OTE="number41, post: 15436048, member: 303544"]Sidhani kama wazungu wanaonunua kacha za kibongo zenye rangi ya bendera ya tanzania wamepoteza identity yao pia nimewai ona wazungu ulaya wengi tu tena uingereza na marekan wamevaa flana ya bendera ya tanzania sijui wamepoteza identity yao au kisa we unachuki zako binafsi nimewai fanya kaz ya kutafuta flana za kacha ya ramani ya tanzania kwaajili ya wazungu wanataka je walitaka kwaajili ya nn mbona apo umevaa flana ndani ina rebo ya italy umeona mbona ujavua uvae ya fundi wa kibongo ahahahahahahaha acha ushamba bana[/QUOTE]
JF sio danguro, unaingia tu kwa kuwa unapesa basi unapata uchi. Jitahidi kusoma na kuelewa kabla ya kuchangia. Lengo kubwa hapa kueliminisha sio kuonesha nani anajua. Au ulita kuonesha umewahi kuishi ulaya? na unajua wazungu wanapenda "kacha" ya Tanzania? Production label is for marketing. people wear garments from across the globe, and for your information, that erodes identity too. Language, food, cloths etc. depict identity, culture and ideology. This is why, for exmaple, some professions have official dressing codes and colours. Look, for example, at doctors and nurses, priest, laboratory technicians etc.
You should never let your faith contaminate your reasoning. We need constractive contributions not "hahahahahaha", what would I learn from "hahahahha".