BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Kuna tetesi kwamba Bashite kaikimbia nchi ni kweli?
Hili litakuwa funzo kwa washenzi wote kama Muciba ma 7baya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili litakuwa funzo kwa washenzi wote kama Muciba ma 7baya
Kwani matusi aliyokuwa anayatoa Musiba kwa wana CCM wenzie wakati wa uhai wa hayati mwenyekiti wao yalikuwa na afya kwa chama chao? Musiba lazima ashikishwe adabu liwe fundisho kwa wengaine.Hizi hukumu za mfululizo zinazomkabili Cyprian Musiba kutoka kwa wanaccm wenzake hazina afya kwa chama...
..maji yamekorogeka 😂Kwa hiyo lile goli la dakika ya 89 ndo limezaa hii bilioni 6 anayodaiwa msiba!? kweli mambo yameshakaa shaghalabagala....
Wakati akitukana hao watu, chama (CCM) hakikumsikia? Kwa nini uone kwamba ingekua busara chama kuwasuluhisha wakati chama hicho kilikua kinamsikia akitukana watu tena kwa majigambo makubwa.Hizi hukumu za mfululizo zinazomkabili Cyprian Musiba kutoka kwa wanaccm wenzake hazina afya kwa chama...
Tunazingatia alphabet. Bernard alipwe then Fatuma
Na wakati wa Nyerere mtu kama Musiba asingelitokea, mtu mavi kama yule akasimama kuwatukana wenzake. Kwanza nafasi kweye chama angeliitoa wapi? Labda kufagia ofisi, siyo kusema lolote...Enzi za Mwalimu Nyerere huyu Musiba na Membe au na Fatma wangeitwa mbele ya vikao vya maadili vya chama na kusikilizwa na Uamuzi au Suluhu kupatikana
😂😂Tunazingatia alphabet. Bernard alipwe then Fatuma
Kabisa.....na lazima ataenda ndani....waliotukanwa ni wengi...wanaweza kuchanga mtu akafungwa hata miaka mitanoUnajidanganya! Deni linafunga. Unaweza kufungwa as civil prisoner kwa gharama za anaekudai mpaka utakapolipa deni.
Wazee waliolitumikia taifa kwa uaminifu na uadilifu... 😆😆😆Kumtukana Membe au Kinana ndani ya chama ni ushenzi uliopitiliza.
Bao la kisigino dakika ya 89!“Niwaambie Watanzania wenzangu hakuna Mtanzania awe Ndovu au sisimizi mwenye kusimama juu ya sheria hakuna aliye juu ya sheria, ukimdhalilisha mwenzako...
Nani kakudanganya Deni linafunga njoo unikope mimi kisha uniambue Maneno hayo nitakulipia Magereza Gharama zote ili Mradi nikufunge tena nitakuchagulia na GerezaMzee Membe kumbuka pia kwamba deni kalifungi.
POWER KAAYA ni kama Alimtongoza Mama wa Kumzaa mjinga sanaMdharirishaji mwingine ni "power kaaya"!
Kijana miaka 31 unamtongoza Mama mwenye miaka 60, huu ni udhalilishaji wa kijinsia!!
Nasubiri kusikia kutoka kwa Rais mwenye ngonjera ya jinsia ya kike atasemaje kuhusu Power kaaya!!
Ila kama ana Mali zaweza kuuzwa kwa amri ya mahakama hata Kama hazifiki hiyo 6bl.Mzee Membe kumbuka pia kwamba deni kalifungi.