Benchi la ufundi la Simba SC lilikaidi maelekezo (maagizo) kutoka kwa kepteini Mohammed Hussein

Watani zangu wana ,[emoji881]si muda wakutafuta mchawi,alisha wapeni madhara, achaneni na yote gangeni yajayo,zaidi zaidi msiwe na nyie wachawi wetu,acheni kesho tuwabebeni,tulibebe taifa.[emoji848]
[emoji23] Sasa mkuu si tunawasilisha haya maoni wayafanyie kazi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Bench nalo lina maamuzi vipi kama liliona ni Kheri kumuacha aliyekuwepo kuliko kufanya maamuzi ya dharura,dakika mbaya[emoji848]
Huyo dogo aliulizwa na shabalala na akakubali atoke aingie mwingine Sasa shida ipo wapi

Kisaikolojia tayar ameshaandaa akili kuwa anatoka.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ishu ya penati tunamtegemea kwanza mpigaji halafu ndyo tunaomba neema ya kipa
Waarabu wao walipiga kwa usahihi kisha wakamuachia kipa kama anaweza okoa sasa hili la kujadili kipa wakati kuna players walipiga penati mlenda c sawa
 
Ishu ya penati tunamtegemea kwanza mpigaji halafu ndyo tunaomba neema ya kipa
Waarabu wao walipiga kwa usahihi kisha wakamuachia kipa kama anaweza okoa sasa hili la kujadili kipa wakati kuna players walipiga penati mlenda c sawa
Kwa hiyo chamajr aligeuka kuwa CHAUMA

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ishu ya penati tunamtegemea kwanza mpigaji halafu ndyo tunaomba neema ya kipa
Waarabu wao walipiga kwa usahihi kisha wakamuachia kipa kama anaweza okoa sasa hili la kujadili kipa wakati kuna players walipiga penati mlenda c sawa
Wale ni untouchable. Tunatafuta mnyonge wa kumuangushia jumba bovu.

Ajabu kweli. Yaan watu wawili wamekosa penalti, anaenda kulaumiwa kipa ambae kudaka kwake penalti ni hisani tu.
 
Mtoa mada utopolo mwenzako
 
Luzaz lini?futuhi
 
Mohames Hussein Alikuwa anaomba sub ya KIBU aliyekuwa ameumia ameshindwa kuendelea na mchezo, sio Golikipa.

WADANGANYE WAJINGA WENZIO.
 
Nyie kugombana ni kawaida tu. Ngoja ligi iishe utaona 😅😅
Mtasubiri sanaaa..
Kwa Simba hii
Ktk siku nimeangalia habri za michezo TV zote ni kwamba mashabiki hawana deni na timu na benchi lote la ufundi ...
 
Nilidhan jana makolo wangefuzu ½ fainali, ila kadri dakika zilivyoenda nikagundua bench la ufundi hawana akili, coach wa makipa wa Simba apigwe makofi hakumuandaa dogo kudaka penat, coach apigwe makofi angecheza Psychological game angemtoa Dogo angemuingiza Kakolanya adake penat, inshort jana coach alikua anauwezo wa kulazimisha afuzu kwa kupata sare ya 1-1... Wydad jana walicheza kawaida sana ni vile simba walifeli kimbinu...
 
Acheni hizo bnana!!huyo manula mwaka jana aliokoa penalty ngapi?!!Tulisha wachoka na mambo yenu hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…