"Holy Land"; tupeni holy land nyingine tuziongelee.Israel huwa inatumia mgongo wa 'heritage sites' kutafuta marafiki, au nakosea?
Mbona kuna heritage sites kibao huko za waislamu na haziongelewi?
issue ni israel kutumia heritage yake kimkakati issue sio israel kuwa holy land"Holy Land"; tupeni holy land nyingine tuziongelee.
pia nyie mkaitumie kimkakati, nani kawakataza?issue ni israel kutumia heritage yake kimkakati issue sio israel kuwa holy land
ndo ninachojaribu kuuliza
Umemjibu sawia! Safi sana.pia nyie mkaitumie kimkakati, nani kawakataza?
Mkuu unahatari!Tumepokea bwana Benja! Ila hakikisha unakamilisha mkakati wa kumla kichwa yule boss wa Houth na genge lake, kete pekee ya Iran iliyobaki
Peace and harmony. Tofauti za kiimani zisiwe kigezo cha ubaguzi. Ishi imani yako na wengine waishi imani zao.mayahudi yana xmass?
Mimi nimeuliza ila nijue kama mayahudi yanasherekeaga XmassPeace and harmony. Tofauti za kiimani zisiwe kigezo cha ubaguzi. Ishi imani yako na wengine waishi imani zao.
Wewe u nani uwahesabiaye wengine makosa na kujihesabia haki? Haikuandikwa Mungu ndiye hakimu wa haki? Tumwachie yeye ahukumuye.
Wamewatakia wanaosherehekea Krismasi salamu za upendo na amani! Jirani yangu ni nani? Aliulizwa Yesu hilo swali kwenye ule mfano wa Msamaria!Mimi nimeuliza ila nijue kama mayahudi yanasherekeaga Xmass
Unatype sana wakat ni swala la kujibu kama wanasherekea au hawasherekei?Wamewatakia wanaosherehekea Krismasi salamu za upendo na amani! Jirani yangu ni nani? Aliulizwa Yesu hilo swali kwenye ule mfano wa Msamaria!
Kamuulize Netanyahu myahudi #1 aliyetoa salamu za Krismasi.Unatype sana wakat ni swala la kujibu kama wanasherekea au hawasherekei?
Kamuulize Netanyahu myahudi #1 aliyetoa salamu za Krismasi.
Na kuna makobazi yanasema kwamba waisrael hawautambui UkristuMarafiki zangu wapendwa Wakristo, mnapokusanyika pamoja na familia na marafiki zako Krismasi hii, ninawatakia jumuiya ya Wakristo katika Israeli na ulimwenguni kote baraka za Krismasi Njema kutoka Nchi Takatifu. - BENJAMINI NETANYAHU
View attachment 3184000
View: https://x.com/netanyahu/status/1871537366030274564?t=g9PMJ0HZUNHDbWlqAWRhCA&s=19
Ziongelee wewe au umwambie ayatollah Khomeini aziongeleeIsrael huwa inatumia mgongo wa 'heritage sites' kutafuta marafiki, au nakosea?
Mbona kuna heritage sites kibao huko za waislamu na haziongelewi?