Bei za mafuta juu, vita vikisambaa mashariki ya kati

Bei za mafuta juu, vita vikisambaa mashariki ya kati

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Nani anataka vita mashariki ya kati?

2. Kwa hakika si Houthi, Marekani, wala washirika wake; achilia mbali makapuku wengine sisi "Chole Samvula" huku.

3. Nani asiyezijua athari za vita, achilia mbali mashariki ya kati?

4. Siyo sisi tuliowahi kushauriana kuhamia hata Burundi ikibidi?

5. Kumbe haikuwa kutokana na makali ya mfumuko wa bei, chanzo mafuta?

6. Kwamba makapuku sisi tuko tunakenua kushabikia vita?

7. Habari hizi zimfikie yule daktari bingwa wa uchumi:

IMG_20240113_020225.jpg


8. Huu unaweza kuwa ni muda muafaka wa kuanza kutest mitambo.

9. Kwa hakika a test na kushikilia hapo hapo, hadi akili zitukae sawa!

10. Kwamba kama nchi leo tumesheheni vijana wa hovyo washabikia vita, tena mashariki ya kati?

11. Mbona Afrika Kusini wanajiwakilisha vyema kimataifa jama makini?

12. Kumbe sisi kutanguliza "ujinga uliopitiliza" nalo ni dili?

Siyo siri, tutakuwa tumerogwa!
 
Hahahahaa wameshapata sababu, subiri uone sasa
Mkuu si sababu, lazima bei zipande.

Kimsingi:

1. Acha ipande kama wananchi hatujui tunataka nini au hatutaki nini.

2. Wasomi na wasio wasomi hakuna tofauti hata ya kimawazo?

3. Kila kitu ushabiki, hatuna hata kujitathmini?

4. Haki ni za mtu binafsi na familia yake si wengine.

EWURA bei mpya tafadhali .. !
 
Waache tu washabikie vita kwani hawaijui
Na ndio maana hata wakimbizi wanaoingia kwetu kuomba hifadhi wanateshwa kama majambazi kisa wengi hawajaona vita
Lakini je huu ndio uungwana na amani mnayojisifia?

Hela za kuwalisha sio za serikali ila wakikamatwa utaona polisi wanavyokenua meno kujionyesha kwenye makamera na kupiga mapicha kama wamekamata wauza Unga wa Mexico

Wala sishangai kwa waafrika maana hata JK alisema wakati fulani alipokuwa Rais
Kuwa sisi haitaathiri uchumi wetu lakini yaliyotokea baadae hakurudi kutoa samahani
 
Waache tu washabikie vita kwani hawaijui
Na ndio maana hata wakimbizi wanaoingia kwetu kuomba hifadhi wanateshwa kama majambazi kisa wengi hawajaona vita
Lakini je huu ndio uungwana na amani mnayojisifia?

Hela za kuwalisha sio za serikali ila wakikamatwa utaona polisi wanavyokenua meno kujionyesha kwenye makamera na kupiga mapicha kama wamekamata wauza Unga wa Mexico

Wala sishangai kwa waafrika maana hata JK alisema wakati fulani alipokuwa Rais
Kuwa sisi haitaathiri uchumi wetu lakini yaliyotokea baadae hakurudi kutoa samahani

1. Hii hapa:

".. Kuwa sisi haitaathiri uchumi wetu lakini yaliyotokea baadae hakurudi kutoa samahani."

2. Ndipo aina ya kina Mpaji Mungu ilipo.

3. Umungu Mungu kibao tatizo vichwani mwao!
 
1. Hii hapa:

".. Kuwa sisi haitaathiri uchumi wetu lakini yaliyotokea baadae hakurudi kutoa samahani."

2. Ndipo aina ya kina Mpaji Mungu ilipo.

3. Umungu Mungu kibao tatizo vichwani!
Halafu ujuaji mwingi
Kuna nyangumi anaitwa sperm whale huwa inamchukua saa nzima kuamua kuelekea kushoto au kulia yaani kukata kona, ndio hao sasa
 
Ewura.......bei mpya tafadhali

Mnajichelewesha na
kutuchelewesha sana
 
Back
Top Bottom