Benki Kuu (BoT) yadai kuna watu wameficha dola

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Eti hakutakuwa na ongezeko sijui wanadhani dola ni mahindi au mbaazi za Tanzania? Hahahaha
 
Inawezakanaje MTU afiche pesa zake kisha apate Shida kuitafuta?

Pili, kama BOT inaziona pesa, Watu wanalalamika na yeye kakaa kimya basi tuna Tatizo kubwa sana
 
Na sukari na umeme pia umefichwa?
 
Serikali inasikitisha Sana. Basi tu hakuna Cha kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…