Extra Limo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 210
- 354
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliza wahenga watakuambia ukweli mkuuWe jiropokee tu,kama Nick anaweza kufanana na dingi ake(Mkapa) na akawa ni mtoto wa Mramba then hio itakua ni matunda ya Ccm mpyaaaaaaaaaaaa.
Mzee baba sina haja ya kuuliza mtu, nawafahamu.Uliza wahenga watakuambia ukwl mkuu
Nimesikia radio Tumaini nikahisi mtangazaji amekosea! Hiki ni kishindo kwa nchi. Tunaomba Mungu nchi yetu ibakie moja kama tulivyopita salama baada ya kuondoka Baba wa Taifa. Pumzika kwa amani mzee wetu, kiongozi wetu, mtu mwenye msimamo ....Mzee Benjamini William Mkapa ...
Upo sahihi kwa 100%Inasaidia wananchi kuchukua tahadhari.
Watu inabidi walitambue hili na kwa hivyo wasipapatikie sana mambo ya dunia hii Itamfaidia nini mtu kuupata ulikwengu wote na kuukosa uzima wa milele? Mbona tuko duniani kwa kitambo kidogo tu.Mzee Mkapa Alale kwa amani. Sisi sote Ni wapita Njia Hata ungekua na Nguvu ya pesa na Madaraka wewe utakufa siku moja.
Sasa si uhamie huko kabisa.?
Old age is delicate.Hata mimi nahisi itakuwa ni hayo mawili: heart attack au bp.
Na jamaa alikuwa obese kiasi...
Ccm ni taasisi, haitegemei mtu mmoja kama ilivyo kwa chadema kumtegemea Mbowe pekee!
sasa kama mnavyanzo vyenu mnataka taarifa nyingine za nini??Asante, ila wakati tunasubiri hizo taarifa za uchakachuaji, acha tuendelee na hizi zinazoletwa na wadau wa ukweli.
Jambo hilo linajulikana sana.Mzee Mkapa Alale kwa amani. Sisi sote Ni wapita Njia Hata ungekua na Nguvu ya pesa na Madaraka wewe utakufa siku moja.
Dah muajemi nondo zako zimekamilikaInna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Tuishi vizuri na watu,
Tuache majivuno,
Tusiwatese na kuwaonea wasio na uwezo,
Tutende haki.
Dunia hii tunapita tu. [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
hahaha sawa MYAHUDI ila huo ndio uhalisia wamaisha tutapita tu siku moja tuwe wema tufanye mema kila mahali mbele zao nyuma zetuDah muajemi nondo zako zimekamilika