NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #41
[emoji23] Sasa mkuu si tunawasilisha haya maoni wayafanyie kazi.Watani zangu wana ,[emoji881]si muda wakutafuta mchawi,alisha wapeni madhara, achaneni na yote gangeni yajayo,zaidi zaidi msiwe na nyie wachawi wetu,acheni kesho tuwabebeni,tulibebe taifa.[emoji848]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app