johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tutayasafisha hapo TiperMafuta ya Uganda ni gafi..kwahyo mpaka yaende nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutayasafisha hapo TiperMafuta ya Uganda ni gafi..kwahyo mpaka yaende nje
Mara ya mwisho mlisafisha lini? Lile bomba la Hoima limeshaingia Mutukula?Tutayasafisha hapo Tiper
Bei za mafuta zikipanda, wapiga kura US wanambwaga Biden mwaka huu with immediate effect. Haijalishi kama ndiye aliyesababisha au la.1. Asema mtanzania kijana wa hovyo wakati hata beberu inamfikirisha:
View attachment 2870392
2. Inasikitisha EWURA kuchelewesha dozi!
Umesahau tumeshapauza na hakuna refinary inayofanyika paleTutayasafisha hapo Tiper
Umesahau tumeshapauza na hakuna refinary inayofanyika pale
Fanya kutembelea TIPER ujionee hali ya mitambo - kabla hujanunua hiyo lami ya Uganda.Tutayasafisha hapo Tiper
Vipi kwenye pump EWURA bado hawana jipya?
Oil prices rise on US-UK strikes over Red Sea attacks
Utam, MK254, Fintan20
Kwa traders wao kila mahala Ni fursa,ishuke ama ipande
Nakumbuka kuna mpango wa Refinery, tena ambayo wana Afrika Mashariki wanakuwa na hisa.Mafuta ya Uganda ni gafi..kwahyo mpaka yaende nje
Lini utaanxaNakumbuka kuna mpango wa Refinery, tena ambayo wana Afrika Mashariki wanakuwa na hisa.
Bei za mafuta zikipanda, wapiga kura US wanambwaga Biden mwaka huu with immediate effect. Haijalishi kama ndiye aliyesababisha au la.
Hapa kwetu wakulu wanaserereka tu na taarabu ya tangu 1961. Asiyetaka, awapishe, aende Burundi.
Ndio maana napinga ugaidi wa hamas na houth.
Acha kuogopesha watu kwa hoja za dhaifu,hebu niambie ni vipi mimi kushabikia/kutoshabikia vita kunapelekea kushusha au kupandisha bei ya mafuta? Na ni vipi huyo South africa yeye hatahusika na huko kupanda kwa mafuta kisa tu hashabikii vita?Si ndiyo maana jitihada zao kutafuta suluhisho la haki ili yatokanayo kama haya, yasikusibu hata wewe na bibi yako Magubike kijijini huko?
Akiingia kichaa Trump mashariki ya kati kutawaka moto maana yule jamaa huwa hacheki na magaidi bora hata Biden mpole kidogo
Acha kuogopesha watu kwa hoja za dhaifu,hebu niambie ni vipi mimi kushabikia/kutoshabikia vita kunapelekea kushusha au kupandisha bei ya mafuta? Na ni vipi huyo South africa yeye hatahusika na huko kupanda kwa mafuta kisa tu hashabikii vita?
Wanachofanya ni illogical lwenda kushambulia Yemen badala ya kuishauri israel isimamishe vita ili wayemen waache kushambulia meli zao maana wayemenj wanaweka presha hiyo ila sasa usa na uk wanaona kuzidisha mzozo ndio suluhu sasa air strike zinazuia vipi wayemen wasiingie baharini na kushambulia walengwa wao au kitendo tu cha kufanya vita pengine ya mda mrefu pale red sea ndio itafunga zaidi meli zisipite pale mara nyingi mdudu akitua kwenye kidole huchukui nyundo na kumponda bali unatumia hekima ya kumtoa na kijiti na kumuweka pembeni na kumponda ukitumia nguvu unajiumiza haya yetu macho na masikio ila ni kweli nchi masikini tunategemea mafuta kutoka middle east ndio zitaumia zaidi japo na wao pia wataumia, hope common sense zitawaingia .1. Nani anataka vita mashariki ya kati?
2. Kwa hakika si Houthi, Marekani, wala washirika wake; achilia mbali makapuku wengine sisi "Chole Samvula" huku.
3. Nani asiyezijua athari za vita, achilia mbali mashariki ya kati?
4. Siyo sisi tuliowahi kushauriana kuhamia hata Burundi ikibidi?
5. Kumbe haikuwa kutokana na makali ya mfumuko wa bei, chanzo mafuta?
6. Kwamba makapuku sisi tuko tunakenua kushabikia vita?
7. Habari hizi zimfikie yule daktari bingwa wa uchumi:
View attachment 2870195
8. Huu unaweza kuwa ni muda muafaka wa kuanza kutest mitambo.
9. Kwa hakika a test na kushikilia hapo hapo, hadi akili zitukae sawa!
10. Kwamba kama nchi leo tumesheheni vijana wa hovyo washabikia vita, tena mashariki ya kati?
11. Mbona Afrika Kusini wanajiwakilisha vyema kimataifa jama makini?
12. Kumbe sisi kutanguliza "ujinga uliopitiliza" nalo ni dili?
Siyo siri, tutakuwa tumerogwa!
Wanachofanya ni illogical lwenda kushambulia Yemen badala ya kuishauri israel isimamishe vita ili wayemen waache kushambulia meli zao maana wayemenj wanaweka presha hiyo ila sasa usa na uk wanaona kuzidisha mzozo ndio suluhu sasa air strike zinazuia vipi wayemen wasiingie baharini na kushambulia walengwa wao au kitendo tu cha kufanya vita pengine ya mda mrefu pale red sea ndio itafunga zaidi meli zisipite pale mara nyingi mdudu akitua kwenye kidole huchukui nyundo na kumponda bali unatumia hekima ya kumtoa na kijiti na kumuweka pembeni na kumponda ukitumia nguvu unajiumiza haya yetu macho na masikio ila ni kweli nchi masikini tunategemea mafuta kutoka middle east ndio zitaumia zaidi japo na wao pia wataumia, hope common sense zitawaingia .
1. Wakati traders wanapiga pesa, vidampa kama huyu mwenye hili:
Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa
2. Kwamba ilikuwa ni bangi au karne gani hili na huyu mburula?
3. Walipo wanakenua kama mafundi tochi.
View attachment 2870655
MK254
Zombi la dini hebu tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wako ambaye husababisha mchinje watu...
Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!
Unamzika mtu akiwa hai, tena kwa ukatili, yote hii kisa sheria za kidini, halafu ukifa uje kushangaa huyo ambaye umekuwa ukimuabudu na kusababisha ufanye ukatili mengi kumbe siye. Mimi japo ni muumini wa uwepo wa Mungu, lakini haya masuala ya kiimani ni ya mtu binafsi na wala sina uwezo wa...
www.jamiiforums.com![]()
![]()