cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupu.Unakitu ww sio bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupu.Unakitu ww sio bure
Ahsante!! [emoji23][emoji23][emoji23]Una maono,utafika mbali,
C ndio [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahahaa Daah aiseee kweli bhana una hoja nzito
Anafunga kwenye angle ngumu na goal linakua clear, sasa huyo Domo jekundu kafanyaje palee?Mess Huwa anafunga kwenye angle ngumu ila penalty anakosa
Hata kama ushabiki, usikufuru uumbaji wa Mungu. Mbona sisi tunakujua hatukukufuru? Sio vyema na haina afya. Hujafa hujaumbika dogo.Anafunga kwenye angle ngumu na goal linakua clear, sasa huyo Domo jekundu kafanyaje palee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama walivyofanya Al Ahly sio.Kuepush haya ilipaswa wafunge clear goal ili mambo yasiwe mengi.🤣🤣🤣
Si Kweli unless hujui Goal line technology inafanyaje kazi. Fifa wenyewe walisema walitumia Goal line technologyGoal line technology haiuhusiki na mpira uliotoka nje sehemu ambayo sio golini.
Japan mpiea ulionekana umetoka nje sehemu ya nje ya goli wakati jamaa anapiga kross ambayo ilizaa goal.
Hivyo VAR ndio iliyotoa uamuzi sio goal line technology
Yes, kama Al Ahly isiyo na wachezaji 4 wa kikosi cha kwanza walivyoifunga Utopolo iliyokamilika Cairo.Kama walivyofanya Al Ahly sio.
Kwani hana mdomo mwekundu? Nimekufuru wapiii?Hata kama ushabiki, usikufuru uumbaji wa Mungu. Mbona sisi tunakujua hatukukufuru? Sio vyema na haina afya. Hujafa hujaumbika dogo.
Video na footage za mchongo ambazo possibly zishachezewa.😂Video yenyewe imedownlodiwa watu wana discuss offline video, hawapati engagement kwa style hii.
Ina cost kama $260,000 ku install mkuu, wakijibana it's possible kuweka viwanja vikubwa.Video na footage za mchongo ambazo possibly zishachezewa.
Ibakie kuwa ni goli la utata.
Nashauri CAF na vilabu kuhakikisha uwepo wa Goal line Technology au VAR iboreshwe ili ndani yake kuwe na GLT. Africa tunajibakiza nyuma sana.
Chief-Mkwawa hivi ipi more costly ku-install kati ya VAR na GLT?
Binafsi naamini lile lilikua ni goli halali.
Approximately milioni 600 tu za kitanzania! Je, GLT inaweza kuwa mobile, from one ground to another?Ina cost kama $260,000 ku install mkuu, wakijibana it's possible kuweka viwanja vikubwa.
Nna amani Sana Sana Tena Sana...wangepita hawa jamaa sijui ingekuwaje aisee.Km penalt alishindwa, ndo aweze kufunga vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Milioni 600 mkuu, inahitaji kufanyiwa installation. So sio mobile.Approximately bilioni 6 za kitanzania! Je, GLT inaweza kuwa mobile, from one ground to another?
Yes, kama walivyofunga Al Ahly na walivyokataliwa moja wakafunga mengne mawili hivyo wakapita bila wasiwasi sio timu mechi nzima inapiga shuti moja tu golini refa anakataa sio goli mnabaki mnalialia kila sehemu tumedhulumiwaKama walivyofanya Al Ahly sio.