Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia.Andika Ben.Andika sana ,ongea.Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"
Ben Saanane
Kuna mtu mmoja juzi juzi tena ni mwana ccm kindakindaki aliniambia kwamba yule mtesaji mkuu kama mnamkumbuka aliyemtesa Dr. Ulimboka anaitwa Ramdhani Igondu hii mbinu ya kuwapeleka watu chumba cha giza chenye chatu ndo huwa anaitumia. Kwa hiyo kilichoandikwa hapo siyo utani, watu kabla hawajafa wanapitia torture za hali ya juu.