoja leo
ninunue sukari ya kutosha. Kabla hali haijawa mbaya zaidi
Ungetaja bei ya hivyo vitu ni mkoa gani? Maana Dar unga 1,700 na sukari 2,500
5k ?Hii mbona haijapanda? Mkuu Magufuli aliikuta ikiwa 5,000/= kaishusha hadi 2,000/= kama imeoanda hadi 3,200/= siyo tatizo kulinganisha na alikoikuta bei. Vumilieni tu maana njaa haina chama
Bora niitwe hivyo kuliko kununua sukar 5000 kilo mojaUtaitwa mhujumu uchumi...... hahaha
Hayo ni maneno ya Magu alipoingia madarakani 2016. Yeye ndiyo tumwulize ni lini sukari ilifika 5k hapa Tanzania5k ?
Nchi gani?