kuna kasema hii chai. nataman siku moja awepo ktk msafara wetu aone waliovurugwa kuliko mimikuna ka mgahawa kapo chalinze aisee kuna siku nimenunua mishikaki pale nakuja nayo ktk gari imeoza kbsa! bahati mbaya hiyo siku sikuwa ktk akili zangu nikachukua panga (ni sime) nikarudi pale ktk ki mgahawa kile nikamwaga vyakula vyoote pale jikoni nikaondoka zangu sikusema na mtu.
ππππMie sili chips safarini, nilishawahi kupatwa na masahibu. Nilitoka Moshi kwenda Dar, tulivyofika Mombo tukaingia kula hoteli inaitwa Liverpool, nikala viwepe na mishikaki. Uwiiiiii yaani hata hatujafika mbali, tumbo likaanza kuuma, mharo unataka kuchomoza.
Nikawaza, nikimwambia konda nataka "kuchimba dawa" atasema hilo zoezi ilikuwa lifanyike hotelini tulipokula. Basi bwana akili ikaja ya ziada, nikamwendea konda, nikamdanganya kuwa NIMEANZA KU BLEED GHAFLA hivyo wasimamishe gari nikajisetiri, hahahaha, konda kusikia hivyo akamwambia dreva, gari ikasimama nikaenda kwenye hoteli mshenzi mshenzi, nikahariiiiiiishaaaaaa mpaka basi!
Kuna ka mgahawa kapo Chalinze aisee kuna siku nimenunua mishikaki pale nakuja nayo ktk gari imeoza kbsa! bahati mbaya hiyo siku sikuwa ktk akili zangu nikachukua panga (ni sime) nikarudi pale ktk ki mgahawa kile nikamwaga vyakula vyoote pale jikoni nikaondoka zangu sikusema na mtu.
Wengine hua wananunua vyakula kama showoff , watu wajue kanunua kuku chipsi na mishkaki, kwahio lazima aende na wakati kwanini ale mkate na wengine age yake wale kuku na chipsi, peer pressure inachangiaSiku hizi mikate kila kona................ una safari ya mbali mkate au cake juice yako maji................ na apple huna sababu ya kuhangaika na chochote njiani kula mkate wako na juice aaa maisha yanasonga
πππππππππππππHapo Shukuru Hotel ilikuwa karibu lasivyo kichaka kingekuhusu.ππ
π π π π π π π π π π π π πKuna mzee ilikua ni New Force ya mbeya alijistiri humo humo ndani ya Basi, gari ilibidi isimame harufu ilitawala halaf mzee kajikausha tu, nadhani ilikua siku mbaya sana kwa yule mzee.
π π π π π π π π πππππ
Wengine hua wananunua vyakula kama showoff , watu wajue kanunua kuku chipsi na mishkaki, kwahio lazima aende na wakati kwanini ale mkate na wengine age yake wale kuku na chipsi, peer pressure inachangia
GoodπππMie sili chips safarini, nilishawahi kupatwa na masahibu. Nilitoka Moshi kwenda Dar, tulivyofika Mombo tukaingia kula hoteli inaitwa Liverpool, nikala viwepe na mishikaki. Uwiiiiii yaani hata hatujafika mbali, tumbo likaanza kuuma, mharo unataka kuchomoza.
Nikawaza, nikimwambia konda nataka "kuchimba dawa" atasema hilo zoezi ilikuwa lifanyike hotelini tulipokula. Basi bwana akili ikaja ya ziada, nikamwendea konda, nikamdanganya kuwa NIMEANZA KU BLEED GHAFLA hivyo wasimamishe gari nikajisetiri, hahahaha, konda kusikia hivyo akamwambia dreva, gari ikasimama nikaenda kwenye hoteli mshenzi mshenzi, nikahariiiiiiishaaaaaa mpaka basi!
Hili swala kweli ni taabu tu maana wengine tunasafiri na pesa ndogo mwisho wa siku balance ya nauli inakuwa kubwa sana ukilinganisha na uhalisiaKwa muda mrefu nimekuwa nikikerwa na hili jambo.
Bei ya chakula cha hizi hoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri haiendani na huduma wanayopewa lakini naona mamlaka husika zimekaa kimya. Na hili naomba lisichanganywe na suala la wakulima kujipangia bei, msafiri sio mkulima ni mtu anayekuwa hana option maana pengine amesafiri masaa kumi na mbili au ishirini bila kuonja kitu na analazimishwa anunue chankula kwa bei ya juu. Au anaenda hospitali kupeleka mgonjwa.
Kiuhalisia sahani ya wali nyama ni 1500 - 2000 lakini kwenye hiyo migahawa wali nyama wanauza 5000 - 6000. Mbaya zaidi vile vidada vihudumu vinanyodo utafikiri vinahudumia hoteli ya nyota tano kumbe mgahawa wa barabarani tena kwa wasafiri (ref: nangurukuru). Ukiviambia dada ongeza kidogo basi ili nishibe kanakukata jicho utafirikiri umetoa mawe kumbe umetoa 6000.
Wanaosafiri wengine ni wagonjwa, watu wa vijijini na wengine hawajiwezi kabisa, unapomlazimisha mtu kuwa tutachimba dawa hoteli fulani na kupata chakula hapo ni ukiukwaji wa haki za wasafiri. Kwanini mamlaka wasimoderate na kucontrol hili suala? ikiwezekana sehemu ya kuchimba dawa ijitegemee na sehemu ya kula ijitegemee ili hao watoa huduma wasiwalipishe watu bei kubwa kisa umechimba dawa kwao.
Madereva na makondacta wao huwa hawalipii hiki chakula kwasababu ni deal kwa mwenye hicho kihoteli. hii ni ajabu sana, ndio maana inapelekea hawa madereva wanawapeleka abiria sehemu ambayo mwisho wa siku watalazimika kulipia hata kama hawataki.
Naomba mamlaka husika waaanze na Nangurukuru, Singida, Shinyanga, Morogoro, Alj jazeera na sehemu zingine ambazo mimi sijafanikiwa kupita huko kwasababu inakera sana na ni ukiukwaji wa haki za wasafiri kabisa kuwalazimisha kupata huduma wasipopenda halafu mbaya zaidi kwa bei ya juuu kuliko uhalisia.
Bei ya choo cha kulipia inajulikana ni 300, Bei ya wali maharage inajulikana 1500-200, bei ya wali kuku inajulikana ni 3000-4000, bei ya kile kitake away inajulikana kuwa ni 300. Iweje tutozwe bei zisizoendana na uhalisia?
Wakuu wa nchi wao husafiri na private mara nyingi kwahiyo hii inweza isiwe na mashiko sana kwao, lakini kiuhalisia vyombo vya dola na mamalaka za miji na halimashauri ambako huduma hizi hutolewa inabidi walichukulie serious.
Wakuu Nawasilisha, naomba ndugu zangu tusaidiane kupinga huu unyanyasaji kwa abiria.
Pia soma
Bei ya vyakula "Kilimanjaro Fast Food" pale Mombo si rafiki
Siku zote fast food za kula unapokuwa safarini huwa ni bei .....kawaida tu hyo Ova Hiyo kusema siku zote umeitoa wap . ?www.jamiiforums.com
Naamini katika ushindani na soko huria, sasa kwanini ujisumbue kununua chakula kisichofanana na gharama ulizolipia, andaa nyumbani hutopata hiyo kadhia.
π π π π π π π π π πGoodπππ
Nimezaliwa na mama mzazi kwa hiyo sina cha kupinga hapo, tukirudi kwenye hoja ya Msingi sioni mantiki ya Serikali kupanga bei ya chips au Maandazi, kwamba bei ya andazi iwe 200 chips 1000, ni kichekesho una uhuru wa kununua chakula cha bei unayotaka, usilazimishe pia kuuziwa bei unayotaka ndio maana halisi ya soko huria.Basi Kama ni soko huria kwanini wasipaki stand tukanunua kwenye hotel nyingi hapo stand. Bado mtoto wa mama kwa namna unavyojibu