Asamehe bila kuombwa msamaha? Huenda Musiba akajitokeza kinafiki na kuwaomba msamaha ili yaishe! Hata akiomba msamaha, eleweni ni unafiki tu! Huyu mtu nasikia kuna kiongozi alimlipia mahari wakati akioa lakini baadaye akaja kumtukana akijifanya Mwanaharakati Huru!Mzee msamehe kijana alikuwa anatafuta maisha.
Ajira wakuu hawakutoa kila mtu alibuni njia zake za kujipatia kipato wengine tuliamuaga kuwa wamachinga hata sisi tunahama tu taratibu kwa amri ya serikali sikivu ya mama yetu Mh Samia.
Ukimsaheme utajiongezea thawabu.
7ya sio 7bayaHili litakuwa funzo kwa washenzi wote kama Muciba ma 7baya
Natamani mtu anitukaneππβNiwaambie Watanzania wenzangu hakuna Mtanzania awe Ndovu au sisimizi mwenye kusimama juu ya sheria hakuna aliye juu ya sheria...
Zama zimebadilika mkuu ila ishi ya kulipa bukubuku haipo mali zinapigwa mnada mapema asubuhiMzee Membe kumbuka pia kwamba deni kalifungi.
mdomo uliyaponza makalio hadi yakatobolewa.mdomo ulio ponza kichwa
Mali zake zote si zitauzwa?Mzee Membe kumbuka pia kwamba deni kalifungi.
Na alisema hakuna jaji wa kuhukumu nchi hii.
Ilikuwa ten bilioni... Mahakama imepunguza mpaka sita.... Pia kinachoangaliwa ni damage ya image ya mtu...Kwenye ule msiba Musiba alilia kwa uchungu akijua kabisa kinachoenda kutokea.
Ila hizo pesa mbona nyingi mpaka zinapoteza uhalisia?...huyo bwana akidaiwa milioni hamsini tu zinatosha kumpa adabu.
Tunazingatia alphabet. Bernard alipwe then Fatuma
MEMBE AKIMSAMEHE WATANZANIA WATASIKITIKA NA KUMSHANGAA SANA MEMBE. MUSIBA AMEDHALILISHA WATU WENGI BILA HURUMA. IWEJE ASAMEHEWE. ACHA DENI LIMTESE MPAKA SIKU YA KWENDA KABURINI. HIYO NI ADHABU KUTOKA KWA MUNGU.Mzee msamehe kijana alikuwa anatafuta maisha.
Ajira wakuu hawakutoa kila mtu alibuni njia zake za kujipatia kipato wengine tuliamuaga kuwa wamachinga hata sisi tunahama tu taratibu kwa amri ya serikali sikivu ya mama yetu Mh Samia.
Ukimsaheme utajiongezea thawabu.
Kama hana cha kulipa awape vijana boga walitafuneIla hizo pesa mbona nyingi mpaka zinapoteza uhalisia?...huyo bwana akidaiwa milioni hamsini tu zinatosha kumpa adabu.
Hatari Sana!Membe anataka mpunga wake tu πππ
Ova
π€£π€£π€£7ya sio 7baya
HahahaaHizi mahakama hizi, sasa Musiba bilioni 6 atapata wapi?
Wangemwambia atoe milioni 30 tu, akishindwa nyumba inauzwa anakuja Mlowo Mbozi kufanya vibarua kwenye mashamba ya kahawa.
Lingine lilikuwa machi
Niguse Ninuke
Goal La Dakika Ya 89