Benjamini Netanyahu awatakia wakristo wote Krismasi njema

Benjamini Netanyahu awatakia wakristo wote Krismasi njema

Hayo maandiko uliyonukuu ni ya hatari sana! Sidhani kama kuna dini nyingine chini ya Jua yenye maandiko ya ajabu kama hayo.
Mbona yamo kwenye msaafu wa dini kabisa na mistari kabisa unaona..!!!
 
Tumezipokea boss wetu,tandika hayo magaidi hapo middle east mpaka yaombe pooo
 
That's not the case to me. My concern ni kujua kama mayahudi yana Xmass. Hayo uliyonielezea nayajua tangu ningali mdogo
Yesu alizaliwa na wayahudi
Wachungaji mifugo wa kiyahudi l
walishuhudia kuzaliwa kwake luk:2:8-18
walimlea wayahudi
wafuasi wake walikua wayahudi alipokufa alizikwa na wayahudi
wao wayahudi ndiyo waanzilishi wa maazimisho yake
 
Jews wapi na wapi na Christmas.

Mwambieni hata kule Palestina na Lebanon wanakoua watu kuna Wakristo pia wanasheherekea Christmas.
 
Yesu alizaliwa na wayahudi
Wachungaji mifugo wa kiyahudi l
walishuhudia kuzaliwa kwake luk:2:8-18
walimlea wayahudi
wafuasi wake walikua wayahudi alipokufa alizikwa na wayahudi
wao wayahudi ndiyo waanzilishi wa maazimisho yake
Jibu nililotaka ni kuambiwa kua " Netapussy na yy anashangilia Xmass basi haya maelezo mengine me siyataki"
 
Mimi mbona ni mkristo threads zangu za JF intelligence mbona zinathibitisha hilo. Nachouliza holy land inaweza kuwa na ushoga?
Ni holy land kulingana na maandiko ambayo ndio ulikuwa mpango wa Mungu lakini tujue pia mpango wa shetani ni kujaribu kuchafua kila kitakatifu cha Mungu.
Suala la ushoga hadi pale Madina alipozikwa mtume unafanyika haswa.
 
Back
Top Bottom