Benaco Ngara: Madereva wa Malori wa Tanzania, wamejichukulia sheria mkononi kuzuia Malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini

Benaco Ngara: Madereva wa Malori wa Tanzania, wamejichukulia sheria mkononi kuzuia Malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini

Rwanda wanafanya siasa siasa tu. Hiyo ndiyo inaitwa "Diplomasia ya kiuchumi" inayotokana na "Ujasusi wa Kiuchumi" na nchi inayoathirika zaidi ni ili yenye "Uchumi dola".

Ukisikia vita ya kiuchumi ndiyo hiyo. Ni kama Marekani na China mambo ni kuviziana, atakayezubaa ndiye atakayeathirika.
na atakayekurupuka atapoteza zaidi.

rwanda kwa hili ameonyesha kukurupuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ujinga huo,wacha huu mchezo tuucheze kiswahili,halafu itafahamika nani ni smart zaidi ya mwingine.
Kama umemsikia Mkurugenzi wa TPA (mamlaka ya Bandari Tanzania) kwamba mizigo emepungua bandarini lakini ya Rwanda bado iko mingi. Kama kuna wanadiplomasia wameajiriwa na wanalipwa mshahara kwa kodi zetu, hii ya kupigania maslahi ya Tanzania ndiyo kazi yao!!
 
Kama umemsikia Mkurugenzi wa TPA (mamlaka ya Bandari Tanzania) kwamba mizigo emepungua bandarini lakini ya Rwanda bado iko mingi. Kama kuna wanadiplomasia wameajiriwa na wanalipwa mshahara kwa kodi zetu, hii ya kupigania maslahi ya Tanzania ndiyo kazi yao!!
hii pekee haiwezi kuhalarisha upuuzi wanaofanya rwanda.wao wenyewe wana kiburi ndio maana pamoja na kujua wanatutegemea bado wamezingua.why not sisi!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani mtu kapiga nchi lockdown ili kudhibiti Corona halafu mtu mwingine ambaye wala hajali maisha yake aje aniletee magonjwa? Hata hivyo Rwanda wamewavumilia sana wa Tz. Watu maisha yenu wenyewe hamuyajali itakuwa ya wenzenu?
Sasa si wabaki kwao sasa mbona wanakuja kwetu!
 
Kagame ana akili.

Namuunga mkono sana kwenye hili
Yaani mimi nisacrifice kuthibiti Korona hadi kufikia kuwapunguzia watumishi mishahara halafu mijitu ya nchi nyingine ije iharibu sacrifice yoote eti tu. kwa sababu raisi wao anatafuta shortcut ya tatizo

Kagame tuko pamoja, uko sahihi mara mia na nakushauri ili kulinda Afya za Wanyarwanda pitisha mizigo Mombasa mpaka ujiridhishe kuwa Tanzania ni salama.

Endeleeni kujilinda sana ili sisi watanzania tukishakufa kwa korona sababu ya uzembe wa serikali yetu nyie mje mkalie na muishi katika ardhi hii maana nyie ni waafrika wenzetu. Bora nyie waafrika wenzetu mje muirithi nchi hii kuliko Wachina na Wazungu
Sasa unafikiri nani ataumia? Waache wakae kwao na sisi tukae kwetu.
 
hao madereva wa tz washikilie hapohapo wasiachie.
sio sawa mwanadiplomasia watanzania kutia neno kwenye swala hili.ni wao rwanda walioanzisha utaratibu wa kuwazuia wabongo wasipeleke corona kwao alhali madereva wao wanawaruhusu kuifata corona kwetu ndo waseme kitu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rwanda ilifunga mpaka na Uganda,na sasa Tanzania, ngoja tuone.ila zile simu za museveni,Kagame na Kenyatta, kuhusu Corona, ila kwa Magu wakazungumza mengine nje na Corona, l smelt a rat,and now it has materialised!
 
Kama umemsikia Mkurugenzi wa TPA (mamlaka ya Bandari Tanzania) kwamba mizigo emepungua bandarini lakini ya Rwanda bado iko mingi. Kama kuna wanadiplomasia wameajiriwa na wanalipwa mshahara kwa kodi zetu, hii ya kupigania maslahi ya Tanzania ndiyo kazi yao!!
Kwa hiyo?
Na mizigo si itakuwa na COVID 19,
Waachane nayo.

wanataka kujimilikisha biashara ya usafirishaji
 
Washenzi Mkuu hawa jamaa, wanakawaida ya kujiona wao ni bora kuliko watu wengine.

Wanapenda kutukuzwa.

Ndio maana wahutu waliwacharanga.

Mijinga kabisa hii mijamaa
Msikie huyo jamaa eti wanapenda kujiona ndio wahutu waliwacharanga mapanga,hivi haufahamu kwamba wahutu ni wanyarwanda pia ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani mtu kapiga nchi lockdown ili kudhibiti Corona halafu mtu mwingine ambaye wala hajali maisha yake aje aniletee magonjwa? Hata hivyo Rwanda wamewavumilia sana wa Tz. Watu maisha yenu wenyewe hamuyajali itakuwa ya wenzenu?

Asante sana umemaliza


Blackberry
 
warwanda wajiulize kwanza nani anamtegemea mwenzake hapo , kati ya tanzania na rwanda nani anahitaji malori kuingia nchini mwake
nani mwenye bandari hapo 🤣 🤣 🤣

Na kama una bandari unaenda rwanda kufanya nini kaa na bandari yako upige picha unapiga mbizi ferry hapo


Blackberry
 
Yani mtu kapiga nchi lockdown ili kudhibiti Corona halafu mtu mwingine ambaye wala hajali maisha yake aje aniletee magonjwa? Hata hivyo Rwanda wamewavumilia sana wa Tz. Watu maisha yenu wenyewe hamuyajali itakuwa ya wenzenu?
Sasa Mkui yale malori yako inabidi uniuzie kwa bei ya sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapomuekea MTU vikwazo dhidi yako utakua umejiwekea vikwazo pia wewe mwenyewe dhidi yake, ikiwa Madereva wa Tanzania wamezuiwa kuingia Rwanda ili wasipeleke Corona basi na Madereva wa Rwanda wazuiwe kuingia Tanzania ili wasije kuchukua Corona. Maana upande wowote utakaoruhusiwa kuingia upande mwengine unaweza kusambaza ugonjwa.
Kagame ana akili.

Namuunga mkono sana kwenye hili
Yaani mimi nisacrifice kuthibiti Korona hadi kufikia kuwapunguzia watumishi mishahara halafu mijitu ya nchi nyingine ije iharibu sacrifice yoote eti tu. kwa sababu raisi wao anatafuta shortcut ya tatizo

Kagame tuko pamoja, uko sahihi mara mia na nakushauri ili kulinda Afya za Wanyarwanda pitisha mizigo Mombasa mpaka ujiridhishe kuwa Tanzania ni salama.

Endeleeni kujilinda sana ili sisi watanzania tukishakufa kwa korona sababu ya uzembe wa serikali yetu nyie mje mkalie na muishi katika ardhi hii maana nyie ni waafrika wenzetu. Bora nyie waafrika wenzetu mje muirithi nchi hii kuliko Wachina na Wazungu
 
Back
Top Bottom