INAUZWA Bei za CCTV cameras kwa mfumo wa seti

INAUZWA Bei za CCTV cameras kwa mfumo wa seti

Vizuri, je bila hilo bando kuwepo je kipi kitapungua au kama mwenye camera kipi sitopata na ni kipi nitaendelea kupata na Mantiki ya kuwa na Cctv ikapabaki kuwa palepale
Bila kuwepo kwa acess ya internet kwenye ROUTER yako itasababisha ukiwa mbali na eneo lako lenye acess ya CCTV camera ushindwe kuona matukio kupitia kifaa chako cha kieletroniki. Zaidi mantiki itabaki palepale kupitia kifaa kinachotunza kumbukumbu yaani HDD (hard drive disk) ambacho kitakuwezesha kuona matukio yako kupitia kifaa chako cha kieletroniki endapo utakuwa tayari umeweka kifurushi cha bando katika ROUTER yako.
 
Bila kuwepo kwa acess ya internet kwenye ROUTER yako itasababisha ukiwa mbali na eneo lako lenye acess ya CCTV camera ushindwe kuona matukio kupitia kifaa chako cha kieletroniki. Zaidi mantiki itabaki palepale kupitia kifaa kinachotunza kumbukumbu yaani HDD (hard drive disk) ambacho kitakuwezesha kuona matukio yako kupitia kifaa chako cha kieletroniki endapo utakuwa tayari umeweka kifurushi cha bando katika ROUTER yako.

Asante mno kwa Ufafanuzi
 
Najua unauliza swali hili kwa mtego nami nakupa majibu yafuatayo
1.Seti zangu natumia camera za Dahua 1080p na HIKVISION 1080p zote zikiwa colorvue iwe ya sauti au normal bei yangu ya installation ni moja.

2.DVR natumia 1080p ya DAHUA pekee because iko na smart view, simple to use kwa wateja wangu, better maintenance na HD camera appearance bila shida yoyote [emoji817]

3.Natumia camera zenye quality ya 1080p, zooming up to 3.8mm,iwapo mteja akitaka kubadili nafunga 5mp zooming up to 13.8mm

4.Seti ya camera 8 naweka 2tb hard disk kwa ajili ya kupata taarifa za muda mrefu.

BADO UNA SWALI MR RASTA?
Hapo safi
 
Back
Top Bottom