Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUNGU AWASAMEHE na nafsi ya Ben huko iliko iwasamehe
sawa laikini watu wanaendelea kupoteaUkimya wa Mzee Saanane na ndugu wengine wa karibu unaweza ukawa ni kutokana na ugumu wa kufuatilia au hata kukatishwa tamaa na pengine kutishwa.
Lakini pia ukimya huo unaweza kutokana na wayajuayo wao ambayo wanaJF hatuna ufahamu nayo.
Palikuwa na mtu mwenye jina la Malisa hapa JF aliyejitahidi kulifuatilia jambo hili. Huyo mtu naye hasikiki tena; pengine ikiwa ishara ya hayo wayajuayo wao ambayo wengine hapa hatuyajui.
Halafu kuna CHADEMA, huwasikii wakilifuatilia tena hili jambo, pengine pia ikiwa ishara ya kujua tusiyoyajua sisi.
Otherwise, kama kutoweka kwa Ben ni hivyo tufikirivyo wengi wetu hapa, basi hakuna aliye salama ndani ya nchi hii.
Ni kumwomba Mungu tu na kuendelea na maisha. Lakini ni mwiko kunyamaza kuwafurahisha wanaotenda mambo ya shetani hawa.
Hawatashinda kamwe.
Game gani hiyo???hakuna kitu kama icho mkuu, the world is not fair
sababu jamaa alikuwa anacheza game ambayo haiwezi
it's a survival game and he is a looser
prove that.. game bayahakuna kitu kama icho mkuu, the world is not fair
sababu jamaa alikuwa anacheza game ambayo haiwezi
it's a survival game and he is a looser
Pia nawe Mungu akusamehe na nafsi ya ben ikusamehe...by the way game gani hiyo ambayo ben alikuwa haiwezi?????hakuna kitu kama icho mkuu, the world is not fair
sababu jamaa alikuwa anacheza game ambayo haiwezi
it's a survival game and he is a looser
Excellent question!Game gani hiyo???
Yeye demokrasia ndo anaita game baya 😀prove that.. game baya
kama uijui basi sawa but all in all he is weak and a looserGame gani hiyo???
siwezi kuprove jambo ambalo unalijuaprove that.. game baya
Vipi, kwani na wewe ni mmoja wa wasiojulikana?kama uijui basi sawa but all in all he is weak and a looser
even war has rules,mud wrestling has rules but politics has no rules -- Ross PerotYeye demokrasia ndo anaita game baya 😀
sihitaji msamaha...by the way ni hiyo game iliyomsababisha apotee coz hakuweza kuicheza kama KhashogyPia nawe Mungu akusamehe na nafsi ya ben ikusamehe...by the way game gani hiyo ambayo ben alikuwa haiwezi?????
hapana mimi ni raia mwemaVipi, kwani na wewe ni mmoja wa wasiojulikana?
Ila unajua mbinu zao, nani mshindi na nani kashindwa! very interesting...hapana mimi ni raia mwema
mshindi mbona anajulikana...it's a survival game mkuuIla unajua mbinu zao, nani mshindi na nani kashindwa! very interesting...
Una maana gani?naona unarudiarudia hili jibu.Ile ela tuma kwenye namba hii.
It don't matter!even war has rules,mud wrestling has rules but politics has no rules -- Ross Perot
It don't matter!
Politics might have no rules, but there is penalties to pay for misjudgments!
And it seems you just forgot that...
"The so called wars with rules" are often caused by politics with no rules"-jmushi1