Bein Sport yatoa ufafanuzi na ushahidi wa goli Tata la Yanga dhidi ya Mamelodi

Bein Sport yatoa ufafanuzi na ushahidi wa goli Tata la Yanga dhidi ya Mamelodi

Yes, kama walivyofunga Al Ahly na walivyokataliwa moja wakafunga mengne mawili hivyo wakapita bila wasiwasi sio timu mechi nzima inapiga shuti moja tu golini refa anakataa sio goli mnabaki mnalialia kila sehemu tumedhulumiwa
Mnafika kwenye matuta mnapiga piga tu kama wachezaji wa daraja la kwanza mnatolewa mnalia na refa sasa mlitaka refa awapigie penalty
Timu yako ya Simba ndio timu pekee iliyofungwa ndani nje katika hatua ya robo fainali tena ndio mnaongoza kwa kufungwa magoli mengi. Unaacha kujadili habari yako unatafuta faraja kwa matokeo ya mechi ya Yanga.
 
Tunafahamu matokeo yaliyotokea uwanjan hayabatilishwi so hakuna haja ya kutafuta maneno meng sana
Tungefunga magol meng tusingekuwa tunafikiria haya mambo au kuyapigia kelele

Tuwe wapole tujipange kwa wakati mwingne tena
 
Ili ukatae hili goli yakupasa uwe mwehu.
 

Attachments

  • 5682167-4b4fb6a42c070f3306c0f595187ea8a-1.mp4
    3.1 MB
Timu yako ya Simba ndio timu pekee iliyofungwa ndani nje katika hatua ya robo fainali tena ndio mnaongoza kwa kufungwa magoli mengi. Unaacha kujadili habari yako unatafuta faraja kwa matokeo ya mechi ya Yanga.
MFatilie al ahly kwa makini
 
Waelewa lakini kiarabu weye?
Wanasema ki kanuni sio goal sababu hata ulaya unaona kabisa goal lakini ikija VAR wakichora unakuwa sio 100% mpira kuvuka kwa hili kisheria sio goal lakini anasema ikiwa kama yeye kanuni zingebadilika hili goal lingekubaliwa.
 
Team kubwa ukikataliwa goal unaenda tena unapiga jingine.
 
Kwanza lugha uelewi kinachosemwa halafu jambo la pili ni kwamba kwa kivuli kilichowekwa, mpira umeonekana upo nje ya kivuli kwa maana umezidi kwa asilimia 100
Mbona hatuzungumzii penalt tulinyimwa goli sawa lakini tulipewa tena nafac ya kupiga penalt je tulifanya nini kwa maoni yangu 2jipange kipindi kijacho
 
Kwa tarehe 20 apangwe asipangwe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hata mkitaka acheze pekee yake, wala sisi sio shda zetu, poleeeee wee.

Najua umeumia mno kutolewaaa, nachofurahi siku hizi unaonesha wazi wee ni utoo.
Poleeeeee
 
Timu yako ya Simba ndio timu pekee iliyofungwa ndani nje katika hatua ya robo fainali tena ndio mnaongoza kwa kufungwa magoli mengi. Unaacha kujadili habari yako unatafuta faraja kwa matokeo ya mechi ya Yanga.
Kwahiyo ukifungwa nje ndani inakuwa na tofauti gani na wewe uliyekufa kiume Pretoria.?
Au nyie wenzetu mliokufa kiume mpo mnajiaandaa na mechi ya nusu fainali muda huu,?
"Mwakarobo Jr"
 
Hakuna cha asilimia wala logarithm... Hamna goli pale...
 
UJunga tu ... Au hujui kila taasisi lazima iwe na media inayoweza kuclear upepo mbaya?. Alafu kuanzia Leo yanga hatutaki kushinda na timu ambayo unaugua unyavuzi... Timu imeshiriki zaidi ya Mara 4 robo fainal haina la maana. Mkiambiwa yanga ni kubwa muwe mnaelewa ...
We kweli utopolo. Sasa kipindi hicho hiyo nyingine inaishia robo fainal 4 hujui kama uto ilikuwa inaishia hatua za awali? Au unafikiri uto imeanzishwa juzi? Au nyinyi uto huko kwenu timu kubwa ni kuishia hatua za awali mara nyingi.
 
Hatimaye, kituo cha bein Sport kimetoa ufafanuzi na ushahidi kuwa goli la Azizi Ki halikuwa goli halali kwakuwa mpira haukuvuka wote kwa asilimia 100 kama kanuni zinavyotaka.

Video imeambatanisha.

NB: mjumbe hatukanwi jamani maana raia Wana jazba hatari

Hujui wanachokisema, peleka kwenye English utaelewa, kasema utata upo ila kwa mtazamo wake ni goli
 
Back
Top Bottom