na atakayekurupuka atapoteza zaidi.Rwanda wanafanya siasa siasa tu. Hiyo ndiyo inaitwa "Diplomasia ya kiuchumi" inayotokana na "Ujasusi wa Kiuchumi" na nchi inayoathirika zaidi ni ili yenye "Uchumi dola".
Ukisikia vita ya kiuchumi ndiyo hiyo. Ni kama Marekani na China mambo ni kuviziana, atakayezubaa ndiye atakayeathirika.
Kama umemsikia Mkurugenzi wa TPA (mamlaka ya Bandari Tanzania) kwamba mizigo emepungua bandarini lakini ya Rwanda bado iko mingi. Kama kuna wanadiplomasia wameajiriwa na wanalipwa mshahara kwa kodi zetu, hii ya kupigania maslahi ya Tanzania ndiyo kazi yao!!ujinga huo,wacha huu mchezo tuucheze kiswahili,halafu itafahamika nani ni smart zaidi ya mwingine.
hii pekee haiwezi kuhalarisha upuuzi wanaofanya rwanda.wao wenyewe wana kiburi ndio maana pamoja na kujua wanatutegemea bado wamezingua.why not sisi!!!Kama umemsikia Mkurugenzi wa TPA (mamlaka ya Bandari Tanzania) kwamba mizigo emepungua bandarini lakini ya Rwanda bado iko mingi. Kama kuna wanadiplomasia wameajiriwa na wanalipwa mshahara kwa kodi zetu, hii ya kupigania maslahi ya Tanzania ndiyo kazi yao!!
Sasa si wabaki kwao sasa mbona wanakuja kwetu!Yani mtu kapiga nchi lockdown ili kudhibiti Corona halafu mtu mwingine ambaye wala hajali maisha yake aje aniletee magonjwa? Hata hivyo Rwanda wamewavumilia sana wa Tz. Watu maisha yenu wenyewe hamuyajali itakuwa ya wenzenu?
Sasa unafikiri nani ataumia? Waache wakae kwao na sisi tukae kwetu.Kagame ana akili.
Namuunga mkono sana kwenye hili
Yaani mimi nisacrifice kuthibiti Korona hadi kufikia kuwapunguzia watumishi mishahara halafu mijitu ya nchi nyingine ije iharibu sacrifice yoote eti tu. kwa sababu raisi wao anatafuta shortcut ya tatizo
Kagame tuko pamoja, uko sahihi mara mia na nakushauri ili kulinda Afya za Wanyarwanda pitisha mizigo Mombasa mpaka ujiridhishe kuwa Tanzania ni salama.
Endeleeni kujilinda sana ili sisi watanzania tukishakufa kwa korona sababu ya uzembe wa serikali yetu nyie mje mkalie na muishi katika ardhi hii maana nyie ni waafrika wenzetu. Bora nyie waafrika wenzetu mje muirithi nchi hii kuliko Wachina na Wazungu
MADAI YA MADEREVA,NI KWAMBA MADEREVA WA RWANDA WAKAE KWAO,SI TANZANIA KUNA CORONAUamuzi Wa Rwanda uko sahihi.Nchi lazima ilinde watu wake kwa nguvu zote
Kwa hiyo?Kama umemsikia Mkurugenzi wa TPA (mamlaka ya Bandari Tanzania) kwamba mizigo emepungua bandarini lakini ya Rwanda bado iko mingi. Kama kuna wanadiplomasia wameajiriwa na wanalipwa mshahara kwa kodi zetu, hii ya kupigania maslahi ya Tanzania ndiyo kazi yao!!
Msikie huyo jamaa eti wanapenda kujiona ndio wahutu waliwacharanga mapanga,hivi haufahamu kwamba wahutu ni wanyarwanda pia ?Washenzi Mkuu hawa jamaa, wanakawaida ya kujiona wao ni bora kuliko watu wengine.
Wanapenda kutukuzwa.
Ndio maana wahutu waliwacharanga.
Mijinga kabisa hii mijamaa
Mtusi ndio anajiona kuwa yeye ni Mnyarwanda, wengine wote wanawaona mbuzi tu.Msikie huyo jamaa eti wanapenda kujiona ndio wahutu waliwacharanga mapanga,hivi haufahamu kwamba wahutu ni wanyarwanda pia ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani mtu kapiga nchi lockdown ili kudhibiti Corona halafu mtu mwingine ambaye wala hajali maisha yake aje aniletee magonjwa? Hata hivyo Rwanda wamewavumilia sana wa Tz. Watu maisha yenu wenyewe hamuyajali itakuwa ya wenzenu?
warwanda wajiulize kwanza nani anamtegemea mwenzake hapo , kati ya tanzania na rwanda nani anahitaji malori kuingia nchini mwake
nani mwenye bandari hapo 🤣 🤣 🤣
Walisema waungwana: "mjinga ukikaa kimya wanaweza wasiujue umbumbu wako". Mwisho wa kunukuu.
Vipi genge umeshafungua?
Sasa Mkui yale malori yako inabidi uniuzie kwa bei ya sasa.Yani mtu kapiga nchi lockdown ili kudhibiti Corona halafu mtu mwingine ambaye wala hajali maisha yake aje aniletee magonjwa? Hata hivyo Rwanda wamewavumilia sana wa Tz. Watu maisha yenu wenyewe hamuyajali itakuwa ya wenzenu?
Unapomuekea MTU vikwazo dhidi yako utakua umejiwekea vikwazo pia wewe mwenyewe dhidi yake, ikiwa Madereva wa Tanzania wamezuiwa kuingia Rwanda ili wasipeleke Corona basi na Madereva wa Rwanda wazuiwe kuingia Tanzania ili wasije kuchukua Corona. Maana upande wowote utakaoruhusiwa kuingia upande mwengine unaweza kusambaza ugonjwa.
Kagame ana akili.
Namuunga mkono sana kwenye hili
Yaani mimi nisacrifice kuthibiti Korona hadi kufikia kuwapunguzia watumishi mishahara halafu mijitu ya nchi nyingine ije iharibu sacrifice yoote eti tu. kwa sababu raisi wao anatafuta shortcut ya tatizo
Kagame tuko pamoja, uko sahihi mara mia na nakushauri ili kulinda Afya za Wanyarwanda pitisha mizigo Mombasa mpaka ujiridhishe kuwa Tanzania ni salama.
Endeleeni kujilinda sana ili sisi watanzania tukishakufa kwa korona sababu ya uzembe wa serikali yetu nyie mje mkalie na muishi katika ardhi hii maana nyie ni waafrika wenzetu. Bora nyie waafrika wenzetu mje muirithi nchi hii kuliko Wachina na Wazungu
Usikute ni mzazi ww ambae una watoto ama unategemea kuwa na wototo.....Ili nalo waziri kabudi linamshindaje? Yale macho yake si aende akayatoe kule..
Sent using Jamii Forums mobile app