Bei ya vyakula vya mahoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri wa mabasi iangaliwe na mamlaka husika

kuna kasema hii chai. nataman siku moja awepo ktk msafara wetu aone waliovurugwa kuliko mimi
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Inawezekana mkuu, lakini sio wote wanaosafiri wanahela sana kumudu gharama yeyote, wengine wanasafiri kwa matatizo.
 
Hawa watu ni wapuuzi sana kwakweli, wanawaona wanasafiri hawana akili.
 
Siku hizi mikate kila kona................ una safari ya mbali mkate au cake juice yako maji................ na apple huna sababu ya kuhangaika na chochote njiani kula mkate wako na juice aaa maisha yanasonga
Wengine hua wananunua vyakula kama showoff , watu wajue kanunua kuku chipsi na mishkaki, kwahio lazima aende na wakati kwanini ale mkate na wengine age yake wale kuku na chipsi, peer pressure inachangia
 
mimi nafikiri sasa tuchukue matatizo kama changamoto.

badala ya kulalamika kila wakati,ni muda wa kuacha mazoa ya kula kula safarini au kubeba chakula binafsi kama imebidi kula.

mimi huwa nashuka nanyoosha miguu,maana safari kwangu sijawahi ihesabu kama ni kadi ya mwaliko wa sherehe,unakuta mtu anaulizia pilau maharage mgahawani[emoji53][emoji53][emoji53],bro utatuponza njiani tuwe tunasimama muda wote,elewa muda na majukumu uliyonayo kwa wakatu huo,utakula ukifika.

wasusieni,wale wenyewe bebeni vyakula.
 
Wengine hua wananunua vyakula kama showoff , watu wajue kanunua kuku chipsi na mishkaki, kwahio lazima aende na wakati kwanini ale mkate na wengine age yake wale kuku na chipsi, peer pressure inachangia


Kabisa mimi huwa sinunui chochote pale na kama niko na luxury huwa wana toa soda so nikifika pale ni huduma ya kijamii na kujinyoosha kidogo narudi kwenye gari safari inaendelea kama nilitoka asbh sana nakuwa na mkate wangu naweka mayai katikati na peanut butter vipande vinne tosha kabisa soseji mbili wala siongei na na mtu wa chips na nyama mbichi za mbuzi kuku na huwa nachukioa yale mainzi yanavyokuwa pale
 
Nikisafiri huwa nabeba hotpot lenye mixer pilau kidogo,mweupe kidogo,kuku kavu,ng'ombe kavu,majani kidogo,pilipili kwa mbali,maji kubwana soda kubwa ya kopo.
Hilo hotpot linaitwa traveller hotpot lina vyumba kibao na linatunza joto masaa 56 na ni ndogo yani saafi na bei yake ni rafiki.
Nilinunua baada ya kupata shida kama hizo hotel za kitonga kule.
Yani saizi nagharamia kuchimba dawa tu lkn napo natafuta hotpot la kuchimbia dawa.
Wakisema kushuka kwenda kula na kuchimba dawa hotelini mi nashuka na hotpot langu nakaa chemba nafanya yangu nafunga tight.
Hela zenyewe zipo wapi bna.
 
Good😁😁😁
 
Hili swala kweli ni taabu tu maana wengine tunasafiri na pesa ndogo mwisho wa siku balance ya nauli inakuwa kubwa sana ukilinganisha na uhalisia
 
Basi Kama ni soko huria kwanini wasipaki stand tukanunua kwenye hotel nyingi hapo stand. Bado mtoto wa mama kwa namna unavyojibu
Nimezaliwa na mama mzazi kwa hiyo sina cha kupinga hapo, tukirudi kwenye hoja ya Msingi sioni mantiki ya Serikali kupanga bei ya chips au Maandazi, kwamba bei ya andazi iwe 200 chips 1000, ni kichekesho una uhuru wa kununua chakula cha bei unayotaka, usilazimishe pia kuuziwa bei unayotaka ndio maana halisi ya soko huria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…