Bendera ya Israel ndani ya magari ya Dar ni siasa tu au kuna la zaidi?

Bendera ya Israel ndani ya magari ya Dar ni siasa tu au kuna la zaidi?

mbona wengi wetu wameweka bendera za kiarabu tena za mataifa kama iran/saudia/etc na hamjazianzishia uzi????? closed mind zenu hizo.
 
Wewe umejawa na chuki kwa taifa teule utakufa na kijiba cha roho
hahaha,hamia Israel ukapewe uraia, tuache na Tanzania yetu, kawe mteule Israel! otherwise kuwapapatikia waisrael ni uzumbukuku,na sio hao hata any other nation! baada ya kuwa proud na nchi yako!
 
Well said mkuu!!!
Mkuu tukopamoja tuna watu wanahisi watakuwa waisraelsiku moja, au wamarekani, lakini hata arusha hajafika, ni lazima tudeal na watu wanaotaka kugeuka mawe! wasiojitambua!
 
Mbona mimi nimeweka bendera ya Israel chumbani kinachowauma nini au mlitaka tuweke bendera ya Libya ndio mfurahi wakati Gaddaff hata kaburi lake halijulikani wache hizo.
 
Ni ishara kuwa wanakubaliana na itikadi yao au ni wadau wa itikadi za Israel, kama nao Israel ni wadau wa itikadi za kitanzania ni ruksa kuweka bendera, sio israel kama taifa, ni ITIKADI.
Asshole people.png
 
Mbona mimi nimeweka bendera ya Israel chumbani kinachowauma nini au mlitaka tuweke bendera ya Libya ndio mfurahi wakati Gaddaff hata kaburi lake halijulikani wache hizo.
........Duniani wapumbavu ni wengi ndio maana 'chaos' haziishi !
 
Bendera ya Israel inaitwa 'the star of David.' Wanaoitundika popote pale ni wakristo na wanaihusisha na imani yao ya kikristo. Wengi wetu tunafahamu uhusiano kati ya mfalme na nabii Daudi na masihi Yesu Kristo. Hakuna siasa katika hili.
Hao Wayahudi wenye hiyo Bendera ndo walio muua Yesu na wanamwita Mwanaharamu !
 
Huna haja ya kijiuliza sn, historia ya Taifa la Israel ndio pekee inajulikana toka kuumbwa kwa dunia hii,, wakati historia ya Tanzania imeanzia hapo juzi wakt wa Mjerumani,,

Pia kwenye Biblia imeandikwa kila Ailaanie Israel nae Atalaaniwa na kila Aibarikie Israel naye pia Atabarikiwa , hivyo watu kutundikwa kwa bendera za Israel watu wanatafuta Baraka ndio maana unaziona kwa watu waliobarikiwa zikiwa ndani ya Magari,,

Bendera hizi huzikuti kwenye Bar, Casino, au kwenye Guest house bali unazikuta kwenye uwepo wa Mungu pale watu wanapohitaji ukaribu wa Mungu uwe nao wawapo safarini nk.
Hata Mzee wa Upako ameshtuka, yakwake ameing'oa pale Kanisani
 
Huna haja ya kijiuliza sn, historia ya Taifa la Israel ndio pekee inajulikana toka kuumbwa kwa dunia hii,, wakati historia ya Tanzania imeanzia hapo juzi wakt wa Mjerumani,,

Pia kwenye Biblia imeandikwa kila Ailaanie Israel nae Atalaaniwa na kila Aibarikie Israel naye pia Atabarikiwa , hivyo watu kutundikwa kwa bendera za Israel watu wanatafuta Baraka ndio maana unaziona kwa watu waliobarikiwa zikiwa ndani ya Magari,,

Bendera hizi huzikuti kwenye Bar, Casino, au kwenye Guest house bali unazikuta kwenye uwepo wa Mungu pale watu wanapohitaji ukaribu wa Mungu uwe nao wawapo safarini nk.
Zile Biblia unazo zikuta Guest House (Gidion Bible) wageni nao huwa wanajikurubisha na Yesu !? Bhampupile le
 
-Period..kama ni mkristo haya maneno utayakuta kwenye Biblia hata mtu ungewaita eti wanadharau wanajisikia,mara ni wabaguzi haisaidii nani sio mbaguzi??nani hajisikii?? nani hana dharau??tuanzie hapo.Wala tusiwasingizie hapa kwetu vipi hakuna hayo??mara'' aaah hawa tutafanya makosa makosa yote lakini si kuwapa ikulu''hiyo ni nini??''hawa ni hizbu zanzibar ni ya weusi''hayo mambo mwanadamu kaumbiwa lakini ayashinde.Lile ni taifa teule lilivushwa bahari ya shamu kwa muujiza wa kutisha na Mungu,kuna taifa lilishawahi kufanyiwa hivyo hapa duniani???kwanza hilo neno Israel tu wamepewa si na mwanadamu bali ni Mungu mwenyewe aliwapa kwa nini wasijisikie fahari??
vWewe lakokwo umepewa na nani !? Vonix
 
Naamini Mungu habagui kuwa eti Jews wamebarikiwa au sijui eti ni wateule halafu wengine huku Africa ni grade Ya chini.
We are all children of God in his eyes regardless whether you are african or Jew
 
Hizi imani za kishamba, taifa teule na sisi taifa letu ni la kawaida?
Nawakubali Israel kwa ubabe na msimamo, bhaaaas!
Pole kwa kuukataa ukweli lakini ujue aikataaye kweli na hali kweli inaishi bas kweli hiyo humtafuna MTU huyo
 
kun

nadhani ni kasumba tu kwa baadhi ya wafuasi wa yesu kudhani bendera ya kizayuni ya israeli inawakilisha israel ya ndani ya biblia takatifu. israel ya leo ni nchi ya mazayuni wabaguzi wakubwa. ni nchi sawa na apartheid south africa.
Baraka huwa hainyang'anywi ingekua ni nchi ya kawaida bas tungeshuhudia kudorola kwake lakini it was blessed!! It will hits their enemies for defending itself!!
 
Binafsi naipenda saana Israeli,Bendera yao utaikuta kwenye Gari yangu pia ofisini, shalom Jerusalem, shalom Israel nmwaaa[emoji8]
Kuiweka bendera hiyo ya Israeli ni uungaji mkono Mkubwa kwa Israeli na kinyume chake ni kama ambavyo siifagilii Iran![emoji53]
 
Nakubaliana na wewe kwamba kuna watu kama wewe ambao mnaikubali tabia yake ya ubabe wake huko mashariki ya Kati.Lakini pia ukubali kwamba kuna watu wanaiona Israel kama "taifa teule" na hapa kuna utata kwani ni zaidi ya Itikadi za kisiasa bali tunakwenda hadi kwenye Itikadi za kidini.

Kuna watu wanaodhani kwamba Waisrael ni wakristo (kwa maana ya asilimia) lakini waisrael kwa asili hawaamini kama Yesu ni Masihi Mpakwa mafuta wa Bwana Mungu Yehova. Ndiyo maana wakati kuna baadhi ya Wakristo wanakwenda Hija Israel waisrael wenyewe wanawashangaa na kuwaona kama ni watalii wa kawaida wanaokwenda kutalii maeneo ya Kihistoria yasiyo na mashiko ya Kiimani.

Kama ambavyo kuna mtizamo hasi kwamba Wapalestina wote ni waislam, wakati wapalestina wapo na wakristo na wao pia wanaporomoshewa mabomu na waisrael kama wanavyopromoshewa wenzao waislam kwenye nchi yao!!
Ebu fuatilia vita yake na mataifa ya waarab!! Utajua Israel inafanya kujilinda au kufanya ubabe!! Arabs have no good!!lengo lao waitoe Israel ktk ramani ya middle east na hapo ndipo mnauona ubaya wa israel
 
Na hapo ni ndipo ninaposhindwa kumshangaa mungu wenu anayewapanga watu kwa magroup.. Kwamba huyu in first class mja na huyu ni second class mja.. Tena huwapanga hivyo wala so kwa uchamungu wao ! Bali ni kutokana na kuzaliwa by chance katika taifa hilo tu ! What a miracle ![emoji57]
We ni nani hata umshangae mungu!! Najua utakua ni wale wanaofata kizazi cha ishmael .Hujui mungu kwann aliichagua Israel ni kwa sabab ktk Israel ndipo alikokuepo nabii alie mtii yy na akambariki !! Ni nguvu ya babu zao waliomchagua na kumtumikia mungu wakati waarab wakiabudu sanam na waafrika wakiabudu mizimu!! Leo unasema kwann aliwachagua ulitaka amchague bab yako aliekua anaabudu mizimu na majini
 
Mbona hao waisraeli hawabebi bendera za Tanzania. Na haya mambo yanafanyka kwenye nchi za kiafrika maana Marekani PAMOJA NA ushosti wote na Israeli huwezi ona raia wake wakitembea na hizo bendera never ni sisi tu wafuata mkumbo bila kuelewa.
Halafu kuna kitu nakishangaa kwa hawa wakristo wanaobeba hizi bendera maana sio wote. Wanasena wanamuamini YESU Kristo but wanapeperusha bendera za watu wasiomuamini YESU kristo
Najua dini yako
 
Nadhani wa AFRIKA TUNA ULEMAVU WA AKILI.....kila kukicha Waisrael wanandamana kuwaondoa watu weusi nchini mwao tena wengine mpaka wanawapiga....lakini huku AFRIKA KWA KULEWA IMANI ZA KISHENZI TUNALIITA TAIFA TEULE LA MUNGU.....ni MUNGU YUPI ALIYEWATEUA NA KUWAAGIZA KUWABAGUA BINAADAMU WENZAO......???

Huu ni zaidi ya ujinga na upumbavu walionao waafrika....
Sasa wewe kwani nani kakwambia waisrael wote ni watakatifu!! Kuna waovu na wema vilevile!! Na huko hakuondoi baraka waliopewa!! Tena bora ya Israel kuliko waarabu or Arabs wamefanya biashara ya utumwa,kuua watu,na ndio taifa pekee kat ya makolon lililoing'ang'ania biashara ya kuuza watu had Leo nchini mwao utumwa wa mwafrika upo!! Halafu anawaletea dini mnapokea nyie mnaakili au matope yy alimjua Allah na bado alikua katil kauza watumwa,kuwatesa alikua hamjui Huyo Allah au??
Tena baada ya uarabuni ndio kuwe na black Arabs kwa sabab misururu mingi ndo ilikua inaelekea huko lakini hamna walienda WAP?? Aliwauwa na kuwahas sasa uyo MTU aje akwambie dini ukubal?? Unashida ni bora kumkubal mpagani kuliko CHOCHOTE cha hao watu hawana utu!!
Israel is good haijawahi kutawala au kuwa katil kiivo na dini yake inasadiki
 
Back
Top Bottom