Km penalt alishindwa, ndo aweze kufunga vilee.Wa kulaumiwa ni Aziz Ki sehemu kama ile anashindwaje kufunga goal clear lisilo na utata
🤣🤣🤣Km penalt alishindwa, ndo aweze kufunga vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza lugha uelewi kinachosemwa halafu jambo la pili ni kwamba kwa kivuli kilichowekwa, mpira umeonekana upo nje ya kivuli kwa maana umezidi kwa asilimia 100Hatimaye, kituo cha bein Sport kimetoa ufafanuzi na ushahidi kuwa goli la azizi ki halikuwa goli halali kwakuwa mpira haukuvuka wote kwa asilimia 100 kama kanuni zinavyotaka.
Video imeambatanisha.
NB: mjumbe hatukanwi jamani maana raia Wana jazba hatari
Huoni kuna kiportion cha mpira hakijamezwa na kivuli.Kwanza lugha uelewi kinachosemwa halafu jambo la pili ni kwamba kwa kivuli kilichowekwa, mpira umeonekana upo nje ya kivuli kwa maana umezidi kwa asilimia 100
Unakitu ww sio bureKm penalt alishindwa, ndo aweze kufunga vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli Yanga ya kimataifa..hii hatua kubwa ,wanazidi kupata mileageHatimaye, kituo cha bein Sport kimetoa ufafanuzi na ushahidi kuwa goli la azizi ki halikuwa goli halali kwakuwa mpira haukuvuka wote kwa asilimia 100 kama kanuni zinavyotaka.
Video imeambatanisha.
NB: mjumbe hatukanwi jamani maana raia Wana jazba hatari
Una maono,utafika mbali,Km penalt alishindwa, ndo aweze kufunga vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahahaa Daah aiseee kweli bhana una hoja nzitoKm penalt alishindwa, ndo aweze kufunga vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walichokifanya hao wahuni hata mimi naweza kufanya kwa kuchora chora viline vya uongo na kweli ili mradi kuhalalisha uhuni uhuni uliofanyika. Lile ni goli halali kila mtu aliona
Nyie hata goli la utata liko wapi?Wa kulaumiwa ni Aziz Ki sehemu kama ile anashindwaje kufunga goal clear lisilo na utata