Benard Membe: Musiba hasimami tena na kujifanya yeye ni Mungu Mtu. Huko uliko naomba hela zangu

Benard Membe: Musiba hasimami tena na kujifanya yeye ni Mungu Mtu. Huko uliko naomba hela zangu

Mzee msamehe kijana alikuwa anatafuta maisha.
Ajira wakuu hawakutoa kila mtu alibuni njia zake za kujipatia kipato wengine tuliamuaga kuwa wamachinga hata sisi tunahama tu taratibu kwa amri ya serikali sikivu ya mama yetu Mh Samia.

Ukimsaheme utajiongezea thawabu.
Asamehe bila kuombwa msamaha? Huenda Musiba akajitokeza kinafiki na kuwaomba msamaha ili yaishe! Hata akiomba msamaha, eleweni ni unafiki tu! Huyu mtu nasikia kuna kiongozi alimlipia mahari wakati akioa lakini baadaye akaja kumtukana akijifanya Mwanaharakati Huru!

Akinywee tu hicho kikombe!
 
Mzee msamehe kijana alikuwa anatafuta maisha.
Ajira wakuu hawakutoa kila mtu alibuni njia zake za kujipatia kipato wengine tuliamuaga kuwa wamachinga hata sisi tunahama tu taratibu kwa amri ya serikali sikivu ya mama yetu Mh Samia.

Ukimsaheme utajiongezea thawabu.
MEMBE AKIMSAMEHE WATANZANIA WATASIKITIKA NA KUMSHANGAA SANA MEMBE. MUSIBA AMEDHALILISHA WATU WENGI BILA HURUMA. IWEJE ASAMEHEWE. ACHA DENI LIMTESE MPAKA SIKU YA KWENDA KABURINI. HIYO NI ADHABU KUTOKA KWA MUNGU.
 
Kwenye ule msiba Musiba alilia kwa uchungu akijua kabisa kinachoenda kutokea.
Ila hizo pesa mbona nyingi mpaka zinapoteza uhalisia?...huyo bwana akidaiwa milioni hamsini tu zinatosha kumpa adabu.
Kama hana cha kulipa awape vijana boga walitafune
 
Back
Top Bottom