Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Ben Ben!
 
Huu uzi utaendelea kuishi , tatizo lilianza taratibu na wengine wakakebehi na kuchukulia kama mzaha.

Tutaendelea kukumbushana tu kila tatizo lina chanzo haliibuki tu.

Na kila kiongozi atakumbukuwa kwa aliyoyafanya watu wasipangiwe kukumbuka ya upande mmoja tu .
 
How do you feel now?
 
Wewe damu ya Ben inakulilia, hautabaki salama ni swala la muda tu.

Note this.
 

Saed Kubenea kupitia gazeti la mwanahalisi alieleza kila kitu kuwa Ben Saanane alitekwa na Mbowe na kwa muda fulani alionekana kwenye vijiwe vya kahawa
 
Unamuuliza Saed Kubenea aliyetafiti na kuandika kupitia gazeti lake la Mwanahalisi ( wakati Kubenea anaandika alikuwa mbunge wa Chadema ubungo) au unaniuliza mimi?
Ninakuuliza wewe hapo.

Huu uzi kuna mahali Ben alimtaja Kubenea au Mbowe ?

Mbowe au Kubenea walikuwa watu ambao Ben aliwakosoa kipindi hicho hadi wamuwinde?

Labda mtoto mdogo na ambaye hakuwa mfuatiliaji ndio hatojua Ben aliyekuwa akimkosoa sana nani.

Huu ndio uzi wa mwisho wa Ben kuandika na hajawahi kuonekana tena wewe unaleta story za kipuuzi hapa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…