Mimi napika,, nainjoiii.Muwe mnaaadaa vitu vyenu nyunbani..
Kuku ukikaanga vizuri na biazi au ndizi unafunga vizuri kwny take away njiani unajichena tu...
Badala ya kulipa efu kumi kula msosi mbovu hyo efu 10 kitaa unandaa kuku mzima kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani abiria in wahanga,wenye mamlaka na wasikie,abiria wanaumizwa mno.Kuna ukweli hapa, wahusika watupie macho.
Mwenzako niliwahi kimbia pale njia panda ya machame wanapaita kwa dar xpress nikaenda kwa maama ntilie Jilani tu nikaumega kwa 1000 badala ya 6000Kwa muda mrefu nimekuwa nikikerwa na hili jambo.
Bei ya chakula cha hizi hoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri haiendani na huduma wanayopewa lakini naona mamlaka husika zimekaa kimya. Na hili naomba lisichanganywe na suala la wakulima kujipangia bei, msafiri sio mkulima ni mtu anayekuwa hana option maana pengine amesafiri masaa kumi na mbili au ishirini bila kuonja kitu na analazimishwa anunue chankula kwa bei ya juu. Au anaenda hospitali kupeleka mgonjwa.
Kiuhalisia sahani ya wali nyama ni 1500 - 2000 lakini kwenye hiyo migahawa wali nyama wanauza 5000 - 6000. Mbaya zaidi vile vidada vihudumu vinanyodo utafikiri vinahudumia hoteli ya nyota tano kumbe mgahawa wa barabarani tena kwa wasafiri (ref: nangurukuru). Ukiviambia dada ongeza kidogo basi ili nishibe kanakukata jicho utafirikiri umetoa mawe kumbe umetoa 6000.
Wanaosafiri wengine ni wagonjwa, watu wa vijijini na wengine hawajiwezi kabisa, unapomlazimisha mtu kuwa tutachimba dawa hoteli fulani na kupata chakula hapo ni ukiukwaji wa haki za wasafiri. Kwanini mamlaka wasimoderate na kucontrol hili suala? ikiwezekana sehemu ya kuchimba dawa ijitegemee na sehemu ya kula ijitegemee ili hao watoa huduma wasiwalipishe watu bei kubwa kisa umechimba dawa kwao.
Madereva na makondacta wao huwa hawalipii hiki chakula kwasababu ni deal kwa mwenye hicho kihoteli. hii ni ajabu sana, ndio maana inapelekea hawa madereva wanawapeleka abiria sehemu ambayo mwisho wa siku watalazimika kulipia hata kama hawataki.
Naomba mamlaka husika waaanze na Nangurukuru, Singida, Shinyanga, Morogoro, Alj jazeera na sehemu zingine ambazo mimi sijafanikiwa kupita huko kwasababu inakera sana na ni ukiukwaji wa haki za wasafiri kabisa kuwalazimisha kupata huduma wasipopenda halafu mbaya zaidi kwa bei ya juuu kuliko uhalisia.
Bei ya choo cha kulipia inajulikana ni 300, Bei ya wali maharage inajulikana 1500-200, bei ya wali kuku inajulikana ni 3000-4000, bei ya kile kitake away inajulikana kuwa ni 300. Iweje tutozwe bei zisizoendana na uhalisia?
Wakuu wa nchi wao husafiri na private mara nyingi kwahiyo hii inweza isiwe na mashiko sana kwao, lakini kiuhalisia vyombo vya dola na mamalaka za miji na halimashauri ambako huduma hizi hutolewa inabidi walichukulie serious.
Wakuu Nawasilisha, naomba ndugu zangu tusaidiane kupinga huu unyanyasaji kwa abiria.
Pia soma
Bei ya vyakula "Kilimanjaro Fast Food" pale Mombo si rafiki
Siku zote fast food za kula unapokuwa safarini huwa ni bei .....kawaida tu hyo Ova Hiyo kusema siku zote umeitoa wap . ?www.jamiiforums.com
hivi itakuja kutokea kampuni ya usafirishaji abiria kama ScandnaviaYes wenye mahoteli wanashirikiana na madereva kulifanya hili,na vile vile tunachangiwa na mifumo mibovu ya miundo mbinu yetu,hizi barabara zetu kuu bado sana,sielewi why umbali wa Dar to Arusha +600kms lazima bus lisimame kituo Fulani kwa chakula?maana bus ikiondoka pale ubungo 6am tunategemea by 2pm liwe limeshaingia Arusha,sawa na Dodoma,Tanga,Iringa (mabus yote haya yana yalitakiwa yasafiri kutoka Dar ndani ya masaa 8) na why mubus hayasafiri usiku hata baada ya Lugola kuja na lile tangazo lake la majambazi?,kipindi nchi ina heshima na adabu Scandanavian bus inaondoka Dar saa 6am,Ilula mnaingia 6mchana,1600 mpo border na mnavuka !!!
Kwahiyo sasa mtachagua wangapi ndani ya hilo bus ili dereva awasikilizeTanzania ukikata tiketi ya basi unasafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine unageuka kua mtejwa wa hoteli ya mweye basi by default. Dereva ndie mwenye uamuzi mtakula hoteli gani.
Swali langu, kwa nini hakuna utaratibu wa abiria kua na uhuru wa kuchagua hoteli watakayokula kuliko kulazimishwa kula hoteli ambayo dereva anaamua.
Kwanza hii itasababisha bei ya chakula kwenye hizi hoteli za njiani kupungua kuliko ilivyo sasa, mnatembezwa masaa 8, mnafikishwa kwenye hoteli ambapo abiria unakua huna namna una njaa unalazimika kula, chakula kibovu bei ghali.
Basi ziwe na utaratibu wa kuwajulisha abiria wanaotegemea kusafiri na basi yao kua watakula hoteli flani ili mtu awe na taarifa kamili kabla hajaamua kusafiri na hiyo basi au lah, ama abiria waee na uhuru wa kuamua watakula hoteli gani.
Sumatra, wizara ya afya waliangalie hili.
Kuepukana na usumbufu nunua gari binafsi uwe unasafiria, sisi wagumu tutaendelea kula al jazeera na liverpool.
Sent using Jamii Forums mobile app
yes/no inategemea mambo mengi including uchumi wa nchi,mwelekeo wetu wa kisiasa je ni rafiki kwa wawekezaji,uboreshaji wa barabara zetu,why Intercape ichukue 16hrs kusafiri 1400kms kati ya widhoek na katima mulilo,wakati mabus yetu yanatumia 12hrs kusafiri umbali wa 600kms kati ya Dar na Iringa.ni crazyhivi itakuja kutokea kampuni ya usafirishaji abiria kama Scandnavia