Hiki ndicho kilichosemwa na hao wachambuzi wa kiarabu au ni maoni yako?Kwanza lugha uelewi kinachosemwa halafu jambo la pili ni kwamba kwa kivuli kilichowekwa, mpira umeonekana upo nje ya kivuli kwa maana umezidi kwa asilimia 100
Hawa wapuuzi kwanza wanatafuta viewers lakini pia wanataka waongelewe zaidi kuongeza engagement.Motsepe anawapa hela wambebe
Var =/= Goal line technology.Waache longo longo
Kwa nini VAR iliyokuwepo uwanjani hawakuprove tuone wote tunaotazama. Kwa nini walifanya siri siri kuonesha walichogundua kuhusu lile goli ?
Japan alifunga goli world cup qatar ambalo lilionekana mpira umetoka nje , refa akauliza VAR
VAR ya uwanjani ilionesha picha pale pale angle zotee. Kisha ndio uamuzi ukatolewa na mpira ukaendelea
😂Video yenyewe imedownlodiwa watu wana discuss offline video, hawapati engagement kwa style hii.Walichokifanya hao wahuni hata mimi naweza kufanya kwa kuchora chora viline vya uongo na kweli ili mradi kuhalalisha uhuni uhuni uliofanyika. Lile ni goli halali kila mtu aliona
Mess Huwa anafunga kwenye angle ngumu ila penalty anakosaHahahahahahaa Daah aiseee kweli bhana una hoja nzito
Ikishasemwa bein sport maana yake ni nini? Si watu lazima wakaifatilie google, X, Instagram na youtube😂Video yenyewe imedownlodiwa watu wana discuss offline video, hawapati engagement kwa style hii.
Kote huko kibongo bongo hukuti mtu ka link original source, kama unavyoona hapa ilivyoletwa ndio utakuta huko,Ikishasemwa bein sport maana yake ni nini? Si watu lazima wakaifatilie google, X, Instagram na youtube
Hiyo game ya playstation ndio video halisi? Video halisi mpira upo ndani kabisa!Huoni kuna kiportion cha mpira hakijamezwa na kivuli.
vyuma vyake matako ya caren simba lazima aharibikiweKm penalt alishindwa, ndo aweze kufunga vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habri hamsa cora blabla hao ni walewaleHatimaye, kituo cha bein Sport kimetoa ufafanuzi na ushahidi kuwa goli la azizi ki halikuwa goli halali kwakuwa mpira haukuvuka wote kwa asilimia 100 kama kanuni zinavyotaka.
Video imeambatanisha.
NB: mjumbe hatukanwi jamani maana raia Wana jazba hatari
Mimi nimelewaelewa, kwa mujibu wa waongeaji wao binafsi wanasema hilo ni goli.Kilichozungumzwa hatuelewi mkuu hasa sisi wa back bancher ndio kabisa tunaona mapichapicha ubaoni.
Kuna tofauti kati ya VAR na Goli line technologyWaache longo longo
Kwa nini VAR iliyokuwepo uwanjani hawakuprove tuone wote tunaotazama. Kwa nini walifanya siri siri kuonesha walichogundua kuhusu lile goli ?
Japan alifunga goli world cup qatar ambalo lilionekana mpira umetoka nje , refa akauliza VAR
VAR ya uwanjani ilionesha picha pale pale angle zotee. Kisha ndio uamuzi ukatolewa na mpira ukaendelea