Bei ya vyakula vya mahoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri wa mabasi iangaliwe na mamlaka husika

Bei ya vyakula vya mahoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri wa mabasi iangaliwe na mamlaka husika

Yes wenye mahoteli wanashirikiana na madereva kulifanya hili,na vile vile tunachangiwa na mifumo mibovu ya miundo mbinu yetu,hizi barabara zetu kuu bado sana,sielewi why umbali wa Dar to Arusha +600kms lazima bus lisimame kituo Fulani kwa chakula?maana bus ikiondoka pale ubungo 6am tunategemea by 2pm liwe limeshaingia Arusha,sawa na Dodoma,Tanga,Iringa (mabus yote haya yana yalitakiwa yasafiri kutoka Dar ndani ya masaa 8) na why mubus hayasafiri usiku hata baada ya Lugola kuja na lile tangazo lake la majambazi?,kipindi nchi ina heshima na adabu Scandanavian bus inaondoka Dar saa 6am,Ilula mnaingia 6mchana,1600 mpo border na mnavuka !!!
Kweli hili jambo linakear sana. Kwa mfano, unapanda gari linalotoka Arusha/ Moshi bila kueleza wanasimama wapi kuchimba dawa, lakini akitokea abiria akaomba achimbe dawa dereva anagomba! Pia ukifika muda wa kula, unajikuta mnaingia LIVERPOOL penye huduma mbovu lakini kwa vile dereva na wasaidizi wake wanakula bure basi abiria wote mnakuwa hamna namna. Hili lilikuta nikiwa naenda TANGA basi lilisimama hapo LIVERPOOL kwa kweli chakula ni ghari alafu siyo standard kabisa. Ni vizuri abiria tukawa tunauliza mambo muhimu kama sehemu ya kuchimba dawa, kifungua kinywa au chakula lcha mchana ili abiria afanye uamuzi sahihi.
 
inabidi waziri aseme na hawa watu yaani chips kuku 7000 kuweni na huruma nakumbuka wakati Kilimanjaro motorway imefunguliwa bufee ilikua elfu sita halafu ni self service...... ila sa hivi tunahudumiwa japo bei ghali lakini mazingira mazuri na chakula kizuri
 
Soko huria, serikali ikipanga bei za mazao tunailalamikia, wacha soko lipange bei, ni fursa pia kwa wanaotaka kuuza cha kula kwa bei ndogo wakafungue mahoteli ili ushindani uwe mkubwa.

Mwisho kabisa sio lazima kula njiani, nunua maji na korosho za kutosha utakula unapoenda kama una watoto mwambie mama yeyoo awapakilie vyakula.
Ni kama umelazimishwa maana basi limesimama hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie sili chips safarini, nilishawahi kupatwa na masahibu. Nilitoka Moshi kwenda Dar, tulivyofika Mombo tukaingia kula hoteli inaitwa Liverpool, nikala viwepe na mishikaki. Uwiiiiii yaani hata hatujafika mbali, tumbo likaanza kuuma, mharo unataka kuchomoza.

Nikawaza, nikimwambia konda nataka "kuchimba dawa" atasema hilo zoezi ilikuwa lifanyike hotelini tulipokula. Basi bwana akili ikaja ya ziada, nikamwendea konda, nikamdanganya kuwa NIMEANZA KU BLEED GHAFLA hivyo wasimamishe gari nikajisetiri, hahahaha, konda kusikia hivyo akamwambia dreva, gari ikasimama nikaenda kwenye hoteli mshenzi mshenzi, nikahariiiiiiishaaaaaa mpaka basi!
Pole shida sio viepe itakua ni nyama aka mishikaki na makachumbari kama uliweka
 
Na ukute ndio umekaa na pisi kali inabidi tu ujitutumue kula vya expensive
Mfano hao ABC BUS mwenye hiyo kampuni ana hotel yake inaitwa cath hotel, ipo dar, moro na dodoma ukipanda hili gari lazima mkale kwenye hiyo hotel yake ya morogoro (mpya) na vitu ni bei ghali.. tumbua tu ni 1000 kimoja jamani[emoji30] services wako vizuri gari zake zote ni luxury unaenjoy shida ndio hiyo tangu afungue hiyo hotel moro aisee[emoji1430] kula ni hapo na vyakula ni very expensive na ni vya kawaida tu!!!
 
Hapo Nangurukuru niliacha kununua, sio kwamba sikuwa na hela ila nilikwazika na sikutaka kujialaumu, soda 2000 takeaway, samaki mhhhhh chakula sasa ndio balaa gharama kubwa. Ifike hatua sasa tujiongeze tu kuonesha msimamo, hakuna kununua acheni.
Halafu hii biashara sio huru kwa sababu madereva na makonda(wa gari sio wa RC) wanacheza dili na wenye mahoteli na wengine makampuni ya mabasi yana hoteli zao kwahiyo wanasimama hapo tu kwahiyo kama una njaa inakulazimu kura na kwa sababu wapo wenyewe basi wanauza kwa bei wanayotaka ambayo sio rafiki kabisa.
Sasa hii sio nguvu ya soko kwa sababu hata ukiweka hoteli zako za bei ya kawaida kabisa basi hao madereva hawaji hapo kwahiyo hautafanya biashara.
Tujiandae mapema ili kuwaeouka hao wezi wakubwa. Halafu hivi vyakula sio salama sana, andaa nyama yako yako na kinywaji basi kula njiani au nunua biskuti kula
Sehemu 9, 10 ni pale panapoitwa LIVERPOOL labla ya Mombo. Chakula cha hapo ni bei ya juu lakini hakina ubora kabisa. Ni bora kweli Mamlaka husika ziwezekufuatilia maana kuna Watetzi wa Wasafiri, Wizara ya Afya, Mamlaka ya Chakula na Lishe. Tunaomba zifanyekazi kwa ajili ya haki za msafiri na usalama wa raia. Sasa kama mtu amekula chakula kibovu anataka kuharisha anakataliwa an konda, ni hatari kwa afya ya huyu mtu na abiria wengine iwapo atajizaidia ndani ya basi. Suppose ni Kipindupindu!
 
Niliwahi kula pale.
Wali nyama, maharage na mboga za majani 8000 wakati thamani yake haizidi 3000
Mfano hao ABC BUS mwenye hiyo kampuni ana hotel yake inaitwa cath hotel, ipo dar, moro na dodoma ukipanda hili gari lazima mkale kwenye hiyo hotel yake ya morogoro (mpya) na vitu ni bei ghali.. tumbua tu ni 1000 kimoja jamani[emoji30] services wako vizuri gari zake zote ni luxury unaenjoy shida ndio hiyo tangu afungue hiyo hotel moro aisee[emoji1430] kula ni hapo na vyakula ni very expensive na ni vya kawaida tu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikisafiri huwa nabeba hotpot lenye mixer pilau kidogo,mweupe kidogo,kuku kavu,ng'ombe kavu,majani kidogo,pilipili kwa mbali,maji kubwana soda kubwa ya kopo.
Hilo hotpot linaitwa traveller hotpot lina vyumba kibao na linatunza joto masaa 56 na ni ndogo yani saafi na bei yake ni rafiki.
Nilinunua baada ya kupata shida kama hizo hotel za kitonga kule.
Yani saizi nagharamia kuchimba dawa tu lkn napo natafuta hotpot la kuchimbia dawa.
Wakisema kushuka kwenda kula na kuchimba dawa hotelini mi nashuka na hotpot langu nakaa chemba nafanya yangu nafunga tight.
Hela zenyewe zipo wapi bna.


🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mfano hao ABC BUS mwenye hiyo kampuni ana hotel yake inaitwa cath hotel, ipo dar, moro na dodoma ukipanda hili gari lazima mkale kwenye hiyo hotel yake ya morogoro (mpya) na vitu ni bei ghali.. tumbua tu ni 1000 kimoja jamani[emoji30] services wako vizuri gari zake zote ni luxury unaenjoy shida ndio hiyo tangu afungue hiyo hotel moro aisee[emoji1430] kula ni hapo na vyakula ni very expensive na ni vya kawaida tu!!!
Umesema kweli. Bei ya chakula hapo ni shs 8,000. Afadhali kukata tiketi ya Shabiby ambao wanasimama kwenye mgahawa opposite na hoteli ya ABC😀 Nafikiri tunapoelekea abiria tutakuwa tunasafiri na hotpot zetu zenye misosi
 
Kwa taalifa yako Korosho ukila nyingi lazima ushikwe na tumbo la kuhara pia chakula cha kwenye hizo migahawa hakifanani na bei kinavyouzwa na hakina ubora.Nadhani wewe ni mtoto wa mama/kula kulala hujawahi kusafili na ukisafili huwa umebebwa mgongoni kwa Mama.
Mkuu hata kiswahili hujui kukiandika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa ni kuwagomea tu.Beba vipande vyako vya kuku wa kukaanga unakula njiani
 
Salam kwenu wakuu...

Mimi naomba nijuzwe jambo kuhusu namna ya usimamizi wa hizi HOTEL ZA BARABARANI(Kiinglishi wanaita MOTEL)...

Ni kwamba serikali imezisahau ama?

Yaani zinajiendesha tu zenyewe zinavyotaka...

WANAUZA BIDHAA ZAO UTASEMA VYAKULA VYAO VYATOKA MBINGUNI...

CHIPS KAVU NA TUNYAMA TWA MISHIKAKI 7000/-

SODA ILE TAKE AWAY 2000...

Alafu wana mashine ya EFD Kama geresha tu...hakuna mtu anayepewa RISITI...Tujue kuna kodi yaenda serikalini...

Au tujue bei wanazouza vyakula na bidhaa zao ambazo ni bei za juu mno...tujue wazi kuwa hii ndio bei elekezi ya SERIKALI...

MBAYA NI WATU WASIOJALI AFYA ZA WATU...VYAKULA VINAVYOUZWA MARA NYINGI Chips Yai, HUWA ZIMEKAANGWA TAYARI, SASA HUWA ZINABAKI HATA SIKU 3 HADI 4...WANAPASHA MOTO...

SASA NA ILE KIMBIA KIMBIA YA BASI..."CHUKUA CHAKULA ULE KWENYE BASI", WANAJUA UTAPAMBANA TU HALI YAKO HUKO KWENYE BUS...ILA WENYEWE HELA YAO IMEINGIA...unakuta chips yai yavutika kama mlenda....

NA HII NIMEIONA KWA MOTELS ZA DODOMA...

Hebu serikali iziangalie sana hizi hotels, KUSAFIRI isiwe adhabu jamani...yaani wanakula kwa advantage ya safari...tunauziana kwa bei ya watalii kama wanavyouza MAEMBE WAZANZIBAR...UNAWEZA KUTA DODO LA 500 MPAKA 700, WANAKWAMBIA ETY DOLLAR MBILI...

NDIO MAANA HALI INAZIDI KUWA NGUMU...

TUNAKANDAMIZANA WENYEWE KWA WENYEWE...

Naomba kuwasilisha...hii sekta imepuuzwa au imesahaulika?
 
Salam kwenu wakuu...

Mimi naomba nijuzwe jambo kuhusu namna ya usimamizi wa hizi HOTEL ZA BARABARANI(Kiinglishi wanaita MOTEL)...

Ni kwamba serikali imezisahau ama?

Yaani zinajiendesha tu zenyewe zinavyotaka...

WANAUZA BIDHAA ZAO UTASEMA VYAKULA VYAO VYATOKA MBINGUNI...

CHIPS KAVU NA TUNYAMA TWA MISHIKAKI 7000/-

SODA ILE TAKE AWAY 2000...

Alafu wana mashine ya EFD Kama geresha tu...hakuna mtu anayepewa RISITI...Tujue kuna kodi yaenda serikalini...

Au tujue bei wanazouza vyakula na bidhaa zao ambazo ni bei za juu mno...tujue wazi kuwa hii ndio bei elekezi ya SERIKALI...

MBAYA NI WATU WASIOJALI AFYA ZA WATU...VYAKULA VINAVYOUZWA MARA NYINGI Chips Yai, HUWA ZIMEKAANGWA TAYARI, SASA HUWA ZINABAKI HATA SIKU 3 HADI 4...WANAPASHA MOTO...

SASA NA ILE KIMBIA KIMBIA YA BASI..."CHUKUA CHAKULA ULE KWENYE BASI", WANAJUA UTAPAMBANA TU HALI YAKO HUKO KWENYE BUS...ILA WENYEWE HELA YAO IMEINGIA...unakuta chips yai yavutika kama mlenda....

NA HII NIMEIONA KWA MOTELS ZA DODOMA...

Hebu serikali iziangalie sana hizi hotels, KUSAFIRI isiwe adhabu jamani...yaani wanakula kwa advantage ya safari...tunauziana kwa bei ya watalii kama wanavyouza MAEMBE WAZANZIBAR...UNAWEZA KUTA DODO LA 500 MPAKA 700, WANAKWAMBIA ETY DOLLAR MBILI...

NDIO MAANA HALI INAZIDI KUWA NGUMU...

TUNAKANDAMIZANA WENYEWE KWA WENYEWE...

Naomba kuwasilisha...hii sekta imepuuzwa au imesahaulika?
CCM ndio chanzo cha yote haya
 
Back
Top Bottom