Benaco Ngara: Madereva wa Malori wa Tanzania, wamejichukulia sheria mkononi kuzuia Malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini

Benaco Ngara: Madereva wa Malori wa Tanzania, wamejichukulia sheria mkononi kuzuia Malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini

Kagame ana akili.

Namuunga mkono sana kwenye hili
Yaani mimi nisacrifice kuthibiti Korona hadi kufikia kuwapunguzia watumishi mishahara halafu mijitu ya nchi nyingine ije iharibu sacrifice yoote eti tu. kwa sababu raisi wao anatafuta shortcut ya tatizo

Kagame tuko pamoja, uko sahihi mara mia na nakushauri ili kulinda Afya za Wanyarwanda pitisha mizigo Mombasa mpaka ujiridhishe kuwa Tanzania ni salama.

Endeleeni kujilinda sana ili sisi watanzania tukishakufa kwa korona sababu ya uzembe wa serikali yetu nyie mje mkalie na muishi katika ardhi hii maana nyie ni waafrika wenzetu. Bora nyie waafrika wenzetu mje muirithi nchi hii kuliko Wachina na Wazungu

Kama Rwanda wamefunga mipaka kwanini madereva wao wanakuja TZ?

Hao madereva hawawezi kuchukua corona huku na kurudi nayo au corona inapelekwa na watz tu ila wanyarwanda wenyewe hawawezi kushika?

Lockdown is an illusion.
 
picha kubwa (sijui kama utaelewa though)..... katika ushindani wa kibiashara miongoni mwa nchi zenye bandari, ni Tanzania ndiyo inayozihitaji land-locked countries zaidi kuliko kinyume chake.
si hivyo.mbali na kwamba hii ni biashara ila,landlocked sio wateja waamuzi wanunue bidhaa wapi,ni geografia ndio inawaamulia.

bandari ya dar es salaam ina nchi kama 7 zinaitumia,tunaweza kuachana na rwanda sio sababu hatufai kwenye biashara hapana,bali sababu si mshirika mzuri wa biashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiuhalisia hii sio sawa! Kama ni kuwazuia madereva wa Tanzania kuingia Rwanda basi bora Malori kutoka Tanzania yawe yanashusha mzigo boda then ya Rwanda yanapokea from there lakini sio kumuachia mtu usiyemjua gari yako

Sent using Jamii Forums mobile app
KIla mtu akae kwao.
Wao na Covid 19 free wabaki kwako, na sie na Covid 19 contaminations zetu tubaki kwetu.
Ngoma draw.
 
Baada ya kunyanyasika vilivyo nchini Rwanda madereva wa malori wa Tanzania wamejichukulia sheria mkononi kuyazuia malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini.

Inasemekana baada ya Rwanda kuudhibiti ugonjwa wa Corona vilivyo nchini mwao, kitisho pekee kwa sasa kimebakia kuwa kutokea kwa wageni wanaoingia nchini mwao.

Katika hili inasemekana madereva wa malori kutokea nje wamekuwa ndiyo kitisho kikubwa. Takwimu zinaonyesha kuwa madereva kadhaa tokea Tanzania wamepatikana na virusi hivyo kwenye kuingia huko. Kutokana na hali hiyo, inasemekana Rwanda imebadilisha utaratibu wa malori kuingiza mizigo na sasa kuwataka madereva wa kutoka nje (Tanzania) kuishia mpakani. Utaratibu mpya unawataka madereva walioko (salama) ndani ya Rwanda pekee kuyafikisha malori Kigali na kuwarudishia mpakani.

Utaratibu wa ajabu kabisa. Nani atamwamini mtu asiyemjua na gari lake? Kujibu hilo madereva wa Tanzania nao wamechukua hatua zao na kuanzia jana inasemekana hali huko ni tete. Hakuna lori kutoka Rwanda wanaloliruhusu kuingia nchini. Vinginevyo nao wanawataka waishie mpakani kwa hali ile ile kama inavyotakiwa kwa wetu kufanya.

My take: Serikali inabidi kuingilia kati haraka iwezekanavyo na kuchukua hatua. Yawezekana hawa ndugu tuliowaachia mpaka wazi kwa kuwahurumia ya kwamba watataabika mno, huruma yetu hawaihitaji kabisa!

Kudos madereva wetu si mbaya mkuki kwa nguruwe kuwa ni ule ule kwa binadamu pia.
View attachment 1440166
View attachment 1440167
View attachment 1440140
Nadhani huu ni uzembe wizara ya mambo ya ndani. Walipaswa kuwa wameweka itaratibu.
 
Hilo sitoshangaa kabisaa, lakini hivi tujiulize kama madereva wa Tz Wana Corona na hawaruhusiwi kuingia nchini Rwanda kwanini hawa madereva wa Rwanda waje huku kwetu, hawajui kwamba wanakuja kuichukua hiyo corona kuipeleka kwao.
Wanataka kudominate biashara ya usafirishaji ya kati ya TZ na Rwanda kwa kutumia kigezo cha COVID 19.
Ndio maana, wanawakataza watanzania, wanawaruhusu wanyarwanda.

Kama pin, pin ipige kote tu.
 
Kama Rwanda wamefunga mipaka kwanini madereva wao wanakuja TZ?

Hao madereva hawawezi kuchukua corona huku na kurudi nayo au corona inapelekwa na watz tu ila wanyarwanda wenyewe hawawezi kushika?

Lockdown is an illusion.
KIla mtu akae kwao.
Wao na Covid 19 free wabaki kwako, na sie na Covid 19 contaminations zetu tubaki kwetu.
Ngoma draw.
Mkuu tatizo njaa huko kwao zimezidi wakikaa huko wataishije Sasa, Kenya na Uganda kazi ya kutorosha sukari yetu kila siku na mazao mengine ya chakula ili kujinusuru, hawawezi kutulia nchini kwao kamwe watakufa njaa.
 
Pamoja na hayo, naogopa Ndugu yangu.

Hawa watu wameshazoea mambo ya vita vita na vurugu, sisi tofauti sana.

Kwahiyo naogopa sana wao hawatokuwa na cha kupoteza hata kidogo
Acha kuwadekeza hao Cockroach, kwani nani awezi vurugu?
JWTZ wako vizur kuliko jeshi la Rwanda.

Kama Mbwai mbwai
 
Mkuu wanakosa heshima kabisa, hawana shukurani hawa watu, yaan sisi kuwabeba kote bado wanatuona wajinga tu wamepigana sana huko kwao sisi tuliwapokea na kuwapa hifadhi mpaka leo wengine hawajarudi kwao, mkoa wa kagera wamejaa kibao lakini bado tu hawataki kutuheshimu kwanini?
Walianzishe tu kama wana jeuri hiyo.

We mtu kazi ya kugombana na majilani wote
DRC, Uganda na Burundi bado tena wanataka kutuchokonoa na sisi.
100%

Na tuliwapa eneo la kuzika ndugu zao pale maeneo ya magereza, bado wanatufanya mafala.

Kila mtu na abakie kwao.

No need ya kubembelezana,
 
Wanataka kudominate biashara ya usafirishaji ya kati ya TZ na Rwanda kwa kutumia kigezo cha COVID 19.
Ndio maana, wanawakataza watanzania, wanawaruhusu wanyarwanda.

Kama pin, pin ipige kote tu.
Kama ni hivo basi na sisi ndio tumeamua sasa wabaki huko kwao upole wetu isiwe sababu ya kutunyanyasa na kututawala.
Wakawa dominate hao hao DRC huko wanao waibia madini kila siku lakini sio huku kwetu.
 
bandari ya dar es salaam ina nchi kama 7 zinaitumia,tunaweza kuachana na rwanda sio sababu hatufai kwenye biashara hapana,bali sababu si mshirika mzuri wa biashara.
Unajua kuna mpango wa kujenga Reli kwenda Rwanda? Unajua unapoitaja Rwanda unaitaja Mshariki ya Kongo? Mbali ya hizo nchi nyingine ni Rwanda ndiye inategemewa mizigo mingi kupitia kwake.
 
Mkuu tatizo njaa huko kwao zimezidi wakikaa huko wataishije Sasa, Kenya na Uganda kazi ya kutorosha sukari yetu kila siku na mazao mengine ya chakula ili kujinusuru, hawawezi kutulia nchini kwao kamwe watakufa njaa.
Washenzi Mkuu hawa jamaa, wanakawaida ya kujiona wao ni bora kuliko watu wengine.

Wanapenda kutukuzwa.

Ndio maana wahutu waliwacharanga.

Mijinga kabisa hii mijamaa
 
Yani mtu kapiga nchi lockdown ili kudhibiti Corona halafu mtu mwingine ambaye wala hajali maisha yake aje aniletee magonjwa? Hata hivyo Rwanda wamewavumilia sana wa Tz. Watu maisha yenu wenyewe hamuyajali itakuwa ya wenzenu?
Unamzuia jirani yako asiingie kwako kwa vile ana corona halafu wewe unamfuata nyumbani kwake!
Ajabu!
 
Kama ni hivo basi na sisi ndio tumeamua sasa wabaki huko kwao upole wetu isiwe sababu ya kutunyanyasa na kututawala.
Wakawa dominate hao hao DRC huko wanao waibia madini kila siku lakini sio huku kwetu.
Kazeni tu, mpaka heshima irudi.
 
upole wetu isiwe sababu ya kutunyanyasa na kututawala.
Sisi sio wapole ni wajinga!

Tangu Madereva wetu walalamike kwamba wanazuiwa kwenda Rwanda zimepita siku ngapi. Uliona kiongozi yeyote wa Tanzania amelizungumzia hilo suala ama hata wanadiplomasia wetu kwenda Rwanda kushughulikia jambo hilo kwa maslahi ya Tanzania?
 
Kagame ana akili.

Namuunga mkono sana kwenye hili
Yaani mimi nisacrifice kuthibiti Korona hadi kufikia kuwapunguzia watumishi mishahara halafu mijitu ya nchi nyingine ije iharibu sacrifice yoote eti tu. kwa sababu raisi wao anatafuta shortcut ya tatizo

Kagame tuko pamoja, uko sahihi mara mia na nakushauri ili kulinda Afya za Wanyarwanda pitisha mizigo Mombasa mpaka ujiridhishe kuwa Tanzania ni salama.

Endeleeni kujilinda sana ili sisi watanzania tukishakufa kwa korona sababu ya uzembe wa serikali yetu nyie mje mkalie na muishi katika ardhi hii maana nyie ni waafrika wenzetu. Bora nyie waafrika wenzetu mje muirithi nchi hii kuliko Wachina na Wazungu

Ulichoandika kwenye paragraph ya mwisho kimekuwa mawazoni mwangu tangu jumapili. Na kuwa inadaiwa kuwa Jiwe asili yake ni huko kwa Wanyamlenge, haiwezekani ikawa ni mkakati wa kuua wakazi wa asili ili "ndugu zake" wahamie huku?
 
Back
Top Bottom