Bei ya vyakula vya mahoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri wa mabasi iangaliwe na mamlaka husika

Wenye serikali nadhani ndio wamiliki wa hizo migahawa
 
Nikanunue korosho Mtwara nirudi Muleba nianze safari kwenda Lindi SI ndio!!??
 
Mimi babati peke yake ndipo hapajawahi kuniangusha, fresh foods at reasonable prices. Kuku wa kienyeji na samaki saaafi, ndizi mshare laini u chipsi kavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…