reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Hahahahaa...jamaniKm penalt alishindwa, ndo aweze kufunga vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa...jamaniKm penalt alishindwa, ndo aweze kufunga vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenye goli la utata, na aliefungwa nje ndani, wote out.Nyie hata goli la utata liko wapi?
Mmepigwa nje ndani !!
Nimesikia Amefariki Yanga AfricansKilichozungumzwa hatuelewi mkuu hasa sisi wa back bancher ndio kabisa tunaona mapichapicha ubaoni.
Makolo huku ni kulaumiana na kutukanana, huku Yanga ikijenga heshima ndani na nje ya nchi.Mwenye goli la utata, na aliefungwa nje ndani, wote out.
Williams anatakiwa aoate mashuti tata siyo Kama ya Mzize ambayo yanamlenga mdakajiWa kulaumiwa ni Aziz Ki sehemu kama ile anashindwaje kufunga goal clear lisilo na utata
Unaongelea world Cup kwa mechi za mla mihogoWaache longo longo
Kwa nini VAR iliyokuwepo uwanjani hawakuprove tuone wote tunaotazama. Kwa nini walifanya siri siri kuonesha walichogundua kuhusu lile goli ?
Japan alifunga goli world cup qatar ambalo lilionekana mpira umetoka nje , refa akauliza VAR
VAR ya uwanjani ilionesha picha pale pale angle zotee. Kisha ndio uamuzi ukatolewa na mpira ukaendelea
Sasa bein sport itafute umaarufu kupitia utopolo,yanga banaIkishasemwa bein sport maana yake ni nini? Si watu lazima wakaifatilie google, X, Instagram na youtube
Kwa kupaki basiIla Yanga kafanya Mamelodi ionekane timu ya kawaida Sana
Wabongo wana shida sana yakuelewa nakufwatilia jambo.Kuna watu hadi leo hawajui kua hiyo Var inamatukio na taratibu zake.Var =/= Goal line technology.
Hio ni kazi ya Goal line Technology, ambayo haipo kwetu, kuilamu Var ni kuionea tu.
Tatizo katika knock out stage, hakuna anayeangalia umetoka vipi. Ukitolewa unasahauliwa hapo hapo, yaani ni sawa na marehemu akishazikwaNyie hata goli la utata liko wapi?
Mmepigwa nje ndani !!
Yaani wewe kujua ni goli au sio goli mpaka ufafanuliwe?Hatimaye, kituo cha bein Sport kimetoa ufafanuzi na ushahidi kuwa goli la azizi ki halikuwa goli halali kwakuwa mpira haukuvuka wote kwa asilimia 100 kama kanuni zinavyotaka.
Video imeambatanisha.
NB: mjumbe hatukanwi jamani maana raia Wana jazba hatari
Var =/= Goal line technology.
Hio ni kazi ya Goal line Technology, ambayo haipo kwetu, kuilamu Var ni kuionea tu.
Hakuna sehemu nimesema inatafuta umaarufu. Nimesema wanatafuta fans engagement kupitia hiyo mitandao tajwa hasa kwa timu yenye mashabiki wengi East AfricaSasa bein sport itafute umaarufu kupitia utopolo,yanga
Utopolo wana shida sanaSasa bein sport itafute umaarufu kupitia utopolo,yanga bana