Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
anapenda kuropoka tu huyuHivi mkuu hapo ulipo unajisikiaje na haya maneno yote uliyoandika,jifunze kuweka akiba ya maneno,sad!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anapenda kuropoka tu huyuHivi mkuu hapo ulipo unajisikiaje na haya maneno yote uliyoandika,jifunze kuweka akiba ya maneno,sad!
umepotelewa wapi wewe mfia ccmHuyu ben saa nane muongo kama viongozi wake wanataka kuanza kama enzi za akina zitto akiwa chadema yeye mwenyewe ben walikuwa wanajiteka halafu wanasema wametekwa.
Nilikua namuheshimu uyo jamaa ila kuanzia leo nampuuza tu kwa kweli,roho imeniuma sana.anapenda kuropoka tu huyu
Kabadili User name sasa hivi anasapoti Upinzaniumepotelewa wapi wewe mfia ccm
siamini huyo kama aweza badilikaKabadili User name sasa hivi anasapoti Upinzani
Hahahaa wameshabadilika wengi Sana, wengi saaaanasiamini huyo kama aweza badilika
kuna jamaa anajiita @Imhot naye anajifanya kabadilika lkn simwamini kabisaHahahaa wameshabadilika wengi Sana, wengi saaaana
Achana na hilo low iq operative, hiyo riwaya ndefu ndo sehemu ya kazi zaoHivi mkuu hapo ulipo unajisikiaje na haya maneno yote uliyoandika,jifunze kuweka akiba ya maneno,sad!
Hawezi kupatikana kwa sababu ndio hao wauaji wenyewe walio na kingaHivi hii no aliyoiweka Ben saa8 ya 0768797982 huyu MTU hajapatikana hadi Leo?