Benjamini Netanyahu awatakia wakristo wote Krismasi njema

Benjamini Netanyahu awatakia wakristo wote Krismasi njema

Peace and harmony. Tofauti za kiimani zisiwe kigezo cha ubaguzi. Ishi imani yako na wengine waishi imani zao.

Wewe u nani uwahesabiaye wengine makosa na kujihesabia haki? Haikuandikwa Mungu ndiye hakimu wa haki? Tumwachie yeye ahukumuye.
Kuna dini zimebeba jukumu la kuhukumu watu badala ya Mungu mwenyewe. Wakati vitabu vya dini zote vinatuambia kuna siku ya hukumu
 
mayahudi yana xmass?
Yeye kawatakia Christmas njema Wakristo wote duniani, means anaheshim imani za watu wengine pia. Hilo lina shida gani? Mfano, Wakristo hatujui chochote kuhusu sikuu za Idd na Maulid lakini bado watoto au wajukuu zetu tuna wanunuliaga nguo za sikukuu ili wafurahi na watoto wenzao wengine, simple as that.
 
Ile nchi mm ata kwa bakola unipeleki wkt wwte HATARI HATARI HATARI. Poleyao
 
Naona YEMEN nao sio wachoyo wamewapelekea Salam za Xmas na kuwatakia heri na fanaka!!!
 
Yeye kawatakia Christmas njema Wakristo wote duniani, means anaheshim imani za watu wengine pia. Hilo lina shida gani? Mfano, Wakristo hatujui chochote kuhusu sikuu za Idd na Maulid lakini bado watoto au wajukuu zetu tuna wanunuliaga nguo za sikukuu ili wafurahi na watoto wenzao wengine, simple as that.
That's not the case to me. My concern ni kujua kama mayahudi yana Xmass. Hayo uliyonielezea nayajua tangu ningali mdogo
 
Israel huwa inatumia mgongo wa 'heritage sites' kutafuta marafiki, au nakosea?

Mbona kuna heritage sites kibao huko za waislamu na haziongelewi?
Hicho ndo walichokifanikiwa kwa kweli sijui wakristu Nani amewaloga. Kuubiri Injili tu hapo ni kosa la kuna Ila it’s utasikie mmakonde mmoja et . God bless israle
 
That's not the case to me. My concern ni kujua kama mayahudi yana Xmass. Hayo uliyonielezea nayajua tangu ningali mdogo
Hebu msikilize tena kaka, usifanye haraka tu kuandika. Kawatakia Christmas njema hadi Wakristo wa Kiyahudi.
Sorry kama nitakua nakuelewa vibaya; watu wengi hudhani kama Wayahudi wote wana imani moja katika Mungu, wengine hudhani uyahudi ni dini pia. Ninacho kifahamu, Wayahudi wapo wasio amini katika Mungu kabisa, yaani ni full Atheist kama brother Kiranga Wa humu, mfano ni yule mmiliki wa Facebook, Mark ni Myahudi kwa baba na mama yake, mama yake ni engineer kama sikosei na baba yake ni daktari wa magonjwa ya binadamu, lakini kuna Wayahudi wengi tu ambao ni Waislamu na wapo Wayahudi Wakristo and then kuna hao wanao julikana na wengi, yaani Judaism ambako baba yake na huyu PM alikua Rabi wao. So Netanyahu anajua kwamba Wakristo wengi huaga wanaiombea Israel na Wayahudi sawa na maelekezo kutoka kwenye imani yao, jambo hilo sio siri na hasa ukichukulia Netanyahu ni shushushu lililo bobea kama Putin, lenyewe lime advance zaidi cause kwa ngazi ya jeshi lenyewe ni likomandoo kabisa so habari ndogo ndogo kama za mambo ya dini, taarifa zake linazo. Na kama sikosei, hi sio mara ya kwanza Netanyahu kufanya hivo, awamu ya kwanza anaingia madarakani amewahi pia kuwashukuru Wakristo around the world kwa wao kuwaombea Wayahudi, msikikize tena
 
Na kuna makobazi yanasema kwamba waisrael hawautambui Ukristu
Tofauti na wale wa imani nyingine, Israel inaheshimu uhuru wa kuabudu na imo kwenye katiba yao na hata mataifa ya kidemokrasia ya magharibi labda huu uhuru wa kuabudu waliutoa kwenye katiba ya Israel
******************************************. 👇👇❓❓❓😲😲😲
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
 
Tofauti na wale wa imani nyingine, Israel inaheshimu uhuru wa kuabudu na imo kwenye katiba yao na hata mataifa ya kidemokrasia ya magharibi labda huu uhuru wa kuabudu waliutoa kwenye katiba ya Israel
******************************************. 👇👇❓❓❓😲😲😲
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
Hayo maandiko uliyonukuu ni ya hatari sana! Sidhani kama kuna dini nyingine chini ya Jua yenye maandiko ya ajabu kama hayo.
 
Tofauti na wale wa imani nyingine, Israel inaheshimu uhuru wa kuabudu na imo kwenye katiba yao na hata mataifa ya kidemokrasia ya magharibi labda huu uhuru wa kuabudu waliutoa kwenye katiba ya Israel
******************************************. 👇👇❓❓❓😲😲😲
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
Hayo yapo kwenye kitabu gani? Hayo lazima yatakuwa ni maagizo ya shetani.
 
Back
Top Bottom