KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
maganjwa,
Sijui wataingia uchaguzi kwa sababu zipi hasa chini ya tume ya uchaguzi iliyopo sasa na wasimamizi wa uchaguzi.
Mazingira yote yaliyoandaliwa ni kuwa wabunge wao karibu wote hawawezi kurudi bungeni tena baada ya uchafuzi huo.
Hapa ndipo tutakapojua wazi kwamba hatuna vyama vya upinzani Tanzania
Sijui wataingia uchaguzi kwa sababu zipi hasa chini ya tume ya uchaguzi iliyopo sasa na wasimamizi wa uchaguzi.
Mazingira yote yaliyoandaliwa ni kuwa wabunge wao karibu wote hawawezi kurudi bungeni tena baada ya uchafuzi huo.
Hapa ndipo tutakapojua wazi kwamba hatuna vyama vya upinzani Tanzania