Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok,ni vizuri unaweza puliza rangi lakini zingatia sana lenzi zake zisipate hiyo rangi na pia mice endapo kamera ni ya sauti.Hivi nikinunua kisha nikapuliza rangi nyeusi kutakuwa na tatizo gani? Cctv nyingi naona ni nyeupe easy to be spotted?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]BADO na iko normal special for setsNafurahi ushindani umesababisha bei ishuke sana ila bado
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Unasajili laini na kuweka bando then unaweka laini kwa router,yenyewe automatic itagawa wi-fi kwenda kwa DVRHizo router zinakuwa zinatape Internet kutoka wapi
Hatari sana bosse,unakuwa kama intelligence kwa muda [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Izi hidden camera Ni noma.hadi kwenye miwani ,Tai na saa duh
Fresh nitakutafuta kuna sehemu yahitaji zaidi ya 20[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]BADO na iko normal special for sets
Unasajili laini na kuweka bando then unaweka laini kwa router,yenyewe automatic itagawa wi-fi kwenda kwa DVR
Inshaallah,tukijaaliwa. Karibu sanaFresh nitakutafuta kuna sehemu yahitaji zaidi ya 20
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Bila kuwepo kwa acess ya internet kwenye ROUTER yako itasababisha ukiwa mbali na eneo lako lenye acess ya CCTV camera ushindwe kuona matukio kupitia kifaa chako cha kieletroniki. Zaidi mantiki itabaki palepale kupitia kifaa kinachotunza kumbukumbu yaani HDD (hard drive disk) ambacho kitakuwezesha kuona matukio yako kupitia kifaa chako cha kieletroniki endapo utakuwa tayari umeweka kifurushi cha bando katika ROUTER yako.Vizuri, je bila hilo bando kuwepo je kipi kitapungua au kama mwenye camera kipi sitopata na ni kipi nitaendelea kupata na Mantiki ya kuwa na Cctv ikapabaki kuwa palepale
Sawa boss,bila kukusahau nitakutagMzigo wa hidden camera ukifika naomba unitag
Bila kuwepo kwa acess ya internet kwenye ROUTER yako itasababisha ukiwa mbali na eneo lako lenye acess ya CCTV camera ushindwe kuona matukio kupitia kifaa chako cha kieletroniki. Zaidi mantiki itabaki palepale kupitia kifaa kinachotunza kumbukumbu yaani HDD (hard drive disk) ambacho kitakuwezesha kuona matukio yako kupitia kifaa chako cha kieletroniki endapo utakuwa tayari umeweka kifurushi cha bando katika ROUTER yako.
Tuko pamoja mkuuAsante mno kwa Ufafanuzi
Kumbe Kuna Za Sauti, Kuna Mtu aliniambia NikambishiaOk,ni vizuri unaweza puliza rangi lakini zingatia sana lenzi zake zisipate hiyo rangi na pia mice endapo kamera ni ya sauti.
Zipo mkuuKumbe Kuna Za Sauti, Kuna Mtu aliniambia Nikambishia
Hapo safiNajua unauliza swali hili kwa mtego nami nakupa majibu yafuatayo
1.Seti zangu natumia camera za Dahua 1080p na HIKVISION 1080p zote zikiwa colorvue iwe ya sauti au normal bei yangu ya installation ni moja.
2.DVR natumia 1080p ya DAHUA pekee because iko na smart view, simple to use kwa wateja wangu, better maintenance na HD camera appearance bila shida yoyote [emoji817]
3.Natumia camera zenye quality ya 1080p, zooming up to 3.8mm,iwapo mteja akitaka kubadili nafunga 5mp zooming up to 13.8mm
4.Seti ya camera 8 naweka 2tb hard disk kwa ajili ya kupata taarifa za muda mrefu.
BADO UNA SWALI MR RASTA?
[emoji120]Hapo safi