Soko huria, serikali ikipanga bei za mazao tunailalamikia, wacha soko lipange bei, ni fursa pia kwa wanaotaka kuuza cha kula kwa bei ndogo wakafungue mahoteli ili ushindani uwe mkubwa.
Mwisho kabisa sio lazima kula njiani, nunua maji na korosho za kutosha utakula unapoenda kama una watoto mwambie mama yeyoo awapakilie vyakula.