Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia.Andika Ben.Andika sana ,ongea.Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"
Ben Saanane
Kwetu utapita lini Yesu, tuguse pindo lako utuokoe.
PhD fake.Hivi Ben weee umeandika lipi lenye negative impacts kwa serikali ya Magu?
I think unatafuta umaarufu ambao ni cheap.
Halafu Polisi wanamuweka ndani Max Melo kwa kutaa kutoa details za mtu ambaye alikuwa yupo kimaslahi ya nchi, lakini wauwaji kama huyu Polisi haina habari nao wala haiwahitaji.Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Hiyo namba ni ya Khadija Ngubio, kama yeye sio mtuhumiwa aliruhusuje namba yake itumike kutishia uhai wa mtu? Au ndio yale aliyesema Zitto?Hawezi kupatikana kwa sababu ndio hao wauaji wenyewe walio na kinga
Ile ela tuma kwenye namba hii.Hiyo namba ni ya Khadija Ngubio, kama yeye sio mtuhumiwa aliruhusuje namba yake itumike kutishia uhai wa mtu? Au ndio yale aliyesema Zitto?
Vv
Post yake naikumbuka sana huyu jamaa, hujifanya mjuaji kwa kila jambo,anapenda sana attention. Hana tofauti na britanicca yule tapeli alie kula dolali za watu akijifanya agent, eti nae siku hizi ni mtoa mada mkuu jukwaa la siasaNmepitia huu uzi mwazo mpaka mwisho. Baada ya comment ya GENTAMYCINE nilitegemea kuja kuona comment yake ya pili aidha akileta ushahidi wa kumuumbua @bensaanane au akiomba samahani na kurekebisha kauli yake. Mpaka sasa yupo kimya.