Benjamin Netanyahu: Je, ni Kivuli cha Mfalme Daudi Kwenye Biblia?

Benjamin Netanyahu: Je, ni Kivuli cha Mfalme Daudi Kwenye Biblia?

Daudi alijutia makosa yake ila Netanyahu hajawahi jutia kuiba pesa za walipakodi wa Israel. Ni fisadi ambaye anajifichia kwenye vita kupata popularity.
Mbona Mahakama haijam convict sasa?
 
Mfalme Daudi ni moja ya watu mashuhuri katika Biblia, na vita alivyopigana vinaelezewa hasa katika vitabu vya 1 Samweli, 2 Samweli, na Zaburi. Hapa ni baadhi ya vita muhimu alivyopigana kwa mujibu wa Biblia:

1. Vita dhidi ya Goliathi (1 Samweli 17)

.Akitumia kombeo na mawe matano, alimshinda Goliathi, huku akithibitisha kuwa ushindi hauko kwenye ukubwa au silaha, bali kwenye imani kwa Mungu.

2. Vita na Wafilisti
Daudi alipigana na Wafilisti katika miji kadhaa kama Keila (1 Samweli 23:1-13) na alipokuwa akiwakimbia wafuasi wa Sauli.

Alishinda tena na tena dhidi ya Wafilisti baada ya kuwa mfalme (2 Samweli 5:17-25), akiwapiga sana na kudhoofisha nguvu zao.


3. Vita dhidi ya Sauli

Ingawa Daudi hakutaka kumdhuru Mfalme Sauli, alikimbia mara nyingi kutokana na majaribio ya Sauli ya kumuua kwa wivu na hofu ya kupoteza ufalme.

4. Vita dhidi ya Waamaleki (1 Samweli 30)
Daudi aliwafuata Waamaleki, akawashinda na kuwarudisha watu wake salama pamoja na ngawira.

5. Vita vya Kifalme

Baada ya kuwa mfalme, Daudi aliongoza Israeli katika vita mbalimbali ili kuimarisha na kupanua mipaka ya ufalme. Aliwashinda Wamoabi, Waedomi, Waaramu, na mataifa mengine yanayozunguka Israeli (2 Samweli 8).

6. Vita dhidi ya Absalomu (2 Samweli 15-18)
Absalomu, mwana wa Daudi, alijaribu kumpindua baba yake na kuchukua ufalme. Daudi alilazimika kukimbia Yerusalemu, lakini baadaye jeshi lake lilimshinda Absalomu katika vita,

Hitimisho
Kwa namna huyu mwamba Benjamni Netanyahu alivyokabiliana na Hamas pamoja na Hezbollah wanafadhiliwa na Utawala Iran, ninamuona kama vile ni Mfalme Daudi amekuja kwa sura ya Netanyahu
acha kumfananisha mtumishi wa Mungu Daud na vitu vya ajabu,kipindi cha daud ukimwaga damu isiyo na hatia,ujue na yako lazima imwagike.
 
acha kumfananisha mtumishi wa Mungu Daud na vitu vya ajabu,kipindi cha daud ukimwaga damu isiyo na hatia,ujue na yako lazima imwagike.
Mbona Daudi anaelezwa kama ndiye mfalme aliyepigana vita vingi na kuua watu wengi kuliko mfalme yeyote duniani kwa enzi zile? Kwani ndugu unaijua kweli Biblia au unabisha kutoa usingizi alfajiri hii
 
Mbona Daudi anaelezwa kama ndiye mfalme aliyepigana vita vingi na kuua watu wengi kuliko mfalme yeyote duniani kwa enzi zile? Kwani ndugu unaijua kweli Biblia au unabisha kutoa usingizi alfajiri hii
Dunia tumeshuhudia watemi kama Gengis khan,Alexander the great n.k, Israel wako overlated Sana na historia yao.
 
Mfalme Daudi ni moja ya watu mashuhuri katika Biblia, na vita alivyopigana vinaelezewa hasa katika vitabu vya 1 Samweli, 2 Samweli, na Zaburi. Hapa ni baadhi ya vita muhimu alivyopigana kwa mujibu wa Biblia:

1. Vita dhidi ya Goliathi (1 Samweli 17)

.Akitumia kombeo na mawe matano, alimshinda Goliathi, huku akithibitisha kuwa ushindi hauko kwenye ukubwa au silaha, bali kwenye imani kwa Mungu.

2. Vita na Wafilisti
Daudi alipigana na Wafilisti katika miji kadhaa kama Keila (1 Samweli 23:1-13) na alipokuwa akiwakimbia wafuasi wa Sauli.

Alishinda tena na tena dhidi ya Wafilisti baada ya kuwa mfalme (2 Samweli 5:17-25), akiwapiga sana na kudhoofisha nguvu zao.


3. Vita dhidi ya Sauli

Ingawa Daudi hakutaka kumdhuru Mfalme Sauli, alikimbia mara nyingi kutokana na majaribio ya Sauli ya kumuua kwa wivu na hofu ya kupoteza ufalme.

4. Vita dhidi ya Waamaleki (1 Samweli 30)
Daudi aliwafuata Waamaleki, akawashinda na kuwarudisha watu wake salama pamoja na ngawira.

5. Vita vya Kifalme

Baada ya kuwa mfalme, Daudi aliongoza Israeli katika vita mbalimbali ili kuimarisha na kupanua mipaka ya ufalme. Aliwashinda Wamoabi, Waedomi, Waaramu, na mataifa mengine yanayozunguka Israeli (2 Samweli 8).

6. Vita dhidi ya Absalomu (2 Samweli 15-18)
Absalomu, mwana wa Daudi, alijaribu kumpindua baba yake na kuchukua ufalme. Daudi alilazimika kukimbia Yerusalemu, lakini baadaye jeshi lake lilimshinda Absalomu katika vita,

Hitimisho
Kwa namna huyu mwamba Benjamni Netanyahu alivyokabiliana na Hamas pamoja na Hezbollah wanafadhiliwa na Utawala Iran, ninamuona kama vile ni Mfalme Daudi amekuja kwa sura ya Netanyahu

Kwani daudi alihitaji mbeleko ya Marekani?
 
Hapana, Netanyau anafadhiliwa na Marekani kwa mabilioni ya Dola kifedha na silaha huku akiwashambulia Wapalestina na Walebanoni wasio hata na air defense hata moja huwezi kumfananisha na Mfalme Daudi aliyepambana na Goliath.

zitto junior Mathanzua
In addition Netanyahu is a very evil man fighting for Satan's army.David on the other hand was a true servant of God despite his short comings,so you can't compare the two in any way.

Also note that Israel is a fake nation with Zionists having stolen the identity of true Jews and Netanyahu is one of those Zionists-fake Jews so to say .David again on the other hand was a true Jew.So the two people are incomparable.
 
Yes yule kamanda, alifanya daudi astarehe sana kuna vita alikuwa anapgana akisha maliza wanajeshi wakibakia wachache ,ana mwita Daudi amalizie asije onekana yeye ndo kachukua ushindi
Hizo story mnazipataga wapi
 
Netanyahu ni mjinga sana hotuba zake ni kama vile sio kiongozi wa serikali ni kama katoka tu chumbani kwake mbio mbio kwenda kuongea na watu
Lakini ndio anawashughulikia magaidi bila kupepesa macho
 
Dunia tumeshuhudia watemi kama Gengis khan,Alexander the great n.k, Israel wako overlated Sana na historia yao.
Hata hivyo tunacho cha kusimulia watoto au wajukuu zetu, kuwa aliwahi kutokea mwamba kwa jina Benjamin Netanyahu 💪 💪 💪
 
Kwani daudi alihitaji mbeleko ya Marekani?
Kwani hao Wamerekani unadhani ni Waarabu au Wamatumbi? Ni Wayahudi in Diaspora, ndiyo wana run dunia 🌎 🌍 🌐
 
In addition Netanyahu is a very evil man fighting for Satan's army.David on the other hand was a true servant of God despite his short comings,so you can't compare the two in any way.

Also note that Israel is a fake nation with Zionists having stolen the identity of true Jews and Netanyahu is one of those Zionists-fake Jews so to say .David again on the other hand was a true Jew.So the two people are incomparable.
You too Mathanzua you are fake human based on your argument of fake Jews.

A Jew will remain Jew wherever and whenever he/she is
 
Kwani hao Wamerekani unadhani ni Waarabu au Wamatumbi? Ni Wayahudi in Diaspora, ndiyo wana run dunia 🌎 🌍 🌐

Kumbe kina Obama, Kamala, P. Didy, Musk, Powell, list ni ndefu, ni wayahudi?
 
Mfalme Daudi ni moja ya watu mashuhuri katika Biblia, na vita alivyopigana vinaelezewa hasa katika vitabu vya 1 Samweli, 2 Samweli, na Zaburi. Hapa ni baadhi ya vita muhimu alivyopigana kwa mujibu wa Biblia:

1. Vita dhidi ya Goliathi (1 Samweli 17)

.Akitumia kombeo na mawe matano, alimshinda Goliathi, huku akithibitisha kuwa ushindi hauko kwenye ukubwa au silaha, bali kwenye imani kwa Mungu.

2. Vita na Wafilisti
Daudi alipigana na Wafilisti katika miji kadhaa kama Keila (1 Samweli 23:1-13) na alipokuwa akiwakimbia wafuasi wa Sauli.

Alishinda tena na tena dhidi ya Wafilisti baada ya kuwa mfalme (2 Samweli 5:17-25), akiwapiga sana na kudhoofisha nguvu zao.


3. Vita dhidi ya Sauli

Ingawa Daudi hakutaka kumdhuru Mfalme Sauli, alikimbia mara nyingi kutokana na majaribio ya Sauli ya kumuua kwa wivu na hofu ya kupoteza ufalme.

4. Vita dhidi ya Waamaleki (1 Samweli 30)
Daudi aliwafuata Waamaleki, akawashinda na kuwarudisha watu wake salama pamoja na ngawira.

5. Vita vya Kifalme

Baada ya kuwa mfalme, Daudi aliongoza Israeli katika vita mbalimbali ili kuimarisha na kupanua mipaka ya ufalme. Aliwashinda Wamoabi, Waedomi, Waaramu, na mataifa mengine yanayozunguka Israeli (2 Samweli 8).

6. Vita dhidi ya Absalomu (2 Samweli 15-18)
Absalomu, mwana wa Daudi, alijaribu kumpindua baba yake na kuchukua ufalme. Daudi alilazimika kukimbia Yerusalemu, lakini baadaye jeshi lake lilimshinda Absalomu katika vita,

Hitimisho
Kwa namna huyu mwamba Benjamni Netanyahu alivyokabiliana na Hamas pamoja na Hezbollah wanafadhiliwa na Utawala Iran, ninamuona kama vile ni Mfalme Daudi amekuja kwa sura ya Netanyahu
Daudi hakuua watoto na watu wasio na hatia,hakuruhusu ushoga Nk acheni kukufuru mtapotea.
 
Daud
Nyie ndio mnaoabudu watu huyo mwehu kichaa aliyepewa rungu ndio umfananishe na Nabii Daud A.S nyie mnakufuru sana mambo ya kidunia yana wachanganya sana ndio maana kila mwamba anaejivika unabii nyie mnaruka nae mpaka kiboko ya wachawi nyie twende jifunzeni stamala basi mue na imani thabiti juu ya dini yenu mkakubali ichezeweDa
 
You too Mathanzua you are fake human based on your argument of fake Jews.

A Jew will remain Jew wherever and whenever he/she is
Unahitaji elimu zaidi kuhusu Israel mkuu,hujui kabisa.There are fake Jews ambao wamejiingiza Kwa siri Israel,Jesus Himself talked about this very sema issue.Read Revelation 2:9 and 3:9 below.

Ufunuo wa Yohana 2:9
[9]Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.

Ufunuo wa Yohana 3:9
[9]Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.

Mimi sibahatishi mkuu,I know what I am talking about.Ukitaka taarifa zaidi kuhusu swala hili zipi,ila taarifa hii niliyokupa ndiyo yenyewe,from Jesus Himself.
 
Back
Top Bottom