Beijing: China yaiwekea vikwazo kampuni ya utengenezaji wa chips ya Marekani (Micron)

Beijing: China yaiwekea vikwazo kampuni ya utengenezaji wa chips ya Marekani (Micron)

Mkuu fatilia vizuri, decoupling haijaanza jana wala leo since 2015 makampuni yamekuwa yakiondoka China, ila kwa sasa ndo inazidi kadri mdororo na mikwaruzano inavyozidi ndivyo kampuni zinavyozidi kuwa na wasiwasi.

Hakuna kampuni inapenda hasara, itakayokubali kuwekeza China wakati inaonekana mda wowote vita italipuka, mda wowote resictriction zitatangazwa.

Decoupling huwa haifanyiki ghafla huwa inaanza kwa kupunguza production kidogokidogo huku ikianzishwa investment sehemu nyingine mwisho wa siku wakijiridhisha ndipo wanafunga moja kwa moja production nzima

Foxconn major iPhone manufacturer kampuni ya Taiwan , Samsung, zimeshafunga virago kwa asilimia kubwa na kuamia korea, Vietnam na india.

Ukitaka kuona jinsi Xi na China wanavyohofia decoupling angalia na fatilia majibu yao pale ambapo kila kikao au mazungumzo ya decoupling yanapofanyika, huwa wanafume kwa hasira na wanasisitizaga Sanaa nchi zisijiondoe, fatilia majibu ya China after kikao cha G7!

Unajua kwann China mpaka Leo anang'ang'ania UN imtambue kama developing country status na sio developed country ni kwasababu ya favour za import na export anazozipata, akiondolewa kwenye hii status atapata tabu sana kwa maana favor zote za import and export zitaondolewa na hapa ndipo hali ya business kwa China itakuwa ngumu

Wewe unaandika upumbavu gani? Unajua kampuni zilizochina zinamake profit kias gani? Unafikiri anayeumia ni China au west??. Nasubir apple watoke China afu tuone kama iphone zitazagaa bongo. Apple wenyewe wanakwambia wamepiga faida kutoka China unafikir easy sana.

China na Russia production cost ziko low sana ndomana unaona makampuni yao yanakimbilia huko. Wameshindwa Russia wataweza China??

Marekani anawaingiza chaka wenzie, yeye mwenyewe anataka kuapproval Debt ceiling hali ni mbaya huko, dollar ishakua shida kila kona.
 
Makampuni mengi ya electronics yanayomilikwia na wachina wenyewe na mataifa mengine saivi yanahamia mexico,

Mizozo na vita vya kiuchumia havina faida kwa China hata kidogo, Hasara ni kubwa mno. Soko Kubwa la China lipo Europe na USA ambako anazidi kupavuruga kila siku kwa sera mbovu na kuvunja international laws.

Kwasasahivi migogoro ya kubana pesa za watu benki, watu kukatwa pensheni zao, unemployment China ni mingi na inazidi kukuwa siku baada ya siku. Migomo na reaction za watu zipo ila ni za chinichini

Decoupling ikichanganya utaona migomo na maandamano itakavyoshamiri. Taifa lenye watu zaidi ya Bilion 1 halafu kuwe na changamoto tu za ajira mkuu sio jambo dogo.

Unawachukulia China simple sana huu uchambuzi hata kipindi cha Russia mlikua mkiandika hivi mwisho wa siku nini kimetokea??

Unasema changamoto ya ajira china wakati unemployment rate imeshuka

“The rise was all the more surprising given that urban unemployment overall fell to 5.2% in China as of April, compared with 6.1% a year earlier.”

Hujui lolote kuhusu China, hawa ndani ya miaka 5 watakua washampindua US kwenye GDP maana kwenye PPP kashaachwa mbali sana.
 
Kuweka vikwazo kwa chips za Marekani is good for nothing sana sana watakaoumia ni wao wenyenyew china kukosa huduma kwa watu wao tokea vile wao wanashindwa kuzalisha, Taiwan ndo washakukoroga kwisha habari yao wataendelea kutengeneza baiskeli na vyerahani vya kushonea nguo
mihemko mibaya sana!!
 
Mkutano wa G7 uliweka bayana agenda ya kuacha kuitegemea China kiuchumi haswa kwenye upande wa uwekezaji wa viwandani hii inatikana na China kuzidi kuwa mkorofi kwakuwa anaona uchumi wake unakuwa zaidi.

Haya ndio majibu ya Beijin baada ya ule mkutano wa G7, matokeo ya ule mkutano yataketa maumivu makubwa sana China.

Nchi zote zilizoshiriki ule mkutano pamoja na washirika wengine watapunguza kama sio kuondoa uwekezaji wao China.

Xi anazidi kuwaponza wachina, mvutano wa kichumi mikwaruzano na mataifa jirani, sera mbaya za mambo ya nje zitawaumiza sana wachina wengi.
acha kuichukulia poa China wewe!! unafikiri walichokifanya wamekurupuka kama unavyokurupuka kuandika nyuzi zako humu
 
Mkutano wa G7 uliweka bayana agenda ya kuacha kuitegemea China kiuchumi haswa kwenye upande wa uwekezaji wa viwandani hii inatikana na China kuzidi kuwa mkorofi kwakuwa anaona uchumi wake unakuwa zaidi.

Haya ndio majibu ya Beijin baada ya ule mkutano wa G7, matokeo ya ule mkutano yataketa maumivu makubwa sana China.

Nchi zote zilizoshiriki ule mkutano pamoja na washirika wengine watapunguza kama sio kuondoa uwekezaji wao China.

Xi anazidi kuwaponza wachina, mvutano wa kichumi mikwaruzano na mataifa jirani, sera mbaya za mambo ya nje zitawaumiza sana wachina wengi.
Competitiveness ya G7 haipo bila cheap gas ya kutoka Russia. Never.

G7 wakiamua ku relocate industries kutoka china na kupeleka nchi nyingine napo huko wanakutana na walewale wawekezaji wa ki china. Kwa sababu Chinese are everywhere.
 
Mkutano wa G7 uliweka bayana agenda ya kuacha kuitegemea China kiuchumi haswa kwenye upande wa uwekezaji wa viwandani hii inatikana na China kuzidi kuwa mkorofi kwakuwa anaona uchumi wake unakuwa zaidi.

Haya ndio majibu ya Beijin baada ya ule mkutano wa G7, matokeo ya ule mkutano yataketa maumivu makubwa sana China.

Nchi zote zilizoshiriki ule mkutano pamoja na washirika wengine watapunguza kama sio kuondoa uwekezaji wao China.

Xi anazidi kuwaponza wachina, mvutano wa kichumi mikwaruzano na mataifa jirani, sera mbaya za mambo ya nje zitawaumiza sana wachina wengi.
Jamii forum imekuwa na wajinga wengi sana saivi china ana misuli mikubwa sana hakuna nchi ambayo iko tayri kujitenga na china narudia tena hakuna nchi yoyote kwa mwelekeo wa kiuchumi wa saivi ulivyoo na kama watataka kufanya ivyo itachukua si chini ya miaka 10 mbeleni, kama Russia tu inflation imekuwa ivi basi jua china itakuwa mara 10 yake kwenye nchi zao na chumi nyingi zitaanguka, china si tu ana export bidhaa zake ila ana import rawmaterial kote duniani ana import bidhaa nyingi za kilimo kutoka nchi zote za ulaya pamoja na marekani kwa ujumla ndyo nchi yenye soko la uwakika kwa bidhaa ghali za ulaya na marekani kumtingisha uyu ni kutingisha chumi zao wao wenyewe wakitoka apo kwenye kikao cha G7 mmoja mmoja anarudi mwenyewe kuongea na raisi wa china usiisi wanafanya ivyo kwa baati mbaya ila wanajua vile uchumi wa china ni muhimu kwao.

China si yule wa miaka ya 90 saivi ana nguvu ambazo c za kawaida wengi mnaongelea kuusu viwanda vingi vya ulaya na marekani kuwa china kwamba wakivitoa uchumi wa china utaangamia nawashaurini nendeni mkasome zaidi kuusu china alafu ndyo mje na kauli iyoo apa tena nchi za ulaya na marekani wakitaka makampuni yao yafilisike wayatoe china na ilo halitawezekana kwa sasa kwa sababu kuuu mbili 1. Utajiri wa china kwa sasa,kumbuka ni mkopeshaji mkubwa duniani kwaiyo anaweza kufanya yale anayofanya nchi nyingi za ulaya, uwezo wake wa kuanzisha kampuni inayotoa bidhaa kama zako na bora kuliko zako na bei ikawa chini kuliko yako moja kwa moja anakutoa sokoni bila kupenda 2. Amewekeza sana kwenye elimu na ujuzi unaoendana na soko linavyoitaji kwa sasa, CEO wa apple na aa TESLA walisema china inakuoffa watu wa aina zote kwa ujuzi uutakao
 
Wewe unaandika upumbavu gani? Unajua kampuni zilizochina zinamake profit kias gani? Unafikiri anayeumia ni China au west??. Nasubir apple watoke China afu tuone kama iphone zitazagaa bongo. Apple wenyewe wanakwambia wamepiga faida kutoka China unafikir easy sana.

China na Russia production cost ziko low sana ndomana unaona makampuni yao yanakimbilia huko. Wameshindwa Russia wataweza China??

Marekani anawaingiza chaka wenzie, yeye mwenyewe anataka kuapproval Debt ceiling hali ni mbaya huko, dollar ishakua shida kila kona.
Kuondoka Kwa makampuni china ni kawaida...kwani uchumi wa china umekuwa maradufu....so zile faida za cheap labor hazipo Tena.....Sasa anachoweza mchina ni automation ambayo inawaweka west kwenye Hali mbaya
Waache awa wajinga wanaiona china ni sawa na india au vetnam wale watu waache kabisa kwanz wamemaster teknolojia zote za msingi katika uendelezaji wa uchumi wao siyo Artificial intelligence, siyo nuclear fusion, siyo umeme was magari , siyo umeme wa jua yani everything wako wameshatia mguu hadi marekani analia kuweka vikwazo vya kiteknolojia ameshachelewa kitambo sana ivi vikao wanavyoweka kuusu China ni kutaka kuweka mzani sawa wa kibiashara baina yao wala si kutaka kujitenga na China haitakaa iwezekanee abadani amashakuwa mkubwa mwenzao kiuchumi wakubali tu
 
Waache awa wajinga wanaiona china ni sawa na india au vetnam wale watu waache kabisa kwanz wamemaster teknolojia zote za msingi katika uendelezaji wa uchumi wao siyo Artificial intelligence, siyo nuclear fusion, siyo umeme was magari , siyo umeme wa jua yani everything wako wameshatia mguu hadi marekani analia kuweka vikwazo vya kiteknolojia ameshachelewa kitambo sana ivi vikao wanavyoweka kuusu China ni kutaka kuweka mzani sawa wa kibiashara baina yao wala si kutaka kujitenga na China haitakaa iwezekanee abadani amashakuwa mkubwa mwenzao kiuchumi wakubali tu

Ukiangalia hata trade btn them utaona china inport kidogo sana kutoka West ila ana Export sana kwenda west hata Equilibrium haiko balanced. China ana import kidogo sana.
 
Ukiangalia hata trade btn them utaona china inport kidogo sana kutoka West ila ana Export sana kwenda west hata Equilibrium haiko balanced. China ana import kidogo sana.
Ni kweli Ila kwa kiuhalisia ni ngumu mzani kuwa sawa sababu ya uhitaji kati yao China ni manufacturer hub anatengeneza bidhaa nyingi kwa gharama ndogo kuliko wao na west wanategemea sana viwanda vya China kustabiliz mfumuko wa bei kwenye nchi zao na wanalijua iloo.
Mfano mdogo ni zile tarrif walizokuwa wanapigiaana China na marekani kipindi cha trump China ilipiga tarrif bidhaa za kilimo za marekani ikapelekea maziwa kuaribika na kukosa soko kabisa hadi wakulima wakaanza maandamano
 
Waache awa wajinga wanaiona china ni sawa na india au vetnam wale watu waache kabisa kwanz wamemaster teknolojia zote za msingi katika uendelezaji wa uchumi wao siyo Artificial intelligence, siyo nuclear fusion, siyo umeme was magari , siyo umeme wa jua yani everything wako wameshatia mguu hadi marekani analia kuweka vikwazo vya kiteknolojia ameshachelewa kitambo sana ivi vikao wanavyoweka kuusu China ni kutaka kuweka mzani sawa wa kibiashara baina yao wala si kutaka kujitenga na China haitakaa iwezekanee abadani amashakuwa mkubwa mwenzao kiuchumi wakubali tu
Nilikuwa naangalia ...mchambuzi mmoja anasema future techology china anazicontrol sio green energy,sio battery,sio manufacturing,sio trains na vingone vingi
 
Kuweka vikwazo kwa chips za Marekani is good for nothing sana sana watakaoumia ni wao wenyenyew china kukosa huduma kwa watu wao tokea vile wao wanashindwa kuzalisha, Taiwan ndo washakukoroga kwisha habari yao wataendelea kutengeneza baiskeli na vyerahani vya kushonea nguo
Inamaana wanapiga ban bila ya kujua mbadala wa hiyo ban?
Basi watakuwa wana akili kama za Kiafrika.
 
Unawachukulia China simple sana huu uchambuzi hata kipindi cha Russia mlikua mkiandika hivi mwisho wa siku nini kimetokea??

Unasema changamoto ya ajira china wakati unemployment rate imeshuka

“The rise was all the more surprising given that urban unemployment overall fell to 5.2% in China as of April, compared with 6.1% a year earlier.”

Hujui lolote kuhusu China, hawa ndani ya miaka 5 watakua washampindua US kwenye GDP maana kwenye PPP kashaachwa mbali sana.
Hizi data umezitoa wapi?

China Bureau of statistics ilitoa takwimu za unemployment rate kwa watu walio na umri kati ya miaka 16 hadi 24 na kudai inazidi mwaka hadi mwaka kwa sasa ipo kwenye asilimia 20+

Wewe unadai unemployment rate imeshuka, which is which?
 
Competitiveness ya G7 haipo bila cheap gas ya kutoka Russia. Never.

G7 wakiamua ku relocate industries kutoka china na kupeleka nchi nyingine napo huko wanakutana na walewale wawekezaji wa ki china. Kwa sababu Chinese are everywhere.
Acha porojo na hadithi za vijiweni,

Marekani na Canada wanayo gesi na mafuta yao ya kutosha.
Japan inachukua gas yake kutoka Australia.
China inachukua gas nyingi zaidi kutoka Australia.
 
Wewe unaandika upumbavu gani? Unajua kampuni zilizochina zinamake profit kias gani? Unafikiri anayeumia ni China au west??. Nasubir apple watoke China afu tuone kama iphone zitazagaa bongo. Apple wenyewe wanakwambia wamepiga faida kutoka China unafikir easy sana.

China na Russia production cost ziko low sana ndomana unaona makampuni yao yanakimbilia huko. Wameshindwa Russia wataweza China??

Marekani anawaingiza chaka wenzie, yeye mwenyewe anataka kuapproval Debt ceiling hali ni mbaya huko, dollar ishakua shida kila kona.
Unaposema kuumia unamaanisha nn?

China aliweka mazingira ya kiuwekezaji ili pia kusovu tatizo la unemployment.

Sasa kama haumii mbona tatizo la ajira China linazidi kukua siku baada ya siku? Mbona wachina wanahama nchini kwao kwenda nchi za west na za jirani kutafuta ajira? Mbona matajiri China wanahamisha Mitaji yao nchi zingine?

Kwa nchi ambayo ipo censored in every detail hauwezi kuyaona madhara yanayowakumba, China kwasasa ana deni kubwa zaidi ya dola trioni 10 yaani deni ni twice of Japanese GDP... tatizo la uwekezaji wa real estate ndo halizungumziki

Marekani ilitangaza wahamiaji kutokea China wameongezeka kwa asilimia 900, tatizo ni nini? Kwanini wachina wanapakimbia China?
Kwanini malalamiko ya wachina kuhusu hali zao za maisha yanaongezeka siku hadi siku?

Halafu micron ni moja tu ya makampuni ya chip, Marekani ana makampuni chungu nzima ya kuunda chip...

Intel Corporation
Nvidia
Texas Instruments
Analog Devices
Microchip Technology
Skyworks Solutions Inc
Maxim Integrated
Xilinx, Inc
Parent -Advanced Micro Devices, Inc
Advanced Micro Devices (AMD)
Qualcomm
Intel
Apple
Global foundries
Nxp semiconductor n.k

Hapo ni kwa uchache tu achana na ubia na makampuni mengine kama TSMC ambayo ni global manufacturer ambayo nayo inataka kuhamishia production USA....
 
Jamii forum imekuwa na wajinga wengi sana saivi china ana misuli mikubwa sana hakuna nchi ambayo iko tayri kujitenga na china narudia tena hakuna nchi yoyote kwa mwelekeo wa kiuchumi wa saivi ulivyoo na kama watataka kufanya ivyo itachukua si chini ya miaka 10 mbeleni, kama Russia tu inflation imekuwa ivi basi jua china itakuwa mara 10 yake kwenye nchi zao na chumi nyingi zitaanguka, china si tu ana export bidhaa zake ila ana import rawmaterial kote duniani ana import bidhaa nyingi za kilimo kutoka nchi zote za ulaya pamoja na marekani kwa ujumla ndyo nchi yenye soko la uwakika kwa bidhaa ghali za ulaya na marekani kumtingisha uyu ni kutingisha chumi zao wao wenyewe wakitoka apo kwenye kikao cha G7 mmoja mmoja anarudi mwenyewe kuongea na raisi wa china usiisi wanafanya ivyo kwa baati mbaya ila wanajua vile uchumi wa china ni muhimu kwao.

China si yule wa miaka ya 90 saivi ana nguvu ambazo c za kawaida wengi mnaongelea kuusu viwanda vingi vya ulaya na marekani kuwa china kwamba wakivitoa uchumi wa china utaangamia nawashaurini nendeni mkasome zaidi kuusu china alafu ndyo mje na kauli iyoo apa tena nchi za ulaya na marekani wakitaka makampuni yao yafilisike wayatoe china na ilo halitawezekana kwa sasa kwa sababu kuuu mbili 1. Utajiri wa china kwa sasa,kumbuka ni mkopeshaji mkubwa duniani kwaiyo anaweza kufanya yale anayofanya nchi nyingi za ulaya, uwezo wake wa kuanzisha kampuni inayotoa bidhaa kama zako na bora kuliko zako na bei ikawa chini kuliko yako moja kwa moja anakutoa sokoni bila kupenda 2. Amewekeza sana kwenye elimu na ujuzi unaoendana na soko linavyoitaji kwa sasa, CEO wa apple na aa TESLA walisema china inakuoffa watu wa aina zote kwa ujuzi uutakao
Unapotoa hoja halafu unatukana mi unanitia wasiwasi

Inaonesha ni kwa jinsi gani haujakomaa na pia hauko tayari kusikiliza watu wengine
 
Wewe unaandika upumbavu gani? Unajua kampuni zilizochina zinamake profit kias gani? Unafikiri anayeumia ni China au west??. Nasubir apple watoke China afu tuone kama iphone zitazagaa bongo. Apple wenyewe wanakwambia wamepiga faida kutoka China unafikir easy sana.

China na Russia production cost ziko low sana ndomana unaona makampuni yao yanakimbilia huko. Wameshindwa Russia wataweza China??

Marekani anawaingiza chaka wenzie, yeye mwenyewe anataka kuapproval Debt ceiling hali ni mbaya huko, dollar ishakua shida kila kona.
Umesahau Kuna India, Japan, Vietnam n.k

Decoupling ni decoupling tu for the benefit of security interests. Hauwezi ukasema eti kwakuwa China wanazalisha products nyingi zaidi basi soko lataendelea kuwa stable.

Stability ya soko inategemeana pia na political atmosphere iliyopo, kama upepo wa kisiasa ni mchafu hakuna mtu atanunua bidhaa zako hata kama utengeneze tonnes na matonnes

Soko kubwa la China lipò USA na Europe, usitegemee kumuona mtu yyte wa ulaya akanunua bidhaa za China ikiwa kama China ataendelea na policy zake za kuinyanyasa Taiwan.

Policies za west is all about humanity, kujali utu kwanza kabla ya vitu.
 
View attachment 2632456
The Chinese government has told operators of important infrastructure in the country to stop buying products from the US chipmaker Micron Technology.

Its products carry “serious network security risks” that pose hazards to China’s information infrastructure and affect national security, the Cyberspace Administration of China said in a statement on its website.

The move is the latest example of tensions between the US and China over technology, after a US ban on using the social video app TikTok on government phones and restrictions imposed by Washington on the export of some sophisticated computer chips to China.

“Operators of critical information infrastructure in China should stop purchasing products from Micron,” the Chinese agency said on Sunday. A US Department of Commerce spokesperson said the move had “no basis in fact”. The China and Hong Kong market accounts for about 15% of revenues at Micron, and the company’s shares dropped 3.7% in early trading in New York.

It generated $5.2bn (£4.2bn) of revenue from China, including $1.7bn from Hong Kong last year, about 16% of its total revenue, according to Jefferies.

Last year the U.S. government banned the export of cutting-edge chips, including artificial intelligence chips and specific GPUs from companies like AMD and Nvidia, to China also U.S blacklisted top Chinese memory chip maker YTMC.
Vita ya ujasusi haijawahi waacha salama mataifa makubwa duniani.
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Back
Top Bottom