Bein Sport yatoa ufafanuzi na ushahidi wa goli Tata la Yanga dhidi ya Mamelodi

Bein Sport yatoa ufafanuzi na ushahidi wa goli Tata la Yanga dhidi ya Mamelodi

Kwanza lugha uelewi kinachosemwa halafu jambo la pili ni kwamba kwa kivuli kilichowekwa, mpira umeonekana upo nje ya kivuli kwa maana umezidi kwa asilimia 100
Hiki ndicho kilichosemwa na hao wachambuzi wa kiarabu au ni maoni yako?
 
Waache longo longo

Kwa nini VAR iliyokuwepo uwanjani hawakuprove tuone wote tunaotazama. Kwa nini walifanya siri siri kuonesha walichogundua kuhusu lile goli ?

Japan alifunga goli world cup qatar ambalo lilionekana mpira umetoka nje , refa akauliza VAR

VAR ya uwanjani ilionesha picha pale pale angle zotee. Kisha ndio uamuzi ukatolewa na mpira ukaendelea
Var =/= Goal line technology.

Hio ni kazi ya Goal line Technology, ambayo haipo kwetu, kuilamu Var ni kuionea tu.
 
Mimi namlaumu captain wetu

Alizubaa sana alitakiwa kumshinikiza refa akaangalie marudio ya goli kwenye var
Ila kazubaa

Wangekuwa waarabu pangechimbika
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI" - DR LUC EYMAEL 2020
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Hatimaye, kituo cha bein Sport kimetoa ufafanuzi na ushahidi kuwa goli la azizi ki halikuwa goli halali kwakuwa mpira haukuvuka wote kwa asilimia 100 kama kanuni zinavyotaka.

Video imeambatanisha.

NB: mjumbe hatukanwi jamani maana raia Wana jazba hatari

Habri hamsa cora blabla hao ni walewale
 
Waache longo longo

Kwa nini VAR iliyokuwepo uwanjani hawakuprove tuone wote tunaotazama. Kwa nini walifanya siri siri kuonesha walichogundua kuhusu lile goli ?

Japan alifunga goli world cup qatar ambalo lilionekana mpira umetoka nje , refa akauliza VAR

VAR ya uwanjani ilionesha picha pale pale angle zotee. Kisha ndio uamuzi ukatolewa na mpira ukaendelea
Kuna tofauti kati ya VAR na Goli line technology
 
Back
Top Bottom