Benard Membe: Musiba hasimami tena na kujifanya yeye ni Mungu Mtu. Huko uliko naomba hela zangu

Huyu nae ni mzee wa hovyo tuu...
A hell of a hypocrite. Miaka yote ya Magu akiwa Rais hakumuunga mkono, leo hii anajipendekeza kwa Mama.

Mpuuzi. Mnafiki.. Mhaini.

Na kama Mama eti atamuunga huyu... Atafeli vibaya mnoo.

Be Warned.
 
Kusaga meno kwa zamu,
Kuondoa magufuli NI kilio cha wengi sanaa.laiti wangejua
 
Zama za magu alikata Sana viuno,aliona watz wote ni mbuzi tu Dunia duara.
Jiwe kaacha wajane zaidi ya wajane.
Usicheze na watu kesho huwezi jua utakuwa nani
 
Mdharirishaji mwingine ni "power kaaya"!

Kijana miaka 31 unamtongoza Mama mwenye miaka 60, huu ni udhalilishaji wa kijinsia!!

Nasubiri kusikia kutoka kwa Rais mwenye ngonjera ya jinsia ya kike atasemaje kuhusu Power kaaya!!

Hahahaa mkuu lakini kumtongoza mtu sio kumdhalilisha hata Kama amekuzidi umri
 
Pamoja na hukumu ya mahakama, Cyprian Musiba anatakiwa kuomba msamaha HADHARANI ili kufuta makosa yake kwa aliyotenda,kwa vyombo na njia zilezile. Pia anatakiwa kutubu ili apate kusamehewa na kupokelewa na mwenyezi Mungu.
Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…