Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Nimefahamiana na mdogo wake anayechiwa ziwa na huyu jamaa kama mwaka sasa,hakika kama kuna mtu/watu wamemfanyia mabaya Ben Saanane na kama kweli Mungu yupo basi kiyama chao kitakuwa hakielezeki!

Kila wakati kila saa anamkumbuka kaka yake,kwenye wallet ana picha yake,profile picture za app karibia zote kwenye simu yake ameweka picha ya kaka yake!Kama yeye ni hivyo je mama yake aliyeteseka labor kwa hatari ya uzazi wa miaka hiyo na baba yake aliyeteseka kumsomesha machozi yao Mungu anayapima kwa kipimo gani?

All in all tuishi kuheshimiana,miaka ya kuivuta hii pumzi hapa duniani ni michache sana kuliko ile ya kule tusikokujua.
 
Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Wewe jamaa unatakiwa kuchunguzwa..!
 
Oooh!!
Screenshot_2018-10-29-09-34-40-101_com.twitter.android.jpeg
 
Back
Top Bottom