Kinadharia walio soma uchumi wanajua kuwa ni shariti kwa nchi yeyote ile iwe na reserve ya pesa za kijeni ya kujiendesha kwa muda wa miezi sita,kwa hiyo hilo ni takwa la kisheria na nilazima,,ili kujua hiyo pesa ipo au haipo angalia janga la korona lilipo tokea serikali ilifanya jitihada gani kusaidia wananchi wake!!!!!! Kenya,Uganda na Rwanda sehemu ya hiyo reserve ilitumika kipindi Cha korona.kusema tu serikali ina reserve ya miezi sita inaweza kuwa blaa blaa Kama tulishindwa kununua mashine za dharura za kupima corona hata ziwepo kwa kila mkoa.