Mbona yamo kwenye msaafu wa dini kabisa na mistari kabisa unaona..!!!Hayo maandiko uliyonukuu ni ya hatari sana! Sidhani kama kuna dini nyingine chini ya Jua yenye maandiko ya ajabu kama hayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona yamo kwenye msaafu wa dini kabisa na mistari kabisa unaona..!!!Hayo maandiko uliyonukuu ni ya hatari sana! Sidhani kama kuna dini nyingine chini ya Jua yenye maandiko ya ajabu kama hayo.
Akili yako haina akiliThen shut your big boring annoying mouth
Custodian of the Holy Land anawatakia wapenda amani duniani kote salamu za amani na upendo. Inapendeza sana.Tumezipokea boss wetu,tandika hayo magaidi hapo middle east mpaka yaombe pooo
Yesu alizaliwa na wayahudiThat's not the case to me. My concern ni kujua kama mayahudi yana Xmass. Hayo uliyonielezea nayajua tangu ningali mdogo
Jibu nililotaka ni kuambiwa kua " Netapussy na yy anashangilia Xmass basi haya maelezo mengine me siyataki"Yesu alizaliwa na wayahudi
Wachungaji mifugo wa kiyahudi l
walishuhudia kuzaliwa kwake luk:2:8-18
walimlea wayahudi
wafuasi wake walikua wayahudi alipokufa alizikwa na wayahudi
wao wayahudi ndiyo waanzilishi wa maazimisho yake
Marafiki zangu wapendwa Wakristo, mnapokusanyika pamoja na familia na marafiki zako Krismasi hii, ninawatakia jumuiya ya Wakristo katika Israeli na ulimwenguni kote baraka za Krismasi Njema kutoka Nchi Takatifu. - BENJAMINI NETANYAHU
View attachment 3184000
View: https://x.com/netanyahu/status/1871537366030274564?t=g9PMJ0HZUNHDbWlqAWRhCA&s=19
Typical African mindset eti holy land!! Yaani nchi imejaa ushoga ni holy landand all the people of the Holy Land
Uzuri kila nafsi itaonja mauti, kuua watu unasifiwa kesho nawe unakufa ndio nini sasa?Merry Christmas Benjamin Netanyahu. Mwamba kiboko ya magaidi
Mlengo wako unajulikana when it comes to faith!Typical African mindset eti holy land!! Yaani nchi imejaa ushoga ni holy land
Khafidh Majinn naona umeamua kutoka pangoni.Israel huwa inatumia mgongo wa 'heritage sites' kutafuta marafiki, au nakosea?
Mbona kuna heritage sites kibao huko za waislamu na haziongelewi?
hamjibu swali mnatoa mapovu tuKhafidh Majinn naona umeamua kutoka pangoni.
Hao hawana shida na urafiki kijana ni watu wa kujitenga tenga hao.hamjibu swali mnatoa mapovu tu
Kuuwa magaidi.Uzuri kila nafsi itaonja mauti, kuua watu unasifiwa kesho nawe unakufa ndio nini sasa?
Mimi mbona ni mkristo threads zangu za JF intelligence mbona zinathibitisha hilo. Nachouliza holy land inaweza kuwa na ushoga?Mlengo wako unajulikana when it comes to faith!
Kobaz mmehamia kwa YEMENNaona YEMEN nao sio wachoyo wamewapelekea Salam za Xmas na kuwatakia heri na fanaka!!!
Ni holy land kulingana na maandiko ambayo ndio ulikuwa mpango wa Mungu lakini tujue pia mpango wa shetani ni kujaribu kuchafua kila kitakatifu cha Mungu.Mimi mbona ni mkristo threads zangu za JF intelligence mbona zinathibitisha hilo. Nachouliza holy land inaweza kuwa na ushoga?