Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana jr alisema jf inacheua, na inacheua kweli kweli.Hili andiko linatisha sana. Ona sasa ,,Sijui hata kwa nini nimelisoma usiku huu..
#HakunaAtakayeishiMilele.
Kwa kweli iyo comment aliyotoa Gentamycine(2016) inaonesha ni mtu asiyepambanua mambo kwa kina kabla ya kuandika,hivyo ni mtu wa kupuuzwa tu.Nilikua namuheshimu uyo jamaa ila kuanzia leo nampuuza tu kwa kweli,roho imeniuma sana.
Uyu Gentamycine ndiye kuna mtu umuJf alimshahuri kuandika kitabu.Mkuu naanza kupata mashaka na uwezo wako wa kufikiri. Umenisikitisha sana
Kitabu gani ataandika mtu yuko too judgemental kiasi hiki? ( Sihukumu ila tu nawaza kwa sauti)Uyu Gentamycine ndiye kuna mtu umuJf alimshahuri kuandika kitabu.
amekufa? mchawi weweDah Ben Mungu ailaze roho yako mahali Pema Peponi bashite na baba yake watayajibu haya hapa dunia ni mashetani wakubwa
Waulize jeshi la polisi,ndiyo wenye jukumu la kulinda kila raia wa nchi hii na mali zake,na wanajua kila kitu (wakaiamua)mkuu ben saanane hayupo
kwani unajua yuko wapi?
kafa?
kafichwa?
kajificha,?
kahama nchi?
inaonekana unajua yuko wapi
ebu jibu
Mlichoweza kuua ni mwili wake tu lakini roho yake bado inaiishi, kudhulumu nafsi ya mtu na kuniona mnaakili sana hongereni kwa hili maana uhai wenu ni wa mileleBen acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Huenda wewe ndio jiwe mwenyeweBen acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
"Doubt" zake ziko sahihi!
Mods wanapaswa kufafanua ili kutupunguzia shaka watumiaji wa jukwaa hili.
Kwani inaonekana Leo tarehe 29/10/2018 SAA 22:42:03 account hii ya Ben Saanane ilikua online.
Ni vyema tukaelezwa je mods ndio wanayonywila ya I'd husika ama ni "watesi" wake ndio wanaitumia kwa sasa?
Wasiwasi ndio akili!!
Ile ela tuma kwenye namba hii.Hv chadema walishndwa kufuatilia hyo namba mpaka wakagundua japo kitu au intelejisia ya chadema imeondoka na dr slaa
Ndio maana serikali inakuwa suspect namba moja katika matukio yenye utata kama hayaHuu uz huwa unauma sana asee hasa kila napouona,
moyo wangu unakuwa na simanz nakosa raha kabisa na najiuliza iv ikiwa mtu katoa taarifa polis na namba kaiweka hapo 0768797982 Je kwa nin jesh letu lisianzie hapo? Au wauwaj ndio hao wenyewe?
Hayo majitu ndio mauaji yenyewe, si unaona komenti yake iliyojaa roho mbaya na ukatili mtupu!Kweli
Labda kama wanausika
TumainiEl Mungu anamuona
Swissme
Kafa?=sijui polisi wanaweza kutwambiamkuu ben saanane hayupo
kwani unajua yuko wapi?
kafa?
kafichwa?
kajificha,?
kahama nchi?
inaonekana unajua yuko wapi
ebu jibu