mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Yawezekana huyu Ben anatafuta kuvunja ndoa yake kwa style, ukibadili dini huku uko kwenye ndoa ya kikristo ujue ushavunja ndoaBado wapo pamoja?
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawezekana huyu Ben anatafuta kuvunja ndoa yake kwa style, ukibadili dini huku uko kwenye ndoa ya kikristo ujue ushavunja ndoaBado wapo pamoja?
yes , thats a ground for divorce.Yawezekana huyu Ben anatafuta kuvunja ndoa yake kwa style, ukibadili dini huku uko kwenye ndoa ya kikristo ujue ushavunja ndoa
Ova
siyo "dhambi zenu" bali "dhambi zangu mimi na wewe".
Yehova anastahili pia utii wetu. Ametuamuru tusiache kukusanyika pamoja, hasa katika nyakati hizi za mwisho. Yehova anafurahi tunapotii kwa hiari amri hiyo. (1 Yoh. 3:22) Anatambua na anathamini jitihada tunazofanya ili tuhudhurie kila mkutano.—Ebr. 6:10.
"msiache kukusanyika kama ilivyo desturi
[emoji3][emoji3]pepo yao ni rahisi kiasi hicho?Nasikia hapo thawabu zake unazopata hata ukiwa na dhambi kiasi gani lazima uione pepo
DiamondAnatafuta sababu ya kuoa wake wanne huyo
Japo simjui na sipo karibu naye, lakini sidhani kama amebadili kwa ajili ya kuoa wake wanne maana kama angekuwa na nia hiyo angeweza kuoa hata kimila au kiserikali.Si ili aweze kuoa wake wa4
Toka lini ukamuamini Mgogo?
Sijui itakuwa vizuri ukimuuliza...m
Ya kupewa mabikira 72 kugegeda huko akhera.
Kuna ulazima wa kutumia neno kafir, ikiwa unaona unawakwaza wengineSio bure watu hufeli mitihani au Interview kwa vitu vidogo; Kabla ya kuanza matusi ungeuliza kafir maana yake ni nini?
Kafir ni neno la kiarabu lenye maana ya mtu anayefuata taratibu/au msimamo tofauti na wewe; sasa hapo nini cha ajabu???
Katika maisha yangu kitu ninachojivunia ni kuna siku nilimsilimisha rafiki yangu nikampeleka Hadi msikitini.
Nikikumbuka uwa nafurahi Sana
Alikuwa anaitwa imanuel akabadili akawa Mohammed
Tupe jibu alifia wapiAliyekwambia yesu alikufa msalabani ni nani?
Dah..... Mungu atusaidie tubadili maamuzi ya kichwa kidogo yani kinaweza kukutoa usiku wa manane na ukajikuta unatembea 3km usiku kutekeleza maamuzi ya kichwa kidogo.......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawaza sana kitu chenyewe hiki nikikiangalia, yani kashimo , unapata kajoto tu hapo na kusisimka ndio ubadili dini yako ili upate hako kajorto?
Nasikia anapakatwa na maharabu ndio kambadili dini, yaani kisa mzuutiUkishakuwa marioo ni utageuzwa geuzwa ka sangara motoni
Kila aina ya ushudu utaufanya humu duniani
Mteremko kitonga noma sana[emoji848]
Allah akuzishie.Katika maisha yangu kitu ninachojivunia ni kuna siku nilimsilimisha rafiki yangu nikampeleka Hadi msikitini.
Nikikumbuka uwa nafurahi Sana
Alikuwa anaitwa imanuel akabadili akawa Mohammed