Mimi hapa binafsi nipo kujifunza zaidi mana bado muda wa kuweka hizo cctv.
Naomba kufahamu:
1.Naskia kuna mfumo wa CCTV ambao unaunganisha kwenye smartphone yako ambapo ukiwa mbali na nyumbani unaona kinachoendelea, je ni kweli?
2. Nilichokuwa najua hapo awali, lengo la cctv kwa nyumbani ni kuhakikisha usalama ili hata kama haupo mwizi akija anarekodiwa. Sasa itakuwaje endapo cctv camera inaonekana, halafu mwizi akaja nyumbani kwako wewe ukiwa haupo na akaziona cctv, si atafanya juu chini kuhakikisha anavunja hata milango ya nyumba nzima ili aondoke na hard disc kwa sababu atakuwa amejua ameonwa kwenye cctv!
Nilikuwa naona kwa nyumbani unaweka cctv ndogondogo ili mwizi asizione, au ipoje wataalamu!
Naomba kufahamu:
1.Naskia kuna mfumo wa CCTV ambao unaunganisha kwenye smartphone yako ambapo ukiwa mbali na nyumbani unaona kinachoendelea, je ni kweli?
2. Nilichokuwa najua hapo awali, lengo la cctv kwa nyumbani ni kuhakikisha usalama ili hata kama haupo mwizi akija anarekodiwa. Sasa itakuwaje endapo cctv camera inaonekana, halafu mwizi akaja nyumbani kwako wewe ukiwa haupo na akaziona cctv, si atafanya juu chini kuhakikisha anavunja hata milango ya nyumba nzima ili aondoke na hard disc kwa sababu atakuwa amejua ameonwa kwenye cctv!
Nilikuwa naona kwa nyumbani unaweka cctv ndogondogo ili mwizi asizione, au ipoje wataalamu!