Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Kwa nini hiyo namba ilipotezewa hivyo?! Siyo ajabu walishaitupa, wakafanya mpango akapewa mwingine kutoka huko madongo-kuinama.....
Halafu ati kuna watu na akili zao timamu wanawaunga mkono hao wauaji!
 
Ila hivi vyama vingi wangefutaga tu Ben saanane na IQ yote ile pamoja na elimu kubwa aliyokuwa nayo yote inamalizwa njiani kisa tu kutofautiana mitazamo mbona hao waliotuletea demokrasia haya hawayafanyi ila sisi tuliopokea ndio tunajifanya tuna mahaba sana na vyama vyetu hadi kuua wengine kwani hata saanane alikuwa na madhara gani kiusalama kuzidi wale wauza madawa,majangili,majizi ya ESCROW EPA na makinikia kiasi afe kikatili hivi na hakuna aliyechukuliwa hatua

Mwanzoni nilifikiri masihara ila sahivi nahitaji kuamini kuwa sitowahi kumuona ben saanane tena akiwa hai wala maiti so sad ila kitu kimoja tufahamu kuwa siasa zinapita na kuna maisha baada ya kifo wanaofanya haya wajiulize wataenda kujibu nini siku wakifika mbele za Mungu???

Mimi ningeshauri wapinzani wapeleke muswada bungeni wafute vyama vyote wajiunge CCM maana...... Dah niishie hapa tu inauma sana

Cc Salary Slip Zitto Erythrocyte
 
Huyu ben saa nane muongo kama viongozi wake wanataka kuanza kama enzi za akina zitto akiwa chadema yeye mwenyewe ben walikuwa wanajiteka halafu wanasema wametekwa.
[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
 
Meseji hizi nadhani zilitoka CDM penyewe wakiwa na mission ya kumaliza Ben
 
Oh, Elohim
The Creator, I call you with your highest name that only your chosen ones know.
Oh Alhayyu Alqayuum
YaHuwa Yaa Manlaa Huwa Illa Huwa
Deliver Justice to Ben Saanane oh Adonai
Oh Lord of Arch Angel Michael
Oh Lord of Arch Angel Gabriel
Oh Lord of the Holly Messiah Christ
Oh Lord of our father Abraham
Oh Lord of the high Priest Melzedeck
I call upon your justice
Deliver Justice to Ben Saanane
Aamen
Amen!
 
sikuwa namfuatilia huyu jamaa Ben Saanane lakini nilishangaa kila nikipita kununua gazeti naona kupotea kwa Ben saanane.Nimeamini kuna watu wakiamua kukuwinda huwezi vuka hata umbali wa kiwanja,,ukifuatilia uzi huu na wachangiaji unaweza pata picha kuwa kuna waliokuwa wanaelewa ambacho kingempata Ben Saanane na walianza kumuonya mapema,,achilia mbali waliokuwa wanamwona mpuuzi;Kama kuna sehemu watu wenye ajenda kama za Ben wanafichwa,basi huyu Mtanzania atakuwa hai lakini kwenye mateso yasiyoelezeka,lakini kama alishazimisha jumla apumzike kwa amani,hata watesi wake watamkuta huko ahera.
 
Back
Top Bottom