Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #41
Hapa ndo wanazidi kutuchanganya kabisa .nimesoma sehemu Tena ndege za uturuki zinawashambulia waasi wa kikurdi huku tunaambiwa hichi kikosi kilichomuondoa Assad kinasaidiwa na uturuki. Syria ina mchanganyiko wa hatariNa waasi walishasema majeshi ya russia yaendelee kubaki na hawatashambulia mali na assets za russia.
Zaidi Urusi anawahitaji sana waasi hawa na atafanya chochote watakacho ili kile kilichompeleka pale cha kuzuia kujengwa kwa bomba la gas kutoka Qatar kwenda Europe kisifanikiwe.Mrusi kashajua Assad kapigwa mpaka kakimbia.
Mrusi anajua kuwa ana base za kijeshi Syria na bado anazitaka, hivyo ni muhinu aendeleze mahusiano na serikali mpya.
Mrusi amekubali ukweli kwamba, kwenye diplomasia hakuna rafiki wa milele wala adui wa milele, kuna interests za nchi tu.
Hivyo ndivyo chess linavyochezwa.
Kweli kuna kitu kisichowezekana hapa duniani? Let's wait and see. Hata Assad alijua hawezi kuondolewa mamlakani.Wewe ndoto za kuiondoa CCM madarakani achana nazo maana ni kitu kisichowezekana. Kama vipi iuzeni chadema mgawane mbao
Unaona sasa, hivyo ndivyo chess linavyochezwa.Zaidi Urusi anawahitaji sana waasi hawa na atafanya chochote watakacho ili kile kilichompeleka pale cha kuzuia kujengwa kwa bomba la gas kutoka Qatar kwenda Europe kisifanikiwe.
Hofu ya dhahiri ya Russia ambayo ndiyo ukweli ni kitendo cha Ulaya kuwa huru na kuondokana na utegemezi wa gas yake
View attachment 3173141
View attachment 3173142
Umeongea point. Hata mimi nahisi kitu cha aina hiyo kitakuwa kimefanyika (A Back Channel)Huenda kuna mazungumzo na makubaliano kati ya Urusi, waasi, na Assad ambayo hayajatangazwa hadharani.
Ndio lipo Syria kama unaelewa maana ya ubalozi. Kama hujui, usinichoshe. Ahahahahaha!!Usigeuze GIA angani rejea post Yako ya mwanzo umeeleza vizuri kwamba hilo jengo la ubalozi lipo Syria na kwamba hapo siyo Urusi. Ila pia nashukuru kwa kuniitia dogo japo hatuonani basi tupeane heshima tu huwezi kujua labda nimekuzidi umri.
Matatizo hayana mshirika hata kama wewe utaangalia nani anakufaa hata akiwa shetani sawa bora yako yasogee.Putin anakuwa mtu wa kushirikiana na hata fisi ilimradi tu yeye mambo yake yawe sawa, maana huko anakoenda anakujua mwenyewe
Kuiondoa CCM inawezekana, wala si kitu kigumu hivyo.Kweli kuna kitu kisichowezekana hapa duniani? Let's wait and see. Hata Assad alijua hawezi kuondolewa mamlakani.
Wewe ndiyo unataka kuleta ubishi usiokuwa na maana, suala la ubalozi wa tz kuwepo marekani Lile eneo la ubalozi linatambulika ni ardhi ya tz lakini haiondoi maana ya kusema Hilo eneo la tz lipo marekani,Dogo diplomatic issues huzielewi. Ingelikuwa busara zaidi ukauliza nilimaanisha nini. Labda nikusaidie. Eneo lolote linalotambuliwa kama ni la ubalozi wa nchi fulani ndani ya nchi nyengine, basi kwa kutumia The Vienna Convention hilo ni eneo la nchi yenye ubalozi husika na ndio maana wanapeperusha bendera ya nchi yao. Sijui umenielewa???
Mataifa makubwa hayana rafiki wala adui wa kudumu ila yana maslahi ya kudumu ndo maana kiongozi aliempindua Assad CIA walishatangaza dau la karibu bilioni 30 kwa atakaemkamata ila jana Biden kampongeza kwa kuleta mwanga mpya Syria.Putin anakuwa mtu wa kushirikiana na hata fisi ilimradi tu yeye mambo yake yawe sawa, maana huko anakoenda anakujua mwenyewe
Dah!Wewe ndiyo unataka kuleta ubishi usiokuwa na maana, suala la ubalozi wa tz kuwepo marekani Lile eneo la ubalozi linatambulika ni ardhi ya tz lakini haiondoi maana ya kusema Hilo eneo la tz lipo marekani,
Hapo ubalozi wa Syria uliopo urusi ulipandisha bendera mpya, hapo limetaja urusi ili kuleta maana
Labda nikuulize ubalozi wa Syria uliopo urusi, marekani na ufaransa kwa mtazamo wako unaweza ukaelezea vipi kwa pamoja na ukaeleweka????
wameamua kutuvuruga tusielewe chochoteHapa ndo wanazidi kutuchanganya kabisa .nimesoma sehemu Tena ndege za uturuki zinawashambulia waasi wa kikurdi huku tunaambiwa hichi kikosi kilichomuondoa Assad kinasaidiwa na uturuki. Syria ina mchanganyiko wa hatari
Nimekuwekea hapo "The Vienna Convention". Nenda kaisome. Msinichoshe na kutokuelewa kwenu. Hili sio darasa.Wewe ndiyo unataka kuleta ubishi usiokuwa na maana, suala la ubalozi wa tz kuwepo marekani Lile eneo la ubalozi linatambulika ni ardhi ya tz lakini haiondoi maana ya kusema Hilo eneo la tz lipo marekani,
Hapo ubalozi wa Syria uliopo urusi ulipandisha bendera mpya, hapo limetaja urusi ili kuleta maana
Labda nikuulize ubalozi wa Syria uliopo urusi, marekani na ufaransa kwa mtazamo wako unaweza ukaelezea vipi kwa pamoja na ukaeleweka????
Hamna cha chess wala nini Pro NATO mmepigwa chenga za maudhi na DUBU,ngoja mtaona baadae kwamba chui kavishwa ngozi ya kondoo kwanzaMrusi kashajua Assad kapigwa mpaka kakimbia.
Mrusi anajua kuwa ana base za kijeshi Syria na bado anazitaka, hivyo ni muhinu aendeleze mahusiano na serikali mpya.
Mrusi amekubali ukweli kwamba, kwenye diplomasia hakuna rafiki wa milele wala adui wa milele, kuna interests za nchi tu.
Hivyo ndivyo chess linavyochezwa.
Nje ya mada mkuu Kumb radhi ....Haya hiyo kutoka Sky News labda utaamini kwa sababu ni chombo cha habari kutoka nchi za western View attachment 3173115
Watu wengine bila ya kufanya hivyo hawawezi kuelewaNaona unakula nae sahani moja
Nani kakwambia mimi ni pro NATO?Hamna cha chess wala nini Pro NATO mmepigwa chenga za maudhi na DUBU,ngoja mtaona baadae kwamba chui kavishwa ngozi ya kondoo kwanza