Ben Paul abadili dini kutoka ukristo na kuwa muislamu

Ben Paul abadili dini kutoka ukristo na kuwa muislamu

How?
Kwani mkewe Annelisa muislam?
Anerlisa waliachana mdaa kumbe hata zile picha za harusi ilikuwa kitambo na demu ndio aliyempiga kibuti jamaa,inasemekana huyu jamaa kwa sasa anatoka na mwarabu msimamo mkali wa kidin mbaka kavutwa kinguvu kwenye din hiyo
 
Amefuata ule utaratib unapatikana kwa waumini wengi wa kiislam. Nasikia hata Ronald, Messi na wengine wameslimu. Kila la heri wana wa mtume Mohammad salaleh wasalam
Acha kujidanganya wewe ronaldo na messi ni wakristo safii kabisa tena wanamiliki makanisa yao kabisa na wamewajengea na wengine google uone makanisa hao ni wakristo safii kabisa hata trump
 
Waislamu ni inferiority complex.. Bado wana ushamba sana
Waislam wanapambana sana kupata watu maarufu ili wawatangazie din yao wapo radhi wawanunue kwa pesa ndefu mfano janet jackson lakin karudi kwenye ukristo na kuna muarabu anachimba mafuta alimganda rihana ila akashindwa akaishia kupigwa pesa yake ya mafuta,hapa bongo kuna wolper naye aligaramiwa magari but amerudi ukristo kifupi kwa waislam wanaonekana wazi wanatumia mbinu ili iwe hivyo hata huyu ben pol inasemekana kuna mwarabu kamteka
 
Mkuu sababu za kubadili dini ni nyingi sio ndoa tu, labda kaona alipokuwa hakuwa sehemu sahihi
Sehem sahihi wapi kuna dem wakiarabu kamdanganya huyo kuhusu kusema kafata din ni unafiki coz mwezi uliopita alikuwepo kwenye kipindi cha gospel akiojiwa wimbo wake wa ebeneza ni gospel kabisa,huyo kanunuliwa na mwarabu atarudi tu
 
Mkuu sababu za kubadili dini ni nyingi sio ndoa tu, labda kaona alipokuwa hakuwa sehemu sahihi
Sehem sahihi wapi kuna dem wakiarabu kamdanganya huyo kuhusu kusema kafata din ni unafiki coz mwezi uliopita alikuwepo kwenye kipindi cha gospel akiojiwa wimbo wake wa ebeneza ni gospel kabisa,huyo kanunuliwa na mwarabu atarudi tu
 
Ilikuwa ni form 4.tulipomaliza tukapoteana.
Ila naamini bado atakuwa ni muislam.
Huyo atakuwa alivyojitambua akarudi ukristo wapo wengi wahivyo ila waislam wakiingia ukristo huwa hawarudi mfano kadjanito,hafsa kazinja,sitti mtemvu, nk ila angalia walioingia uislam wakarudi ukristo anty ezekiel,wolper,frola mvungi nk
 
Huyo atakuwa alivyojitambua akarudi ukristo wapo wengi wahivyo ila waislam wakiingia ukristo huwa hawarudi mfano kadjanito,hafsa kazinja,sitti mtemvu, nk ila angalia walioingia uislam wakarudi ukristo anty ezekiel,wolper,frola mvungi nk
Duuu! Sasa mtu kama siti kwenye uislam wanini yule?
 
Sehem sahihi wapi kuna dem wakiarabu kamdanganya huyo kuhusu kusema kafata din ni unafiki coz mwezi uliopita alikuwepo kwenye kipindi cha gospel akiojiwa wimbo wake wa ebeneza ni gospel kabisa,huyo kanunuliwa na mwarabu atarudi tu
Huyo dem wa kiarabu umemuona wapi? anaitwa nani au ni mastory tu.
 
Hayo yanakutoka baada Ben kuingia uislam au? Islam hapotezi pesa yake kumbadilisha mtu dini kinachofanyika ni mtu anaelezwa ukweli dini inasema hivi na yeye akikubaliana na maelezo anabadili basi.
[/QUOTE
Hajafata din huyo kuna dem wakiarabu kampa gari na ndio mpenzi wake kiufupi kashawishiwa kwa pesa coz walivutana kidin mda mrefu demu huyo wakiarabu akawa anamwagia pesa sana
 
Sehem sahihi wapi kuna dem wakiarabu kamdanganya huyo kuhusu kusema kafata din ni unafiki coz mwezi uliopita alikuwepo kwenye kipindi cha gospel akiojiwa wimbo wake wa ebeneza ni gospel kabisa,huyo kanunuliwa na mwarabu atarudi tu
Mkuu mbona kama umeumia sana,
 
Eti badili dino tukuoze mwarabu!! dino zingine bwana!! kwani atakuwa na naniliu ya dhahabu? ni nyama ile ile ,sasa utapigwa limbwata la biriani akili yako itakuwa kwenye misosi tuu,unaoa mtu ambaye hakusaidii maishani ni kukaa ndani tuu,unalegeza akili unakuwa kama lizuzu hata ukisafiri eti nenda na khanga yake unaivaa unapokwenda bafuni!!!!hapo kwisha habari yako!!unakuwa unahishi kwa mashaka mashaka wenzako wanajifunzia dini utotoni tena kwa viboko!!wewe utaielewa babu? au utaishia kwenye mavazi tuu
 
Hawa wanaobadili dini huwa wepesi sana kudanganywa ili kujitoa mhanga. Afadhali hata wale waislam og. Huyu serikali imuangalie kwa karibu asije akajilipua au kujiunga na alishaaba kama yule dogo wa ngorika
 
Unataja wasanii kweli
Huyo atakuwa alivyojitambua akarudi ukristo wapo wengi wahivyo ila waislam wakiingia ukristo huwa hawarudi mfano kadjanito,hafsa kazinja,sitti mtemvu, nk ila angalia walioingia uislam wakarudi ukristo anty ezekiel,wolper,frola mvungi nk
 

"Kama mtu akijiona kuwa ni mtu mwenye dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, dini yake haifai kitu, na anajidanganya mwenyewe.​

Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu."​


Yakobo 1:26-27​

 
Back
Top Bottom