And hence this thread is closed! Hakuna jibu lingine zaidi ya hili, mengine ni blah blah tu.Alaaniwe atakaye ilaani Islael na Abarikiwe atayeibariki Islael...
Mkuu ni kweli kabisa bendera ya Israel imepepea kwenye magari mengi lakini kumbuka Israel ni Taifa teule kama vitabu vitakatifu vinavoeleza wakati Tanzania au hispania ni mataifa ya kawaida
Hizi imani za kishamba, taifa teule na sisi taifa letu ni la kawaida?
Nawakubali Israel kwa ubabe na msimamo, bhaaaas!
Na USHOGA uliokithiri huko ISRAEL unakubaliana nao?Taifa teule lake Mungu ni Israel pekee! Kwa ujumla tunakubaliana na matendo yao!!
Na Mungu awape Israel nguvu siku zote!
Ushoga umejaa Tanga kuliko Dar...Na USHOGA uliokithiri huko ISRAEL unakubaliana nao?
Na Km jibu ni ndio basi Ulaaniwe milele.
Naakumbuka ila alidai kachapia
ila ya israel ni ya kudumuKuna wakati miaka ya 1970.... tulikua tukivaa beji zenye picha ya Mao Ztung raisi wa China miaka ile, tuliva picha za Che Guavera, Fidel Castro na tulikua wengi, katika hapa nchi ilizagaa bendera za US lakini yote yamepita kuna wakati tulikua na bendera ya Jamaica na picha ya Bob Marley ni vitu vya mpito ni kama fashion zinakuja na kutoweka
waaulize waarabu waliopigwa siku6Israel inaogoza kwa kupokea misaada mikubwa ya kiuchumi na kijeshi kutoka marekani na misaada isiyo na masharti. waafrika tumedanganywa kuwa tunapewa misaada walati Israeli government inanufaika na misaada ya kweli sisi tunaambulia misaada midogo tena yenye masharti magumu. ikitokea siku ambayo Marekani atasitisha misaada na uhusiano na Israel huo ndio utakuwa mwisho wa Israel.
Amini usiamini Israel inapokea misaada kuliko nchi yoyote ile Afrika, Tanzania tunapokea misaad a kidogo kuliko Israel inavyopokea misaada kutoka Marekani
WAULiz ndugu zako waarabu waliopigwa siku6 (yom kippur war)mbona inasemekana hitler aliwapiga sana au miaka hiyo walikuwa haw
ajajipanga
Sasa wale wanaoweka bendera ya marekani nao wanaashiria uteule wa nchi hiyo!?Mkuu ni kweli kabisa bendera ya Israel imepepea kwenye magari mengi lakini kumbuka Israel ni Taifa teule kama vitabu vitakatifu vinavoeleza wakati Tanzania au hispania ni mataifa ya kawaida
Full utumwa kuanzia fikra mpaka maishaAlaaniwe atakaye ilaani Islael na Abarikiwe atayeibariki Islael...
Huku mbeya mkuu naona vipeperushi vya TB joshua ndo vinauza mkuu!kila anayenunua kagar lazima kioo cha nyuma aweke stika hiyo,nashindwa elewa watanzania tunaweka hizi bendera kwa kujua maana zake???mapenz na nchi hizo???au ulimbukeni tu kwa kuwa flani kaweka???Kwani wewe ni nani hata kuwapangia watu jinsi ya kutumia resource zao au vitu vya kubandika? Waislam wengi wana picha ya Al Kaaba. Ni Hiyari yao hakuna tatizo. Rastafarians wanapenda kuweka Bendera sijui ya nchi gani ile (Ethiopia?) Na hakuna shida. Kuna wanaoweka picha za Osama, ni hiari yao pia. Hata hao wakristo wanaoweka bendera ya Israel ni hiari yao pia.
Wewe kinakuuma nini? Hangaikia maisha yako badala ya kufuatilia ya wengine. Watanzania kwa usakubimbi hatujambo.