Beijing: China yaiwekea vikwazo kampuni ya utengenezaji wa chips ya Marekani (Micron)

Beijing: China yaiwekea vikwazo kampuni ya utengenezaji wa chips ya Marekani (Micron)

Mara zote, USA imekuwa ikisisitiza free trade, diversity economy, respect of human rights n.k

Since ilipoundwa United Nations Nia ilikuwa kuyaleta mataifa pamoja na kuweka sheria za kimataifa ambazo pia mojawapo ni kulinda haki za binadamu ambazo China imekuwa pia ikizivunja
Hapa umejibu swali.

Toka kuundwa kwa UN 1945. Ok

My Lai massacre huo ulikuwa ulinzi wa haki za binadamu ?
 
Kuweka vikwazo kwa chips za Marekani is good for nothing sana sana watakaoumia ni wao wenyenyew china kukosa huduma kwa watu wao tokea vile wao wanashindwa kuzalisha, Taiwan ndo washakukoroga kwisha habari yao wataendelea kutengeneza baiskeli na vyerahani vya kushonea nguo
Wewe ni mhanga wa propaganda za marekani. Unafikiri china hawawezi kutengeneza chips za aina yoyote wamarekani wanatengebeza? Ulikua wapi wakati ule marekani walitishia kuweka vikwazo kwa app ya adroid kwa simu za huawei kisha wachina wakatoa app yao kwa simu zao tena bora kuliko adroid. Kama wachina wako kwenye technology ya space sawa au kuwazidi wamarekani kwa leo unafikiri nini kitawashinda. Tatizo mnafikiri kama wanavyodhania wamarekani kabila kama sio wazungu au kufundishwa na wazungu hawawezi technology za juu.
 
Chips zinatengenezwa taifa la Taiwan.
China bara wananunua chips kutoka Taiwan.
Wewe ni mhanga wa propaganda za marekani. Unafikiri china hawawezi kutengeneza chips za aina yoyote wamarekani wanatengebeza? Ulikua wapi wakati ule marekani walitishia kuweka vikwazo kwa app ya adroid kwa simu za huawei kisha wachina wakatoa app yao kwa simu zao tena bora kuliko adroid. Kama wachina wako kwenye technology ya space sawa au kuwazidi wamarekani kwa leo unafikiri nini kitawashinda. Tatizo mnafikiri kama wanavyodhania wamarekani kabila kama sio wazungu au kufundishwa na wazungu hawawezi technology za juu.
 
Makampuni mengi ya electronics yanayomilikwia na wachina wenyewe na mataifa mengine saivi yanahamia mexico, India na Vietnam

Mizozo na vita vya kiuchumia havina faida kwa China hata kidogo, Hasara ni kubwa mno. Soko Kubwa la China lipo Europe na USA ambako anazidi kupavuruga kila siku kwa sera mbovu na kuvunja international laws.

Kwasasahivi migogoro ya kubana pesa za watu benki, watu kukatwa pensheni zao, unemployment China ni mingi na inazidi kukuwa siku baada ya siku. Migomo na reaction za watu zipo ila ni za chinichini

Decoupling ikichanganya utaona migomo na maandamano itakavyoshamiri. Taifa lenye watu zaidi ya Bilion 1 halafu kuwe na changamoto tu za ajira mkuu sio jambo dogo.
Uongo mtupu. We bakia na dhana potufu kuhusu china. China iko vizuri na future iko kwao.
 
China inatakiwa iwashukuru sana Wamarekani kwa jinsi vyuo vyao vya MIT, Stanford, Havard n.k walivyowasomeshea wanasayansi wa Taiwan waliounda makampuni makubwa ya semiconductors kama TSMC. Pia na wizi wa teknolojia za West umewasaidia sana.
Hiyo elimu walipata bure ?

China ndio ilifanikisha uwepo wa Coins na paper money duniani ambazo mpaka sasa ndizo zinatumika kwenye transactions duniani nao wanapaswa kushukuriwa kila siku au ndivyo mfumo wa dunia ulivyo ?
 
Baadhi ya waswahili hilo wala hawalioni!! Masaa yote wanafikiri US is invincible, ie haiwezi kuadhiliwa kiuchumi na wenzao wakipania kuzuia madini wanayo yategemea sana kwenye viwada vyao vya HiTech - mfano earth rare metals na titanium nk.
China is always patience.

Sun tzu alisisitiza hili toka kale.
 
Kuweka vikwazo kwa chips za Marekani is good for nothing sana sana watakaoumia ni wao wenyenyew china kukosa huduma kwa watu wao tokea vile wao wanashindwa kuzalisha, Taiwan ndo washakukoroga kwisha habari yao wataendelea kutengeneza baiskeli na vyerahani vya kushonea nguo
Hizi ndio akili za mwafrika unawaza kuwa uchina hawezi kutengeneza hizo chip au kuagiza kwengine tofauti na huko marekani
 
Kuweka vikwazo kwa chips za Marekani is good for nothing sana sana watakaoumia ni wao wenyenyew china kukosa huduma kwa watu wao tokea vile wao wanashindwa kuzalisha, Taiwan ndo washakukoroga kwisha habari yao wataendelea kutengeneza baiskeli na vyerahani vya kushonea nguo
Hivi unafikiri mpaka China wapige marufuku wao hawana uwezo wa kutengeneza chips?
 
Chips zinatengenezwa taifa la Taiwan.
China bara wananunua chips kutoka Taiwan.
TSMC iweka zuio la kuiuzia mainland Chips.

Local Chips manufacturing companies ndizo zina supply kwa wingi Chips kwa sasa mainland.

Investment,R&D zinaendelea katika kuzuia hali hii kwa sasa na baadae
 
Mkutano wa G7 uliweka bayana agenda ya kuacha kuitegemea China kiuchumi haswa kwenye upande wa uwekezaji wa viwandani hii inatokana na China kuzidi kuwa mkorofi kwakuwa anaona uchumi wake unakuwa zaidi.

Haya ndio majibu ya Beijin baada ya ule mkutano wa G7, matokeo ya ule mkutano yataleta maumivu makubwa sana China.

Nchi zote zilizoshiriki ule mkutano pamoja na washirika wengine watapunguza kama sio kuondoa uwekezaji wao China.

Xi anazidi kuwaponza wachina, mvutano wa kichumi mikwaruzano na mataifa jirani, sera mbaya za mambo ya nje zitawaumiza sana wachina wengi.
Wewe haujafuatilia huo mkutano wa G7 vizuri hakuna mahali walisema wataondoa uwekezaji China au wana lengo la kuhatarisha uchumi wa China
 
Jamii forum imekuwa na wajinga wengi sana saivi china ana misuli mikubwa sana hakuna nchi ambayo iko tayri kujitenga na china narudia tena hakuna nchi yoyote kwa mwelekeo wa kiuchumi wa saivi ulivyoo na kama watataka kufanya ivyo itachukua si chini ya miaka 10 mbeleni, kama Russia tu inflation imekuwa ivi basi jua china itakuwa mara 10 yake kwenye nchi zao na chumi nyingi zitaanguka, china si tu ana export bidhaa zake ila ana import rawmaterial kote duniani ana import bidhaa nyingi za kilimo kutoka nchi zote za ulaya pamoja na marekani kwa ujumla ndyo nchi yenye soko la uwakika kwa bidhaa ghali za ulaya na marekani kumtingisha uyu ni kutingisha chumi zao wao wenyewe wakitoka apo kwenye kikao cha G7 mmoja mmoja anarudi mwenyewe kuongea na raisi wa china usiisi wanafanya ivyo kwa baati mbaya ila wanajua vile uchumi wa china ni muhimu kwao.

China si yule wa miaka ya 90 saivi ana nguvu ambazo c za kawaida wengi mnaongelea kuusu viwanda vingi vya ulaya na marekani kuwa china kwamba wakivitoa uchumi wa china utaangamia nawashaurini nendeni mkasome zaidi kuusu china alafu ndyo mje na kauli iyoo apa tena nchi za ulaya na marekani wakitaka makampuni yao yafilisike wayatoe china na ilo halitawezekana kwa sasa kwa sababu kuuu mbili 1. Utajiri wa china kwa sasa,kumbuka ni mkopeshaji mkubwa duniani kwaiyo anaweza kufanya yale anayofanya nchi nyingi za ulaya, uwezo wake wa kuanzisha kampuni inayotoa bidhaa kama zako na bora kuliko zako na bei ikawa chini kuliko yako moja kwa moja anakutoa sokoni bila kupenda 2. Amewekeza sana kwenye elimu na ujuzi unaoendana na soko linavyoitaji kwa sasa, CEO wa apple na aa TESLA walisema china inakuoffa watu wa aina zote kwa ujuzi uutakao
Asante mkuu bora uwaambie hawa watoto wa juzi
 
Kwa maana iyo watakao kosa kazi si ni wachina wenyewe.
 
Hii vita ya chips ni noma! Ila ninini kinacho sababisha nchi kama china mpaka leo kushindwa kuunda chips zake!!? Kuna india na korea, wanashindwa nini kuunda hivi vitu!!?
 
Washington imesema hatua ilizo chukua China sio nzuri hazikubaliki.

Licha ya kuwa haya ni matokeo ya utaratibu usio faa ulio anzishwa na serikali ya U.S na washirika wake
Marekani ana economic sanctions
China ana economic coercion (punishment)

Mchina akitumia economic coercion wao West hasa Marekani wanalalamika kuwa ni kinyume na international trade laws na kuwa wanaharibu global chain supply.

Lakini Marekani akitumia economic sanctions ni sawa na anataka aungwe mkono na mataifa mengine 🤔
 
Back
Top Bottom